Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Huu ni zaidi ya ujinga tu,Hivi binadamu gani asiyeweza kusamehe hata hizo ibada zako unafanyaje?

Kakika sisi wanadamu ni dhaifu,Kama alitereza na akasema hatorudia baasi ungemsamehe coz tayari ashakuoa wewe mtu wa msimamo ...!
 
Instincts zangu zinaniambia jamaa anamaanisha na kuna mtu limemkuta jambo.

Kama ni chai, basi jamaa ni yuko level za Sydney Sheldon na John Grisham kwenye utunzi!
Mimi naamini kwa sehemu ila huko kung'ang'ana kwa bibie ni kama kumetiwa chumvi. Halafu mtu aliyepambana namna hiyo anaambiwa mtu wako unayempenda kapata ajali amepelekwa India anakubali kirahisi tu na kuondoka? Haiingii akilini....hata hao wazazi jinsi walivyopambana kurejesha penzi naona kama haina uhalisia

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Halafu wanaume mnachekesha sana....eti mtu kutokuwa na mpango wa kando anachukulia ni kitu kikuubwa, anajiona mkamilifu au kama anamfanyia favour mwanamke wake. Yaani anatamani ukoo mzima wa mwanamke umshukuru, wamtungie na nyimbo za kumsifu kwa kuwa hana mchepuko. Unapokuwa kwenye mahusiano kuwa mwaminifu ni wajibu sio hisani nyie mbwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] (sijatukana, kwenye kikao chetu tulishakubaliana kuwa wanaume wote ni mbwa)

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ukifanya hivyo si ndio anaenda hongwa zaidi na hilo tundu lake la pili litakuwa kama la bella bellz[emoji1787]
 
Kuna mtu alikua anajiita jiwe lakini nimegundua alikua mkate tu

MzilanKENDE[emoji2][emoji1787][emoji1787]
 
Safi sana Mkuu KOROE wewe upo kama 100% ila mimi nimekuzidi kidogo. Mimi ningeshusha na kipigo ili kuweka alama ambayo ataikumbuka milele ningekata hata sikio moja ili kila akijiangalia kwa kioo akumbuke! Ulitakiwa umalize na kipigo cha Mbwa Koko
Utalala ndani we mzee sio kila sehemh unapiga

Kapigane na akina selemani kidunda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…