Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Mnakuwa na wanaume loosers.


Mwanaume unakubali kusimamia bar ya mwanaume mwenzako.

Haki mimi ningekuwa mama wa yule Kweka ningepiga ukunga mmoja wa kichaga mpaka akili ingemkaa sawa.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Acha hizo huyo ni "Mr.advocate in resty voice
 
Ila huyu kweka anazalilisha wachaga kawa ka lijinga kupigwa pigwa mapicha hovyo na kufatana na testy nyuma ka mkia wa mbwa. Dah Mimi naona ha act ka mwanaume resty mwenyewe hu behave ka hamnazo na alihitaji mwanaume timamu wa kumshape aisee
Kule kuchangamka kupita maelezo kwa rest vip au huwa "anasneeze"
 
Resty anapenda sana show off, ila ajue file lake lipo wazi.kale kamume kake ni kabeba pochi, hakana meno. Kazi yake ni kuitikia tu anachosema dada.
Mimi huwa nashangaa sijui ni Shule ndogo or what!

Ukishajijua we ni dirt cycle inabidi upige chini show off[emoji848]

Watu sio wajinga asee, utashangaa unaunganishwa kwenye mnyororo kwa ajili ya uduanzi!

Au hela chafu huwa zinawasha?
 
Shkuba ni shkuba mamangu.

Daslam hii kama hujui habari za shkuba na matunda yake yaliyofungwa mengine Italy na wapi huko aseee ni balaa.

Hawa nyau wametusumbua hawaaaaa.

Sasa huyu resty mradi kaletwa celebrities ,Siku zake ni zinahesabika.

Yan hili jukwaa watu sijui wachawiiiii.

Ukipandishwa tu uzi wa Star, ujue kinamkuta mtu kitu soon
I guess wanakuwa ma CID nyuma ya keyboard wanatafuta clue
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Acha hizo huyo ni "Mr.advocate in resty voice
Hivi Resty anavyopenda mashauzi huyo awe advocate nakuambia angeshatuwekea ofisi na muhuri wa advocate umeshapigwa picha.


Yule Kweka ni mdangaji kama wadangaji wengine wa kiume tofauti yeye ana kibarua cha kudumu.
 
Imagine mwanaume kama huyo kwenye vikao vya familia kama anaweza kusikilizwa.

Janaume kila mda lipo Instagram linacheka cheka linacheza cheza linabusiwa busiwa.

Fikiria janaume kama hilo labda limetokea tatizo kubwa lenyewe ndo linatakiwa lisimame kama kichwa cha familia.
Muacheni Kweka jomoni

Kulipelekea moto lijimama kama hilo kitandani na likaridhika si kazi ndogo ati[emoji23][emoji23][emoji1787]

Mi kwa hapa namsamehe, kibarua anacho tena si haba
 
Eti wakili wa kujitegemea[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]

Labda wakili wa kurekodi matukio mazima yaliyotokea toka rest anavyoamka kitandani hadi mtondogoo
Hahahahah ndio maana tunasemaga ukweli. When a man bursts his ass hawezi kuwa na mda wa babysitting a woman full time.

Yani lazma lawama za bby hana mda na mimi ziwepo tu.😂! Sasa tukishinda wote full time hela napataje sasa
 
Back
Top Bottom