Hajamdhalilisha popote, kumbuka baba yake aliposema ukishindwa kuthibitisha kama bint yangu ni msaliti nitakushtaki kwa udhalilishaji na kumchafua bint yangu.Katika hii hadithi ni kweli kabisa mwanaume hakuwa msaliti na namsifu sana kwa kuwa na msimamo huo kwani ni wanaume wachache sana kama si pekeyake mwenye huo msimamo dunia yetu ya leo.
Mwanamke/binti amefanya usaliti na simtetei kwa kufanya usaliti kwa sababu ni tabia mbaya,pia ni halali yake kuachwa.
Shida ni namna mwamba alivyomuacha huyo binti,
Kulikuwa na ulazima gani wa kumdharirisha??
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndio kumdhalilisha kwenyewe hukoHajamdhalilisha popote, kumbuka baba yake aliposema ukishindwa kuthibitisha kama bint yangu ni msaliti nitakushtaki kwa udhalilishaji na kumchafua bint yangu.
Yaani unaandika kama Shekh Yahaya.Unajiona nabii kutambua yajayo.Nenda kamuoe wewe ili upate mke bora.Pamoja na yoote uliyoandika. Huyo mwanamke ndio alikuwa mkeo halali. Utakuja kumkumbuka. Mark ma word bro. Hii dunia haiko kama unavyofikir na kila binadam anapitia mambo mengi sana ujanan mpaka aje kuoa au kuolewa na ukizingatia na wewe utakuja kuzaa hukupaswa kufanya hivyo.
Na kwajins nikuonavyo huwez kuish na mwanamke. Nakuonea huruma aisee. Hv unafikir wewe ndio unavumbua maisha mkuu? Sio kila unachopanga kinakuwa kama unavyotaka vingine unadance accodingly. Hukupaswa kumfanyia binadam mwenzio hivyo hasa ukizingatia amekir kosa lake. Afanyeje sasa ili uelewe anajuta ajiue.? Nachokuahd mzee jiandae utapata dem kicheche hutaamin. Nachokushaur ndugu yangu. Usiishi kwa kukariri makosa ya watu. Vijana wenzio watakuona shujaa lakin cku ukiwa na watoto utajua ulikosea na mwanao afanyiwe hivyo utaumia sana.
[emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Halafu wanaume mnachekesha sana....eti mtu kutokuwa na mpango wa kando anachukulia ni kitu kikuubwa, anajiona mkamilifu au kama anamfanyia favour mwanamke wake. Yaani anatamani ukoo mzima wa mwanamke umshukuru, wamtungie na nyimbo za kumsifu kwa kuwa hana mchepuko. Unapokuwa kwenye mahusiano kuwa mwaminifu ni wajibu sio hisani nyie mbwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] (sijatukana, kwenye kikao chetu tulishakubaliana kuwa wanaume wote ni mbwa)
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Maneno kuntu mkuu...nakazia hapo uliposema hawezi kuishi na mwanamke. Sio mwanamke tu hata marafiki sidhani kama anao na nina mashaka hata wazazi wake wanamuogopaPamoja na yoote uliyoandika. Huyo mwanamke ndio alikuwa mkeo halali. Utakuja kumkumbuka. Mark ma word bro. Hii dunia haiko kama unavyofikir na kila binadam anapitia mambo mengi sana ujanan mpaka aje kuoa au kuolewa na ukizingatia na wewe utakuja kuzaa hukupaswa kufanya hivyo.
Na kwajins nikuonavyo huwez kuish na mwanamke. Nakuonea huruma aisee. Hv unafikir wewe ndio unavumbua maisha mkuu? Sio kila unachopanga kinakuwa kama unavyotaka vingine unadance accodingly. Hukupaswa kumfanyia binadam mwenzio hivyo hasa ukizingatia amekir kosa lake. Afanyeje sasa ili uelewe anajuta ajiue.? Nachokuahd mzee jiandae utapata dem kicheche hutaamin. Nachokushaur ndugu yangu. Usiishi kwa kukariri makosa ya watu. Vijana wenzio watakuona shujaa lakin cku ukiwa na watoto utajua ulikosea na mwanao afanyiwe hivyo utaumia sana.
Ndio shida yenu vijana. Hatuish katika ulimwengu ilioperfect so asitarajie maisha yake yote kila kitu kitakuwa sawa. Anatakiwa ajifunze ubinadamYaani unaandika kama Shekh Yahaya.Unajiona nabii kutambua yajayo.Nenda kamuoe wewe ili upate mke bora.
Moja kati ya sheria za maisha ni mpe mtu second chance sio third chance , fourth and so onPamoja na yoote uliyoandika. Huyo mwanamke ndio alikuwa mkeo halali. Utakuja kumkumbuka. Mark ma word bro. Hii dunia haiko kama unavyofikir na kila binadam anapitia mambo mengi sana ujanan mpaka aje kuoa au kuolewa na ukizingatia na wewe utakuja kuzaa hukupaswa kufanya hivyo.
