Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
I do not want a husband who kisses my black as* every second of the day.
Hata kama hana ajira lakini siyo kila saa ndo nionekane mimi baba mwenye nyumba. Yaan resty ndo anaonekana kamanda wa mjengo of which ndo ilivyo. Sasa uanaume wa mume wangu utakua wapi. Kwanza ningeolewa na mwanaume wa hivyo ningemchapa makofi kila siku[emoji23][emoji23] janaume gani. Hivi wamachame wa kweka ndo mumeamua muruangushe kilimanjaro nzima kweli? Hebu hii Christmas aitwe nyumbani mara moja apewe lesson. Huu ujinga hapaaanaaa. Pooooooh mbakaaaaaaaa.... kumpost public tu hata boyfriend kwangu kazi ndo kila saa awe kaniganda hivi?

Kweka wemanya makofi maduve maduve.
Eheeee mbeeeee. Ni msukwaaaaaa shuhashu[emoji23][emoji23]
Hana habari na kabati lake
 
Watoto watatu sio wawili mkubwa alimzaaga kabla ya sosho midia ila ndo anamuweka nyumanyuma kama HG na saa nyingine anasema sio wake ila ndo first born

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Nilisikia yule ni wake Ila kwanini alikuwa ana mu treat ka house gelo, tangu achambwe sikuhizi hamu post tena, Ila yule mtoto mkubwa alimzaa na umri gani maana resty ni wa tisini na yule mtoto ni mkubwa
 
Hivi huyo shkuba huwa ni nani?
Ujue siku hzi hawachambani Hadi napitwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie mwnyw sion ucharuko wa Rachel saiv, au ndo km walivosema huwa anawehuka asipokunywa mashudu, now anaona anafatilia masharti,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] me nikiwa 4m 2, it means ulinizidi 2 classes,
Daaaaaah
Ukiwa form 2 2014?..Mimi ndiyo namalizia chuo mwaka huo..😂😂😂😂
 
Mnakuwa na wanaume loosers.


Mwanaume unakubali kusimamia bar ya mwanaume mwenzako.

Haki mimi ningekuwa mama wa yule Kweka ningepiga ukunga mmoja wa kichaga mpaka akili ingemkaa sawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangazi puliiiiiiiiiz taratibu , mambo yako huo ukunga wa kichaga vepeeeee?
Daaaaah nimecheka had mbavu zinauma mweeeeeh.
 
Ukiwa form 2 2014?..Mimi ndiyo namalizia chuo mwaka huo..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuuuh aseeeeeh, me napambana kuingia 4m 3, wee unavaa joho. Lol, kitambo San aseeeeh.
 
Ni nini lakini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja nitafute picha kama ni handsome on top of all this description
Yaniiiii hana juu wala chini, mbele na nyuma usiseme
Resty mfanyabiashara sawa.
Na yeye hana schedules.

Mana wakili gani ukimgoogle unakutana na picha za leo saadan, kesho kubeba pochi, keshokitwa anatikisa moet , mwakani anachekelea pumbu za swala.

Weeeeh basi watuhumiwa wake wanafungwa kila siku.
Mana ana vacation 18 kwa mwaka, case reviews anafanya saa ngapi?
 
Alikuwa mzuri sana wa uso.

Alitokaga kwenye tangazo la voda jero jero.

Ni mzuri lakini si unajua tena kajiachia sasa hivi.

Diet zinamkataa mazoezi yanamkataa.
Mlevi mnoo

Tena leo naenda kwake, ila sitamkuta shoga angu maana namuona sijui serengeti huko anamwambia 'advocate' " piga keleleee akee weeeeewee, Simbate[emoji16][emoji16] ( hapo simba alikuwa anakatisha pembeni ya gari lao[emoji23][emoji23][emoji16])

Ha ha demu kapinda balaa[emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie mwnyw sion ucharuko wa Rachel saiv, au ndo km walivosema huwa anawehuka asipokunywa mashudu, now anaona anafatilia masharti,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Taratibu anasoma humu

ID kama mchanga
 
Nilisikia yule ni wake Ila kwanini alikuwa ana mu treat ka house gelo, tangu achambwe sikuhizi hamu post tena, Ila yule mtoto mkubwa alimzaa na umri gani maana resty ni wa tisini na yule mtoto ni mkubwa
Wa tisini? Hapana yule dada hata ukimuona live mkubwa bana..kama sio 85 basi 87
 
Back
Top Bottom