Acha ungese basi wapi nimemzungumzia vibayaDaah usikute mnafahamiana ila huku umamuongelea kama limzigo flani vile!!?
binadamu bana!!
kmmmk walai😂😂😂 bongo nyoso, ila bi dada yeye yupo happy kwa mujibu wake na jamaa ni tajiri wakili msomiResty anapenda sana show off, ila ajue file lake lipo wazi.kale kamume kake ni kabeba pochi, hakana meno. Kazi yake ni kuitikia tu anachosema dada.
Hapana mkuu[emoji120][emoji120]Unaonekana mtoto wa mjini wewe
😂😂😂😂😂 itakuwa ng'ombe tu kama msemavyo watoto wa diesiemuHataki kutoka jasho, anataka usmart tuu!
Mi mwanaume wa hivo sijui hata kitandani namuonaje[emoji57][emoji57][emoji57]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mnakuwa na wanaume loosers.
Mwanaume unakubali kusimamia bar ya mwanaume mwenzako.
Haki mimi ningekuwa mama wa yule Kweka ningepiga ukunga mmoja wa kichaga mpaka akili ingemkaa sawa.
Kule kuchangamka kupita maelezo kwa rest vip au huwa "anasneeze"Ila huyu kweka anazalilisha wachaga kawa ka lijinga kupigwa pigwa mapicha hovyo na kufatana na testy nyuma ka mkia wa mbwa. Dah Mimi naona ha act ka mwanaume resty mwenyewe hu behave ka hamnazo na alihitaji mwanaume timamu wa kumshape aisee
Mimi huwa nashangaa sijui ni Shule ndogo or what!Resty anapenda sana show off, ila ajue file lake lipo wazi.kale kamume kake ni kabeba pochi, hakana meno. Kazi yake ni kuitikia tu anachosema dada.
Sophia byanaku? Na najma the prince aka lami?Kamaliza na Kina Sophia,naima happy na najma
Km sikosei
I guess wanakuwa ma CID nyuma ya keyboard wanatafuta clueShkuba ni shkuba mamangu.
Daslam hii kama hujui habari za shkuba na matunda yake yaliyofungwa mengine Italy na wapi huko aseee ni balaa.
Hawa nyau wametusumbua hawaaaaa.
Sasa huyu resty mradi kaletwa celebrities ,Siku zake ni zinahesabika.
Yan hili jukwaa watu sijui wachawiiiii.
Ukipandishwa tu uzi wa Star, ujue kinamkuta mtu kitu soon
Fanya kazi upate kuishi......hapa tunajadili ISSUES hatujadili watu
My classmateOoh ..2004 hiyo..ndiyo Kwanza nilikuwa form one[emoji23]
Hivi Resty anavyopenda mashauzi huyo awe advocate nakuambia angeshatuwekea ofisi na muhuri wa advocate umeshapigwa picha.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha hizo huyo ni "Mr.advocate in resty voice
Muacheni Kweka jomoniImagine mwanaume kama huyo kwenye vikao vya familia kama anaweza kusikilizwa.
Janaume kila mda lipo Instagram linacheka cheka linacheza cheza linabusiwa busiwa.
Fikiria janaume kama hilo labda limetokea tatizo kubwa lenyewe ndo linatakiwa lisimame kama kichwa cha familia.
Mbeba pochi, kurekodi matukio yote ya rest kila siku, kupeleka moto on bed, Basikmmmk wanawake mnaponda [emoji23][emoji23][emoji23] hivi yule jamaa kumbe kweli mbeba pochi eeh...
Eti wakili wa kujitegemea[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Ila jamaa si ana biashara ya Fumigation na ni wakili wa kujitegemea. Anakosaje hela bana na anamfungulia wife miradi
Mmh yanachosha hayo nayo coz mwanamke hawezagi kumlisha mwanaume miaka yotee...subiri mbele kidogo utajionea [emoji848]Jamaa ni romantiki bana ndio maana anazunguka na mama, si mnasemaga mnapendaga mpewe time nyie [emoji23][emoji23][emoji23]!
Mwenzenu anapewa time 24/7 na free photo gallery
Ha ha ha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itakuwa ng'ombe tu kama msemavyo watoto wa diesiemu
Yule sidhani hata kama kut@mba linajua.Muacheni Kweka jomoni
Kulipelekea moto lijimama kama hilo kitandani na likaridhika si kazi ndogo ati[emoji23][emoji23][emoji1787]
Mi kwa hapa namsamehe, kibarua anacho tena si haba
Hahahahah ndio maana tunasemaga ukweli. When a man bursts his ass hawezi kuwa na mda wa babysitting a woman full time.Eti wakili wa kujitegemea[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Labda wakili wa kurekodi matukio mazima yaliyotokea toka rest anavyoamka kitandani hadi mtondogoo
Ha ha ha [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23]Yule sidhani hata kama kut@mba linajua.
Linakuwa linampapasa tu.