Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Muhimu sana aisee.Umeona sasa[emoji848]
Binafsi mi mwanaume wa kushinda na mimi 24/7 simtaki asilani
Nenda kachacharike hukoo tukutane jioni tusimuliane hustle....uwii ntakukinai asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhimu sana aisee.Umeona sasa[emoji848]
Binafsi mi mwanaume wa kushinda na mimi 24/7 simtaki asilani
Nenda kachacharike hukoo tukutane jioni tusimuliane hustle....uwii ntakukinai asee
Ila yule sista mzuri bhana sema ule unene na lile tumbo[emoji1]Ewaaa story za skonga mzee machache naye alipita nae. Maisha ya camera toka yuko shule tuliosoma nae hatushangai Kweli maisha bongo nyoso eti resty kawa motivational speaker.
Acha wivu amu acha jamaa afaida[emoji1787][emoji1787][emoji3577]Mnakuwa na wanaume loosers.
Mwanaume unakubali kusimamia bar ya mwanaume mwenzako.
Haki mimi ningekuwa mama wa yule Kweka ningepiga ukunga mmoja wa kichaga mpaka akili ingemkaa sawa.
We amu wewe!!!![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Yule sidhani hata kama kut@mba linajua.
Linakuwa linampapasa tu.
Inabidi amwage uno la kutosha ili abaki mjini sio..Muacheni Kweka jomoni
Kulipelekea moto lijimama kama hilo kitandani na likaridhika si kazi ndogo ati[emoji23][emoji23][emoji1787]
Mi kwa hapa namsamehe, kibarua anacho tena si haba
Mkuu unaweza jamaa ana stock mahaliDah kweli si tunaungua jua kinoma, ila mwamba anazurura na vipensi tu akiwa na mama [emoji23][emoji23][emoji23] mwendo wa full option. Mikamera kila saa [emoji23] aisee ile michezo siiwezi
At its bestMoney laundering
Kama tungezaliwa pamoja n watoto wanao fuatanaWeweee..tumepishana Sana Tena mnooo...form one na std4..wapi na wapi[emoji23]
HahahahhahahhahahaSema mibonge si inawahi kutepeta 😂😂😂 sidhani kama hata nguvu nyingi inatumika sema tu mimbulu inavyowashwa kila saa hio ndio kipengele. Ina maana lazma u recharge kila mda.
Unajikuta unambato 6/7 days in a week ila namuonea huruma mwamba maana siku akichokwa atafedheheshwa sana. Wanawake mnapendaga kweli ila mna ile hali ya kuchokaga mtu mkimzoea sana.
Hahahahah daaah wabongo noma sana nyieNakwambia yuuuule hamna kituuuuuu
Resti angetuwekea hata shati tu jeupe na suruali nyeusi na zile tie zao
Akaweka caption
"Preparing hubbie for work,
#mradvocatedailyroutine#
Saaaaasa mpk tunakuja mitamboni hakuna cha uwakili wala uhakimu yule ni chawa tu kama chawa wengine.
Aombee misuli iendelee kuwa imara tu😂 otherwise mbeleni itakuwa msiba kwake.Mkuu unaweza jamaa ana stock mahali
Anakula dividend Hana haja kufanya fanya mikazi yenu .
Nyie mnamnanga mwenzenu ame retire young .
Wakati ndio bado "ndio boss"[emoji1787][emoji1787]
Tena uno la uzazi.Inabidi amwage uno la kutosha ili abaki mjini sio..
Hahaha
Kabati[emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah kweli, nikionaga mwamba anavyojitahidi kucheza mara anajilazimisha kukumbatia kabati na kulisogeza yote ile njaa tu. No real man wants his ass on cameras all the time.
Machache kumbe naye kazichakata papuchi kwa kiasi chake sio?Ila yule sista mzuri bhana sema ule unene na lile tumbo[emoji1]
Ila mzee mchache Ni legend
Khaaaa mtonyo gaaaani wa kuweka dividend?Mkuu unaweza jamaa ana stock mahali
Anakula dividend Hana haja kufanya fanya mikazi yenu .
Nyie mnamnanga mwenzenu ame retire young .
Wakati ndio bado "ndio boss"[emoji1787][emoji1787]
Nafanya haswa,nahisi niko vizuri..ila sifanyi hivyo kupata favour ya kuwekwa mjini..tofauti iko hapoTena uno la uzazi.
Ndo Ajira ake sasa.
We kwan hufanyi kazi kwa bidii?
Picha ya kokoyo.Page ya tatu hii hakuna picha si umama huu
Hahahaha hahahaha morningYule sidhani hata kama kut@mba linajua.
Linakuwa linampapasa tu.