Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Yaani hivi vitoto vya siku hivii hovyoo Sanaa
Kabisa mchumba janga hula na Wa kwao na huyo dada km inawezekana amkve on kabisa aachane kabisa na story za visasi na mshikaji itamcost Sanaa....ni Bora akubali yaishe tu afanye mengine

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ngoja tuone picha linaelekea wapi
Mungu awaepushie mabalaa maana visasi mwisho wake huwa siyo mzuri.
 
nina roho ngumu kama ya mkuu KOROE
nilimtimua mwanamke akiwa na ujauzito miezi tisa kabisa nikamrudisha kwao na ndoa ikafa.

alifika akakaa wiki moja akajifungua

Nilikataa kabisa kushauriwa na.mtu yeyote kuanzia mama, kaka zangu n.k

nikaonekana mi mbaya sana ila cha ajabu na yeye akaolewa tena ndoa haikukaa hata mwezi ikafa😅😅😅😅

mpaka sasa ni single mother at the age of 24
 
Safi sana huo ndio uanaume.
 
baada ya kufika binti akaanza kuangua kilio akisistiza asemehewe, akaomba km itashindikana kbs basi aishi namim km mfanyakazi wangu hata wa ndani, alikuwa anaongea upuuzi.
Bora ulivyomkataa angeweza hata kukuwekea sumu au kufanya kisasi chochote kile kukuadhibu.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…