Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

poa mkuu tunasubiri mrejesho, ila angalia sana asije kupiga kipapai
 
Waumizaji
Sijawahi umiza mtu,ila mtu anapojipanga kukuanza mmalize.
Kwanini mleta mada anataka kuumiza binti na watu wake wa karibu? Kwanini asimalizane na huyo binti tu kimyakimya mpaka atake kuhusisha na familia nzima?
 
Hahahahahahaha mkuu mm nilimvunjia mtu ndoa kwa style inayofanana na yako

Hakuna mtu anapenda ujinga

Nenda mkuu nenda lkn kumbuka party two lije na mapicha picha
 
wewe Jamaa noma Jamaa wewe nimangi nini ??
duuuhh au watokea Mara aiseeeee hilo sinema sio la sayari hii mamaeeeeee lazima wakutambue
ujinga ujinga hautaki
rejesha heshima yetu yakiume aiseeeeee
duuuuhh kama namuona hivi nahao ndugu zao dadeq
 
Nasubiria part two Jan 7 au 8 hv, na popcorn zangu pembeni [emoji23][emoji23]
 
Unaweza kuita D Day. Sijui kama bidada anajua siku ambayo anaweza kuanguka na kupoteza faham
duuuuhh noma aiseeee kweli kuna watu wanaweza visasi mamaee..huyo binti ajiandalie makazi kuzimu kabisa aiseeee
 
hahaaa..wewe Jamaa nimchochezi aiseeeee..ati tarehe 22 nini ..???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…