Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Kwa ufupi hii ni taarifa tu, so ushauri wako hautabadili chochote wala kuongeza chochote, vipi lakin uzima upo??

Ni hivi, mi huwa siumizwi alafu anayeniumiza akabaki salama, nikiumizwa mi nakuumiza mara 10 alafu fresh, maisha yenyewe mafupi haya, mi niwe na stress alafu wew ucheke ili kiwe nini... sipendagi ubwege kabisa, na nitabaki kwenye kumbukumbu zako milele ukijifanya kuniletea habari za ajabu..
Una ndugu wa kike.....itafikia hatua utakua na watoto pia.....matukio yote mabaya tunayowatendea watu...hua yanarudi tena kututafuna iwe kwetu au kwa watoto wetu.....Muombe sana Mungu aendelee kukupa maisha marefu.....kusudi akupe fundisho la maisha akupe maumivu.....alaf utakuja hapa kutuletea tena stori ya maumivu....ndefu kama hii!!!!
 
Una ndugu wa kike.....itafikia hatua utakua na watoto pia.....matukio yote mabaya tunayowatendea watu...hua yanarudi tena kututafuna iwe kwetu au kwa watoto wetu.....Muombe sana Mungu aendelee kukupa maisha marefu.....kusudi akupe fundisho la maisha akupe maumivu.....alaf utakuja hapa kutuletea tena stori ya maumivu....ndefu kama hii!!!!

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kwani Huyo Binti yeye Alifanya Vyema Kwa Kutoka Nje. Anapigwa Nje na Jamaa Jingine ambalo Hata Inawezekana wangefunga Ndoa Wangeendelea Kupigana Miti
 
Kwani Huyo Binti yeye Alifanya Vyema Kwa Kutoka Nje. Anapigwa Nje na Jamaa Jingine ambalo Hata Inawezekana wangefunga Ndoa Wangeendelea Kupigana Miti
Toka umeanza mahusiano ujawai kucheat.....tofauti na hvo usaliti unafanyika hata kweny mambo mengine tofauti na mapenzi.....ukiona mtu amejua kosa lake na amelikubali kosa...msameh. tu.....basi hakuna kingine!!

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Toka umeanza mahusiano ujawai kucheat.....tofauti na hvo usaliti unafanyika hata kweny mambo mengine tofauti na mapenzi.....ukiona mtu amejua kosa lake na amelikubali kosa...msameh. tu.....basi hakuna kingine!!

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kumsamehe msaliti HAPANA KWA KWELI.
Mi nikithibitisha tu umenisaliti ITS DONE ME AND YOU.
Hakuna cha second chance Wala nini, yaani ni kila mtu afate njia yake.

#YNWA
 
Watu wanamuona mleta mada katili kwasababu ya emotional feeling zao zimewachota kwenye hii story waamnini hivyo,
yani walitaka kuona Happy ending kwa huyo binti ndio wafurahi...

nilichogundua kutoka kwa wadau ni hiki:
Mchumba wako unayemchumbia,kumuhudumia .. akikucheat Ni jambo la kawaida humu kwa wengi

Kunasa taarifa za makubaliano ya mchumba wako kutatka kufanya mapenzi kinyume cha maumbile - hili nalo sio jambo la kutisha humu watu wanaona ni kawaida sana..


Mwanamke wa hivi hafai kuwa mama wa familia

Anafaa kuwa mdanganji tu!

Hakuna ukatili wowote jamaa alioufanya zaidi ya kuonyesha uthibitisho kuwa convice wazazi ambao walikuwa wakimsikiliza binti wa kilokole mwana kwaya, akikana hajawahi kufanya hayo makosa...

