Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Nikawaza nimuite Yule binti ambaye ni rafiki yake aje, twende kwenye maduka ya nguo za harusi tukodi nguo ili tupigie picha alafu tuzitume hizo picha azidi kuonja joto la jiwe, nikiwa katikati ya mawazo hayo nikaona nimshirikishe yule mshkaji wangu hili wazo, jamaa alinisihi sana nisifanye hivyo akasema ninakoenda huko naenda kumpoka shetan majukumu yake namim ndo nitakalia kiti cha shetan sasa, maana shetan mwenyewe hayupo km mim endapo nitafkia huko.
Umpoke mara ngapi Mkuu 🤣🤣🤣
Kwa hiki kisasi hata shetani atakuwa alipigwa na butwaa
 
Hii story ni ya ukweli nishakujua wewe ni nani na zamani nlikua na picha zako japo umejitahidi kusimulia kwa code kali sana ila nshakujua ila nikupe hongera hakika ulimpenda sana yule dada wa kimakonde na alikua mzuri wa sura haswa na kale ka rangi kake sasa sema nlikwambia wanawake wa vile sio wife material kabisa ni wakutumia tu maana msichana alikua anapenda bata yule loh....ngoja niishie hapa kwa leo....najua ushanijua
 
Hii story ni ya ukweli nishakujua wewe ni nani na zamani nlikua na picha zako japo umejitahidi kusimulia kwa code kali sana ila nshakujua ila nikupe hongera hakika ulimpenda sana yule dada wa kimakonde na alikua mzuri wa sura haswa na kale ka rangi kake sasa sema nlikwambia wanawake wa vile sio wife material kabisa ni wakutumia tu maana msichana alikua anapenda bata yule loh....ngoja niishie hapa kwa leo....najua ushanijua
Aisee baada ya miaka mitano ndio unakuja kufungua code. JF hatari. Ila nakushauri kaa nalo maisha yaendelee
 
Hii story ni ya ukweli nishakujua wewe ni nani na zamani nlikua na picha zako japo umejitahidi kusimulia kwa code kali sana ila nshakujua ila nikupe hongera hakika ulimpenda sana yule dada wa kimakonde na alikua mzuri wa sura haswa na kale ka rangi kake sasa sema nlikwambia wanawake wa vile sio wife material kabisa ni wakutumia tu maana msichana alikua anapenda bata yule loh....ngoja niishie hapa kwa leo....najua ushanijua
Naona mnafukua makaburi, JF ni kisima kikubwa sana
 
Back
Top Bottom