See.Dah kweli, nikionaga mwamba anavyojitahidi kucheza mara anajilazimisha kukumbatia kabati na kulisogeza yote ile njaa tu. No real man wants his ass on cameras all the time.
Machache was a goddamn legend don't take him a second class in that angleMachache kumbe naye kazichakata papuchi kwa kiasi chake sio?
Namaanisha si unafanya kazi yako kwa hidii inayokuingizia kipato.Nafanya haswa,nahisi niko vizuri..ila sifanyi hivyo kupata favour ya kuwekwa mjini..tofauti iko hapo
Weeee tumuache tu mzee Apumzike kwa Amani.Machache was a goddamn legend don't take him a second class in that angle
Mwanaume unaambiwa " piga keleleee weweee " ole wako unyamaze sasa[emoji848][emoji848]Dah kweli, nikionaga mwamba anavyojitahidi kucheza mara anajilazimisha kukumbatia kabati na kulisogeza yote ile njaa tu. No real man wants his ass on cameras all the time.
Hebu niambie[emoji848]Ile aina ya maisha ina expire date, watoto wanakua there will be a time a man will be elligible to provide in extra. Sasa wewe kila kitu kiko centred kwa mwanamke, miaka yote bar, cosmetics, insurance,fumigation,kitchen n.k
Ipo siku mwanamke ataanza kudai mchango wako kwake hata akupendeje. Ile lust ikiisha the reality hits so badly. Hapo ndio utasimangwa mpaka ujione nnya. Jamaa ameshindwa hata kuomba IST afanye uber
Hahahah noma kichizi, hio piga kelele tupigishane kitandani sio mbele ya makamera🤣🤣🤣!Mwanaume unaambiwa " piga keleleee weweee " ole wako unyamaze sasa[emoji848][emoji848]
Ila yule jamaa hana jinsi, afu sometimes anaona jau ila anakausha tuu
Jau kinoma, mie ningependekeza hata kiduka cha iphone mpya na refurbs & accessories walau cha kuondosha aibu mjini.Hebu niambie[emoji848]
Ni huyu?Resty ni mwanamke mmoja mzuri sana kuliko hata picha zinavyomtoa,Si unajua tena wairaq aka wambulu walivyo pisi kali..Mbali na hayo ni mjasiriamali anakampuni ya insurance,kampuni ya usafi,hiyo bar yake pia na mambo kedekede anayayofanya ya kumuingizia pesa.Ila bana tuacheni majungu kwani ni sh ngap mpaka ule bata kama za resty ni mipango tu na malengo.Weka budget yako vizuri,fanya booking mapema.Mbona utakua unakula mema ya dunia kwa pesa ndogo tu.Restusta endelea kula bata kwa raha zako.[emoji7]
"Ki ba [emoji817] on fleek'[emoji16][emoji16][emoji23] kuna mdada alisema hivi humuMachache was a goddamn legend don't take him a second class in that angle
Ha ha haHahahah noma kichizi, hio piga kelele tupigishane kitandani sio mbele ya makamera[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!
Anyamaze ili iweje, anacheza ngoma za tajiri
Kabisa yaanJau kinoma, mie ningependekeza hata kiduka cha iphone mpya na refurbs & accessories walau cha kuondosha aibu mjini.
Linainjoy kupata bwege, unajua she is overconfident kwahio automatically hawezi survive na mwanaume imara. She needs a weak man ndio anam complement vizuri.Ha ha ha
Lile lidada nalo lingemsitiri bana
Miyeyusho kichizi
Mbulu anajua kutawala balaa, ole wako uwe choka mbayaYes
Lete na ya marioo wake
Itakuwa alipitiwa[emoji1]"Ki ba [emoji817] on fleek'[emoji16][emoji16][emoji23] kuna mdada alisema hivi humu
Hizo dividend Resty angeshatuambia.Mkuu unaweza jamaa ana stock mahali
Anakula dividend Hana haja kufanya fanya mikazi yenu .
Nyie mnamnanga mwenzenu ame retire young .
Wakati ndio bado "ndio boss"[emoji1787][emoji1787]
Hahahahahah daah haha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hizo dividend Resty angeshatuambia.
Maisha yake ni kama gazeti.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha wivu amu acha jamaa afaida[emoji1787][emoji1787][emoji3577]