Mwenzie yupo busy anahangaika na ishu za posa na washenga..
Yeye yupo busy na free data ya fb messenger anauza side A elfu70, side B wame bid kwa Laki...
life is not fear!
Jamaaa you made my day pita kwa mangi kunywa soda nakuja kulipa
 
Nimegundua kupitia comment wengi humu si waaminifu, mnapenda sana kusamehewa mkijiwekea kinga mkikosea nanyinyi msamehewe, ukikosea utalipia na ndo kanuni ya maisha ilivyo, kabla sijafanya lolote nilimtahadharisha huyu binti, wala haikuwa surprise kwa kilichotokea, alafu mbaya zaidi kuna wanaume humu nao wanasema eti mimi katili, ndo wonder mnapelekeshwa na wanawake zenu, malofa kweli.
Mkuu mm nakuheshim sana na ningekua rafiki yako ningefurahi sana, hongera sana kaka sisi wanaume na sio wavulana tunakunight kuanzia Leo utaitwa "SIR KOROE"
 
Nina shida moja katika maisha yangu, nayo kuwa tayari kupokea ninachostahili, kuna kosa nililifanya kwenye project moja hivi ikanisababishia nipoteze mamilioni ya pesa wala sikwenda kuomba msamaha wala kubargain nilipoteza ile fedha, namimi huwa nampa mtu anachostahili lakin natahadharisha kabla, kwahiyo akisema aje na kisasi nayeye, asee balaa lake sijui litakuwaje, ngoja tusubiri tuone, of course mimi mwenyewe sio mwepesi sana, anyway ngoja tusubiri tuone.
Kwa huu mkwala mkuu ata wadada wa jf wakickia MTU anaitwa KOROE watamuogopa na huu ndio mkwara wa kiume, nimekubali mkuu ww ndio real modal wa wanaume wengi kwa sasa APA jf, heshima kwako mkuu.
 
Cheat woman (wife) hapewi msamaha, personally nimewahi kushindwa kusamehe mwanamke aliyecheat end of the day we breakup. Guys, living with a cheat wife is the same as living with snake in the same house roof kama uko jela vile , manake kwa mtu kama mm nkimuona tu anatembea nakumbuka alichofanya ! I dont forgive cheat woman solution huwa mmoja ni kuachana ili niwe huru maanake kuishi na mzinifu ni sawa na maisha ya jela!! Jamaa umetisha sana hongera sana
 
Huruma za kipumbafu huwa mara zote zinapelekea kuleta neno Ningejua. Hivi unayemtetea huyu binti unadhani angesema tu kikaoni pale ninamuacha sitoendelea tena na utoaji wa mahari pangeeleweka!? Baba mtu alikuwa keshaanza kuwaka moto na kumtishia jamaa atampeleka kwenye vyombo vya sheria, wewe unaetetea unaona ni sawa!?

Jamaa alishamtahadharisha binti tangu siku ya kwanza juu ya misimamo yake ila binti akaona, wewe nae ni wale wale tu. Na uzuri wangu huu utachomoka hapa!? Kuna watu huwa wanasema sijui usifuatilie simu ya mkeo sijui mchumba wako, huwa nawaona hawana akili timamu. Nihusike katika kila kitu chako, halafu simu tu, nisihusike nayo!?

Sisi wenye misimamo ya namna hiyo tupo na nilishagasema mimi sinaga rivasi kama pikipiki. Jumamosi moja niligombana na mwanamke nlokuwa naishi nae, akawa anarusha maneno hasa ya kejeli na dhihaka, nikawa namsikiliza tu baadae mi nikalala. Nimeamka hiyo jpili ya kimbunga Jobo nikajiandaa nikaenda mzigoni, narudi jioni nikakuta nyumba yote giza. Nikaangalia tunapowekaga funguo nikaiona, nikaingia ndani sikumkuta na kuna vitu akawa kaondoka navyo bila kunitaarifu wala kuniomba. Nilipoona ile hali nikasikitika tu kisha nikatoa tabasamu ya Uchungu kisha nikasema Sawa, nikafuta namba zake zote. Sijamtafuta mpaka leo wala sina mpango wa kumtafuta maisha.
Kumbe tupo wengi ume ndani tulio km jamaa
 
Back
Top Bottom