Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

OMBI: Me ikipita hiyo tarehe siku ya pili naomba namba yake tu
 
Hiyo nayo imetulia kiaina...
 
Watakaoumia zaidi ni wazazi wa pande zote, so jiandae kuumiza watu wengi zaidi ya huyo bi dada, hata hivyo mkuu wanawake waaminifu 100% ni wachache saana.
Mama Mzazi pekee, wengine wote siyo watu kabisa.
 
Kama nikweli na sio chai, hii itakua mbaya, unaweza kujikuta unajibu kesi ya manslaughter, na ujue atakaeumia sio yeye pekee, utaidhalilisha familia yake ambao hawakumtuma kufanya hayo(they are innocent), utadhalilisha familia yako especially mama na dada zako na mtageuka talk of the town, ila kwa sababu umeamua na bichwa lako limejaa kiburi na revenge utafikiri hiyo K uliambiwa na mganga wako ndiyo itakua ya mwisho kuchovya na hautapata nyingine, Jiandae kutibu kidonda cha majuto unless wewe sio binadamu wakawaida.
 
Umeonaee,wenyewe wanakuwa wachungu kweeli,

Ukimfumania demu wako unaempenda kwa dhati kweli machungu yatakuepo
Na yataisha
Sasa ya mwenzetu hapa kafumania kuwa dem wake analiwa TIGO(tumekusomaa,,!!)
Hapo sio MACHUNGU tu ni pamoja MAUMIVU kuliko hata ya mjamzito anapojifungua[emoji3]
 
Mkuu achana nae tu ,hakuna haja ya kuonesha picha coz hata ww utadhalilika tu,kwann upoteze mda na hela ya nauli na maandalizi?kumuacha ni pigo tosha kwake ,toa taarifa na udhibitisho kwa baba yake mkiwa wawili tu yule ni mwanaume mwenzako ataelewa,mim binafis sina iman na wanawake huwanakula na kusepa since longtime ,kikubwa n kutafuta mtoto tu ili hata siku ukifa uache coppy na ufute laana
 
Huo ndo uanaume shubaakengemiti lazma aisome no!
 
Duh,,sipati picha hali ya bi harusi ilikuwaje.!

Kavurugwa sana sanaaaa,
Kila mtu anayetaka kumchumbia akipewa ule mkasa basi anachapa rapa asubuhi kweupeeee.
Dada zangu ndiyo wamekuwa mavuvuzela ya kueneza hizi habari kwasababu wanamchukia sanaaaaa.
Ameisha sana yule dada na uzuri wote umepotea, juzi nimerudi Dar nikamkuta ana msongo wa mawazo hadi huruma.
 
Inapendeza kuona mwanaume kaonjeshwa cha mtema kuni...
Cc Heaven Sent

Mwisho wa siku anayeumia sana ni mwanamke,
Dunia inavyowachukulia wanawake na wanaume ni tofauti kabisa,
Wewe unaweza kuhisi umemkomoa mwanaume lakini mwisho wa siku unaishi kutumbukia kwenye lindi zito la matatizo.
 

Mhhhhhh,
Lakini hiyo adhabu ni nzito sana aisee!
Yani itamtia huyo dada kovu la maishaa.
Hata kuolewa kwake kutakuwa kugumu sana endapo jamaa atamwaga kila kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…