Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Kitimoto safi kama keki ipo kimara temboni oppodite na bar maarufu insitwa Buffalo wanaita kwa Kimario. Ukikosa utanu nitakurudishia hela. Njoo inbobo kwa maelekezo zaidi
Sawa mkuu...hebu nipe details zaidi
 
Huyu mwandishi ndo dena Bura mwenyewe anajipiga promo
 
Unapazungumzia Rudy'fams ile njia ya kushoto mbovu mbovu opposite na legder plaza?
Ni hapo au ukitaka siku nyingine nenda white meat ipo Kama unaenda silver sands kabla hujafika kwenye car wash ya kule mbele karibu na hotel yenyewe utaona kibao kushoto kwako baada ya lami ya kwa Asha Migoro utaona WHITE MEAT
 
Lemutuz kasema rest ni muuza sembe aka ngada aka unga, yaani madawa ya kulevya
Iko wazi unashangaa nini? Siku zinahesabika, siku akishanasa kweupe ndio utajua ulishaambiwa ukweli ngoja alengeshwe uone,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…