Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
😂😂 Open chicken..ulimaanisha kitchen eeh!!!🤔Huyo Mama Ipo siku atachoka kulisha mbeba mapochi. Ndo vijembe vitaanza insta. Walikuwepo kina Shishi, Open Chicken n.k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 Open chicken..ulimaanisha kitchen eeh!!!🤔Huyo Mama Ipo siku atachoka kulisha mbeba mapochi. Ndo vijembe vitaanza insta. Walikuwepo kina Shishi, Open Chicken n.k
Watoto watatu sio wawili mkubwa alimzaaga kabla ya sosho midia ila ndo anamuweka nyumanyuma kama HG na saa nyingine anasema sio wake ila ndo first bornMke..mama wa watoto wawili..mpambanaji..anajua kusaka chapaa.
Hana habari na kabati lake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
I do not want a husband who kisses my black as* every second of the day.
Hata kama hana ajira lakini siyo kila saa ndo nionekane mimi baba mwenye nyumba. Yaan resty ndo anaonekana kamanda wa mjengo of which ndo ilivyo. Sasa uanaume wa mume wangu utakua wapi. Kwanza ningeolewa na mwanaume wa hivyo ningemchapa makofi kila siku[emoji23][emoji23] janaume gani. Hivi wamachame wa kweka ndo mumeamua muruangushe kilimanjaro nzima kweli? Hebu hii Christmas aitwe nyumbani mara moja apewe lesson. Huu ujinga hapaaanaaa. Pooooooh mbakaaaaaaaa.... kumpost public tu hata boyfriend kwangu kazi ndo kila saa awe kaniganda hivi?
Kweka wemanya makofi maduve maduve.
Eheeee mbeeeee. Ni msukwaaaaaa shuhashu[emoji23][emoji23]
Aaaasubutuuuuuu ajikute tu wa 89Mimi ninachojua tu amezaliwa 1989[emoji38][emoji38][emoji38]
amu unalifahamu hili?Watoto watatu sio wawili mkubwa alimzaaga kabla ya sosho midia ila ndo anamuweka nyumanyuma kama HG na saa nyingine anasema sio wake ila ndo first born
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Haha haaa ....Mxiuuuuu[emoji57][emoji57]
Kwenda huko
Nilisikia yule ni wake Ila kwanini alikuwa ana mu treat ka house gelo, tangu achambwe sikuhizi hamu post tena, Ila yule mtoto mkubwa alimzaa na umri gani maana resty ni wa tisini na yule mtoto ni mkubwaWatoto watatu sio wawili mkubwa alimzaaga kabla ya sosho midia ila ndo anamuweka nyumanyuma kama HG na saa nyingine anasema sio wake ila ndo first born
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Haha haaa ....Mxiuuuuu[emoji57][emoji57]
Kwenda huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie mwnyw sion ucharuko wa Rachel saiv, au ndo km walivosema huwa anawehuka asipokunywa mashudu, now anaona anafatilia masharti,Hivi huyo shkuba huwa ni nani?
Ujue siku hzi hawachambani Hadi napitwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] me nikiwa 4m 2, it means ulinizidi 2 classes,2014!???[emoji849] Nitake radhi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mr"advocate anakata maunoo balaaa [emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Mjini msingi kiuno
Ukiwa form 2 2014?..Mimi ndiyo namalizia chuo mwaka huo..😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] me nikiwa 4m 2, it means ulinizidi 2 classes,
Daaaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangazi puliiiiiiiiiz taratibu , mambo yako huo ukunga wa kichaga vepeeeee?Mnakuwa na wanaume loosers.
Mwanaume unakubali kusimamia bar ya mwanaume mwenzako.
Haki mimi ningekuwa mama wa yule Kweka ningepiga ukunga mmoja wa kichaga mpaka akili ingemkaa sawa.
Duuuuh aseeeeeh, me napambana kuingia 4m 3, wee unavaa joho. Lol, kitambo San aseeeeh.Ukiwa form 2 2014?..Mimi ndiyo namalizia chuo mwaka huo..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaniiiii hana juu wala chini, mbele na nyuma usiseme
Resty mfanyabiashara sawa.
Na yeye hana schedules.
Mana wakili gani ukimgoogle unakutana na picha za leo saadan, kesho kubeba pochi, keshokitwa anatikisa moet , mwakani anachekelea pumbu za swala.
Weeeeh basi watuhumiwa wake wanafungwa kila siku.
Mana ana vacation 18 kwa mwaka, case reviews anafanya saa ngapi?
Mlevi mnooAlikuwa mzuri sana wa uso.
Alitokaga kwenye tangazo la voda jero jero.
Ni mzuri lakini si unajua tena kajiachia sasa hivi.
Diet zinamkataa mazoezi yanamkataa.
Taratibu anasoma humu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie mwnyw sion ucharuko wa Rachel saiv, au ndo km walivosema huwa anawehuka asipokunywa mashudu, now anaona anafatilia masharti,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji16] poaHaha haaa ....
calm down baby....
ukweli unauma!
Wa tisini? Hapana yule dada hata ukimuona live mkubwa bana..kama sio 85 basi 87Nilisikia yule ni wake Ila kwanini alikuwa ana mu treat ka house gelo, tangu achambwe sikuhizi hamu post tena, Ila yule mtoto mkubwa alimzaa na umri gani maana resty ni wa tisini na yule mtoto ni mkubwa