Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Dah kweli, nikionaga mwamba anavyojitahidi kucheza mara anajilazimisha kukumbatia kabati na kulisogeza yote ile njaa tu. No real man wants his ass on cameras all the time.
See.
Mi mume wangu sio tu kupiga nae picha, hats kukupiga picha kiasi kile siwezi.
 
Dah kweli, nikionaga mwamba anavyojitahidi kucheza mara anajilazimisha kukumbatia kabati na kulisogeza yote ile njaa tu. No real man wants his ass on cameras all the time.
Mwanaume unaambiwa " piga keleleee weweee " ole wako unyamaze sasa[emoji848][emoji848]

Ila yule jamaa hana jinsi, afu sometimes anaona jau ila anakausha tuu
 
Hebu niambie[emoji848]
 
Mwanaume unaambiwa " piga keleleee weweee " ole wako unyamaze sasa[emoji848][emoji848]

Ila yule jamaa hana jinsi, afu sometimes anaona jau ila anakausha tuu
Hahahah noma kichizi, hio piga kelele tupigishane kitandani sio mbele ya makamera🤣🤣🤣!
Anyamaze ili iweje, anacheza ngoma za tajiri
 
Ni huyu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…