Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Mwamba alishatoka siku nying na kashachukua ghorofa lake.
 
Nimeandika nimefuta nimeandika nimefuta.


Ngoja ninyamaze tu ila msipende kutamani sana vya watu msiowajua.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi kafungua nyingine zaidi ya pale oasis?

Au ni pale pale kaboresha, kitambo sijaenda pale

Rest mzuri sura sana na rangi ila umbo mweh mweh, halafu kifupi hataree
 
Hiki ni kitendawili ama?
 
Hivi kafungua nyingine zaidi ya pale oasis?

Au ni pale pale kaboresha, kitambo sijaenda pale

Rest mzuri sura sana na rangi ila umbo mweh mweh, halafu kifupi hataree
Mimi nafahamu ya pale pale oasis na mara nyingi weekend ukipita mchana utamkuta yeye na mme wake pia. hata hivyo siyo kuzuri sana ni pa kawaida tu sema basi tu sisi tunafuataga mdudu. Yah mengine ya kawaida siyo mzuri saaaana kihivyo.
 
Kwamba tuwaambie au tuachane nao tuandae nguo za kanisani kesho Jumapili ya tatu ya Majilio!?

Kwako Mwalimu Oddo
Odo unakaribia kumfikia warumi sasa hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii speed yako si ya nchi hii.
 
Mimi nafahamu ya pale pale oasis na mara nyingi weekend ukipita mchana utamkuta yeye na mme wake pia. hata hivyo siyo kuzuri sana ni pa kawaida tu sema basi tu sisi tunafuataga mdudu. Yah mengine ya kawaida siyo mzuri saaaana kihivyo.
Aah sio pazuri pale [emoji849]

Sema liko charming sana, hata ofa linatoaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…