Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Kama sio Chai za Jf basi kazi ipo mkuu.


Pole Sana, lakini pia angalia unaweza kumdhalilisha/kumuumiza lakini ukajikuta umejifedhehesha mwenyewe na ukadharaulika mbele ya Jamii yako iliyokuheshimu.
 
Kwanza nakupongeza.

Pili nakupa ushauri wa bure kabisa katika maisha yako maana naona hili kosa litazidi kukugharimu maisha yako yote.

Usije hata siku moja kumuamini mwanamke katika maisha yako. Hasa mwanamke asie ndugu yako wa dam.

Usije kurudia huo ubwege wa kua na mwanamke mmoja katika maisha yako, huo ni utaahira wa hali ya juu unafanya kiongozi.

Mwisho kabisa usije kufanya ujinga wa kumpa mwanamke moyo wako, mpe pesa, gari, nyumba nk ila usije hata siku moja kumpa moyo wako, kumpa mwanamke moyo wako ni sawa na kuweka maisha yako rehani.

Mimi baada ya kuwajua wanawake hawajawahi kunipa shida tena, walinisumbua awali ila baada ya kuwajua hawajawahi na hawatakuja kunisumbua tena.
 
Akaliwe tu, na simwambii chochote hadi azma yangu itimie..
Mkuu mi sio tajiri kivile ila hela ninayo, nampa huyu demu kila kitu hana uhitaji wa kitu chochote cha msingi kama mwanadamu..

Alafu kama huamini hili linakwenda kutendeka just save the date mshikaji wangu,
 
all the best man. tarehe 7 ukishafanya yako uni tag [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bro Je Sisi Wanaume Hatucheat?

Samahani Lakini!
 
Huna mdogo wako mkuu
 
Pole mkuu . Ila nipo hapa nangojea mrejesho wa tar 7
 
' A SADIST SOB'
 
Kulipiza kisasi kinawatuliza wengi.

Ningekuwa mimi ninheprint hizo chats zote halafu niweke kwenye bonge la kadi. Ile wananisubiria nawaandaa kabisa tunakuja halafu nampa dereva tax apeleke hiyo zawadi na ageuze chaap.

Nazima simu, wakiona nimechelewa hadi jioni watafungua zawadi tutakuwa tumemalizana juu kwa juu Hahaha
 
Over
 
Siku ya mrejesho usisahau kuniTAG
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…