Na kwajins nikuonavyo huwez kuish na mwanamke. Nakuonea huruma aisee. Hv unafikir wewe ndio unavumbua maisha mkuu? Sio kila unachopanga kinakuwa kama unavyotaka vingine unadance accodingly. Hukupaswa kumfanyia binadam mwenzio hivyo hasa ukizingatia amekir kosa lake. Afanyeje sasa ili uelewe anajuta ajiue.? Nachokuahd mzee jiandae utapata dem kicheche hutaamin. Nachokushaur ndugu yangu. Usiishi kwa kukariri makosa ya watu. Vijana wenzio watakuona shujaa lakin cku ukiwa na watoto utajua ulikosea na mwanao afanyiwe hivyo utaumia sana.
Binadamu huwa hawaishi kutafuta fault somewhere yaani lazima watafute leverage .Hapo umefanya hivyo wanakuita katili,Bado ungemsamehe ukamuoa na kumuwekea michepuko bado wangesema bora ungemuacha.Mimi nakushauri ungenyonga kabisa.
kuna watu wanaroho ngumu ukweli mimi siwezi kabisa roho yangu nyepesi na huruma nyingiTUENDELEE...
Nikaona mambo yasiwe mengi, nikamwambia poa aende akamrudishe rafiki yake kwenye ndoa yake and mimi nitamfkiria kuhusu ombi lake, nilishajua tayari ashakuwa dhaifu kwangu so hawezi kunizid maujanja, hata km anasema uongo bado hauwez kuniathiri maana lazima nimzid akili, kwanza ananipenda kimapenz hivyo tayari yupo kwenye ugonjwa wa akili hawezi kushindana namimi mwenye akili timamu, and nikapanga kabisa kwamba siwezi kuwa naye yule manzi.
Akaenda akamdanganya kwamba nimepata ajali na nina hali mbaya nimekimbizwa India, na kwa jinsi hali ilivyo sijui km nikipona nitabaki na uwezo wa kufanya chochote Kwahiyo akamwambia rafiki yake akakomae tu na ndoa yake, na akaishi na yule mwanaume maana kwangu tena maji yameshamwagika, binti akaona hakuna jinsi akarudi kwa mume wake, jamaa ndo hivyo akampokea maana ndo km anakopatia ridhiki, nasikia kumbe kipindi anakuja huku alikuwa tayari kanasa ujauzito wa mshikaji, ndo huyu rafiki yake akawa ananiambia alikuja kugundua baadaye km ni mjamzito means km mimi ningejichangnya kuwa naye kipind hiki basi ningetupiwa hilo zigo kumbe la mume wake huko.
Japo binti hana amani kwenye ndoa ile so dizain km anapanga mbinu amtoroke aende akaishi maisha yake peke yake. Huyu rafiki yake akaniambia yupo kwenye process ya kutoa ile mimba maana hataki kuzaa na mshkaji wake, then apotee kokote akaishi mwenyewe. By the way hainuhusu hiyo sasa, azae asizae, aishi au aondole anajua yeye.
Maisha yangu yameanza upya na dizain km yule demu karidhika na kuamin kwamba sipo nchini nipo India kwa matibabu, maana baadaye ikanilazimu nibadili tena namba za simu, sasa mtihan ninao kwa huyu rafiki yake maana ananipenda na anataka nitimize ahad maana kazi ameshaifanya. Hadi leo sijamla na sitamla, na hili kwangu ni dogo sana na nitalimaliza tu kirahisi.
Nimepata aman sana na sikumbuki ubaya na maumivu yote aliyonitendea yule binti, nimeridhika kwa hiki.
Yapo mambo mengine nimeyaexclude maana stori ingekuwa ndefu sana, ahsanten kwa kunifuatilia tangu mwaka 2017 hadi leo 2021.
MWISHO,
Mmmh hayajakukuta....kuna watu wanaroho ngumu ukweli mimi siwezi kabisa roho yangu nyepesi na huruma nyingi
Duh! Hatakama mkuuMmmh hayajakukuta....
Mkuu punguza makasiriko[emoji23]Halafu wanaume mnachekesha sana....eti mtu kutokuwa na mpango wa kando anachukulia ni kitu kikuubwa, anajiona mkamilifu au kama anamfanyia favour mwanamke wake. Yaani anatamani ukoo mzima wa mwanamke umshukuru, wamtungie na nyimbo za kumsifu kwa kuwa hana mchepuko. Unapokuwa kwenye mahusiano kuwa mwaminifu ni wajibu sio hisani nyie mbwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] (sijatukana, kwenye kikao chetu tulishakubaliana kuwa wanaume wote ni mbwa)
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sijakasirika mkuuMkuu punguza makasiriko[emoji23]
Dunia hii ukitaka iwe nyepesi na rafiki kwako inakutaka uwe na roho ngumu hasa,pia jifunze usianze wewe kumuumiza mtu subiri aanze yeye kisha umuonyeshe action.Una roho ngumu sana mzee....
Duh mkuu hii koment hii🤣😂😂😂Mkuu japo inaonekana uchumi wako upo njema lakini ikitokea kazi ya KUNYONGA WATU MAGEREZANI OMBA uendeleze kipaji chako uifanye Kama hobby tu
Haya bwana.Duh! Hatakama mkuu
Anacheka