Revealed: Government development projects are underfunded

Revealed: Government development projects are underfunded

Duh! Hii kauli ni ya kushangaza sana hasa ukitilia maanani vyanzo vingi vya halmashauri za Majiji na Wilaya zimechukuliwa na Serikali katika ile hila yake ya kuikwamisha CHADEMA ambayo kwa mara ya kwanza inaziongoza halmashauri nyingi za Majiji na Wilaya nchini kuliko kipindi chochote kile tangu mfumo wa vyama vingi uanze rasmi nchini.

Nimemsikia Samia Suluhu yuko Mwanza anawaambia Halmashauri wakusanye kodi ili wajitosheleze na wasitegemee ruzuku toka Serkali kuu! Ni kitu ambacho hakitawezekana.
 
With this situation ukimwaga miela mingi ya maendeleo tutaibonya tu.. Magu sio mjinga
 
Na hakuna kauli inayoniudhi kama "wanaolalamika ni wapiga dili". Mimi nina kabiashara kangu...wakati wa JK kalikua angalau kanaendelea vizuri...nilikua nimeajiri watu watano....na hata sikuwahi "kupiga dili"...kwanza hizo tenda za serikali sijawahi hata kujaribu. Sasa hivi kabiashara kanapumulia mashine..mfanyakazi kabaki mmoja na hata huyo ana hatari ya kuondoka. Eti na mie mpiga dili?
Hajui tu ni jinsi gani anaumiza watu... CCM inajuta sana kutafuta watu wakuokoteza...

Kingunge alisema mnachagua Rais si Nyapara watu hawakusikia!! Heri yao walijionea mapema wakajitenga na aibu hii inayokuja mbeleni.
 
Hili la kupunguza Wafanyakazi wa Serikali litakuwa ni pigo lingine kubwa kwenye uchumi ambao tayari unayumba sana. Ni wakati sasa wa kuanza kuwasikiliza washauri wa mambo ya uchumi na kuwapa heshima yao wanaostahili badala ya kuwaona kama ni pingamizi wanataka tu kumchelewesha mtu asiyetaka kucheleweshwa na yeyote yule.

Na wenyewe wanaisoma Namba... Ndio Maana wanafikiria kupunguza watumishi wa Serikali tena... Dah... Wacha tumalize Akiba zetu tuje tudai kazi kilazima au Mtupishe...
 
Nimemsikia Samia Suluhu yuko Mwanza anawaambia Halmashauri wakusanye kodi ili wajitosheleze na wasitegemee ruzuku toka Serkali kuu! Ni kitu ambacho hakitawezekana.
Kwa amri... maagizo na matamko wako vizuri... ubaya wao hawajipi muda kufuatilia kwenye makabati yao kuna maazimio...maagizo na matamko mangapi hayafanyiwa kazi mpaka leo kabla ya kuendelea na mapya!!
 
That is the accurate word Mkuu. THANK YOU!

Hajui tu ni jinsi gani anaumiza watu... CCM inajuta sana kutafuta watu wakuokoteza...

Kingunge alisema mnachagua Rais si Nyapara watu hawakusikia!! Heri yao walijionea mapema wakajitenga na aibu hii inayokuja mbeleni.
 
Hili la kupunguza Wafanyakazi wa Serikali litakuwa ni pigo lingine kubwa kwenye uchumi ambao tayari unayumba sana. Ni wakati sasa wa kuanza kuwasikiliza washauri wa mambo ya uchumi na kuwapa heshima yao wanaostahili badala ya kuwaona kama ni pingamizi wanataka tu kumchelewesha mtu asiyetaka kucheleweshwa na yeyote yule.
Nasubiri takwimu za unemployment kutoka NBS (ambazo huenda zikapikwa). Maana zoezi la uhakiki vyeti limewaondoa watu wengi sana kwenye ajira...wengine ambao wanaujuzi hata kama vyeti ni shida. Halafu vyuo navyo vinazalisha wahitimu kila mwaka....UDSM imemwaga wahitimu wapya sokoni juzi. Sasa bado wanataka kupunguza tena? Mbona ni bomu la nyuklia linaandaliwa hapa?

Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
 
Hajui tu ni jinsi gani anaumiza watu... CCM inajuta sana kutafuta watu wakuokoteza...

Kingunge alisema mnachagua Rais si Nyapara watu hawakusikia!! Heri yao walijionea mapema wakajitenga na aibu hii inayokuja mbeleni.
Ombi langu tu ni kwamba busara itawale huko chamani wasije wakaturudishia tena huyu jamaa 2020

Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
 
Yaani wewe unawaza chama kikuletee mwingine au kuifagia kabisa CCM na laana zake?
Mkuu mimi baada ya kuona ile sinema ya jecha znz...imani yangu kwamba ccm inaweza kufyekwa bila damu kumwagika imetetereka.....na walishasemaga bungeni kwamba hawawezi kuondoka kwa makaratasi. Sasa wakati tunafuta namna ya kuwaondoa...basi walau watuletee mtu mwenye hulka ya uongozi kuliko huyu.
 
Hili la kupunguza Wafanyakazi wa Serikali litakuwa ni pigo lingine kubwa kwenye uchumi ambao tayari unayumba sana. Ni wakati sasa wa kuanza kuwasikiliza washauri wa mambo ya uchumi na kuwapa heshima yao wanaostahili badala ya kuwaona kama ni pingamizi wanataka tu kumchelewesha mtu asiyetaka kucheleweshwa na yeyote yule.
Sidhani kama ni Pigo sana maana miaka yote tulikuwa tunashauriana wenyewe kwa wenyewe kuwa tusitegemee sana kazi za kuajiliwa... wengine waliweza kujiongezea vipato wakafanikiwa na wengine waliweza hata kuacha kazi zao nzuri na kijukita kwenye issue tofauti... Sasa nadhani ndio tunaelekea hali ngumu na kila hali ngumu imtokeapo mtu ile akili ya asili hufunguka ili aendelee kuishi akili hizo sometimes huwa zinatuma vizuri au vibaya mbaya ni uwizi.. Nchi zilizoendelea zimepita kwenye vipindi hivi matokeo yake wakavumbua njia nyingi za kuwawezesha kuishi kwa maisha ya hali ya juu sana... ila wenzetu walikuwa na elimu sio sisi elimu za kuajiliwa unasomea hiki unaenda kufanyia kazi kingine....

Kwa Nchi kama Yetu am sure tutaabika Sana... Huyu Baba Speed yake kaikosea hesabu so mwishowe Engine itaknock tu maana hatizami kama Oil hamna.... Unakusanya kodi kwa watu wasio na kitu... atatufunga tu ajue kama mimi Load Licence ya Basi langu moja nililolikata kata sitolipa aminia...

Kuhusu Ushauri huyu Baba yetu wa sasa haambiliki na ukiweka Ushauri unashambuliwa na wapambe hii inaonesha wapambe kweli ni Nuksi... Kiufupi nataka Jamaa aumbuke sana kwa aina yake ya kuendesha Nchi... Tushapoteza vyetu vingi hivyo we have nothing to loose wala kuogopa... tumebanwa kila kona... Mikutano,Maandamano,Kwenye vyombo vya Habari... makazini yaani acha tu... Mkombozi wa Tanzania Atatoka Nje ya Tanzania
 
Back
Top Bottom