Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Hahahahaha I survived to tell a tale
 
We jamaa acha kupenda ki hivyo isitoshe hayo mahusiano hayana hata mwaka....kinachofuata ni wewe kujiua maana unatumia mali kupata hao wanawake
Nipo conscious sana, very normal yaan.. nisome nielewe vizuri
 
Ushauri nje ya mada.
Punguza kuvuta bangi
 
Pata picha alafu unamkuta ma mwingine, vipi... we ngoja tar.07 si inakuja
 
id ya tarehe 6 dec 2017.😵 hivi shule ndo zilifungwa.tusije kuwa na watoto tunaongea nao hapa😡
 
Mkaushie2
Sio uhungwana kumuharibia mtu maisha yake kisa hasira zako
Amekuumiza sawa lkn c kwa kuonesha mambo yake ya siri mbele za hao wote
Bora ufanye ata kwa wazaz pekee ila sio mbele ya kadamnasi
Kaka mi navuja jasho, kazi ngumu.. nampa hela yeye mamaee.. nikijipa moyo ni wife alafu wadau wanaplan kumla tigo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…