Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
π€£π€£π€£π€£π€£TUENDELEE..
Nyumban taarifa zilikuwa zimeshafika, kuna ambao waliona sawa na kuna wajinga na dhaifu wakasema ningesamehe tu nimuoe, wapuuzi.
ITAENDELEA WAKUU.
Mrejesho: Sehemu ya tatu
Umpoke mara ngapi Mkuu π€£π€£π€£Nikawaza nimuite Yule binti ambaye ni rafiki yake aje, twende kwenye maduka ya nguo za harusi tukodi nguo ili tupigie picha alafu tuzitume hizo picha azidi kuonja joto la jiwe, nikiwa katikati ya mawazo hayo nikaona nimshirikishe yule mshkaji wangu hili wazo, jamaa alinisihi sana nisifanye hivyo akasema ninakoenda huko naenda kumpoka shetan majukumu yake namim ndo nitakalia kiti cha shetan sasa, maana shetan mwenyewe hayupo km mim endapo nitafkia huko.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu japo inaonekana uchumi wako upo njema lakini ikitokea kazi ya KUNYONGA WATU MAGEREZANI OMBA uendeleze kipaji chako uifanye Kama hobby tu
Aisee baada ya miaka mitano ndio unakuja kufungua code. JF hatari. Ila nakushauri kaa nalo maisha yaendeleeHii story ni ya ukweli nishakujua wewe ni nani na zamani nlikua na picha zako japo umejitahidi kusimulia kwa code kali sana ila nshakujua ila nikupe hongera hakika ulimpenda sana yule dada wa kimakonde na alikua mzuri wa sura haswa na kale ka rangi kake sasa sema nlikwambia wanawake wa vile sio wife material kabisa ni wakutumia tu maana msichana alikua anapenda bata yule loh....ngoja niishie hapa kwa leo....najua ushanijua
Naona mnafukua makaburi, JF ni kisima kikubwa sanaHii story ni ya ukweli nishakujua wewe ni nani na zamani nlikua na picha zako japo umejitahidi kusimulia kwa code kali sana ila nshakujua ila nikupe hongera hakika ulimpenda sana yule dada wa kimakonde na alikua mzuri wa sura haswa na kale ka rangi kake sasa sema nlikwambia wanawake wa vile sio wife material kabisa ni wakutumia tu maana msichana alikua anapenda bata yule loh....ngoja niishie hapa kwa leo....najua ushanijua
Mimi nimeanza kuusoma huu uzi jana. Lengo langu ni ku print PDF ya huu uzi na pia mke wangu nitampa hyo PDF aisome. Kisha nitabandika ukutani.
Nimecheka sana ...Mimi nimeanza kuusoma huu uzi jana. Lengo langu ni ku print PDF ya huu uzi na pia mke wangu nitampa hyo PDF aisome. Kisha nitabandika ukutani.
Miaka Imepita sasaDont do that,be a man unaweza sababisha maafa hata kifo kwa bint wa watu.
π π umeona eehNiijua katili ni Mimi tu kumbe kuna Chuo kabisa na kina Mkuu wake
Ngoja nii someMoja ya story bora sana JF.
πππππKumbe chai zilikuwa na waasisi nilidhani ni member wapya tu