Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,188
- 3,762
Big Up sana mwanaume lazima uwe na msimamo thabitiSijampata, na wala sio kipaumbele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Big Up sana mwanaume lazima uwe na msimamo thabitiSijampata, na wala sio kipaumbele.
So do I 😊Tabia yangu ni kwamba kamwe siwezi kuwa na mpenzi zaid ya mmoja kwa wakati mmoja, so nikiwa na mmoja huyo huyo....
Ukimpa mtu nafasi yathamani na akashindwa kuishikilia. Siku ikiondoka anajuta maisha yake yote.Daah uyu jamaa ana roho ngumu mno.
Kisasi gani hicho kisichoisha ulipomuaibisha kwao ilikua imetosha kabisa.
Sa tatizo pia lipo kwa huyo manzi hajui kuacha mtu aende upendo gani huo, au wewe ndo ulimbikiri, yani unamwambia humtaki bado anakuganda namna iyo.
Mliishia wapi na binti namba 2?TUENDELEE...
Nikaona mambo yasiwe mengi, nikamwambia poa aende akamrudishe rafiki yake kwenye ndoa yake and mimi nitamfkiria kuhusu ombi lake, nilishajua tayari ashakuwa dhaifu kwangu so hawezi kunizid maujanja, hata km anasema uongo bado hauwez kuniathiri maana lazima nimzid akili, kwanza ananipenda kimapenz hivyo tayari yupo kwenye ugonjwa wa akili hawezi kushindana namimi mwenye akili timamu, and nikapanga kabisa kwamba siwezi kuwa naye yule manzi.
Akaenda akamdanganya kwamba nimepata ajali na nina hali mbaya nimekimbizwa India, na kwa jinsi hali ilivyo sijui km nikipona nitabaki na uwezo wa kufanya chochote Kwahiyo akamwambia rafiki yake akakomae tu na ndoa yake, na akaishi na yule mwanaume maana kwangu tena maji yameshamwagika, binti akaona hakuna jinsi akarudi kwa mume wake, jamaa ndo hivyo akampokea maana ndo km anakopatia ridhiki, nasikia kumbe kipindi anakuja huku alikuwa tayari kanasa ujauzito wa mshikaji, ndo huyu rafiki yake akawa ananiambia alikuja kugundua baadaye km ni mjamzito means km mimi ningejichangnya kuwa naye kipind hiki basi ningetupiwa hilo zigo kumbe la mume wake huko.
Japo binti hana amani kwenye ndoa ile so dizain km anapanga mbinu amtoroke aende akaishi maisha yake peke yake. Huyu rafiki yake akaniambia yupo kwenye process ya kutoa ile mimba maana hataki kuzaa na mshkaji wake, then apotee kokote akaishi mwenyewe. By the way hainuhusu hiyo sasa, azae asizae, aishi au aondole anajua yeye.
Maisha yangu yameanza upya na dizain km yule demu karidhika na kuamin kwamba sipo nchini nipo India kwa matibabu, maana baadaye ikanilazimu nibadili tena namba za simu, sasa mtihan ninao kwa huyu rafiki yake maana ananipenda na anataka nitimize ahad maana kazi ameshaifanya. Hadi leo sijamla na sitamla, na hili kwangu ni dogo sana na nitalimaliza tu kirahisi.
Nimepata aman sana na sikumbuki ubaya na maumivu yote aliyonitendea yule binti, nimeridhika kwa hiki.
Yapo mambo mengine nimeyaexclude maana stori ingekuwa ndefu sana, ahsanten kwa kunifuatilia tangu mwaka 2017 hadi leo 2021.
MWISHO,
Lol!Bado najiona nipo sahihi hadi leo, anyway maisha yanaendelea.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]Lol!
Kaka una roho ngumu wewe[emoji119]
Kaka mkavuuu!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
[emoji16][emoji16]hao ndo watu wenye misingi wasioyumbishwa ni sawa na kwenye biblia walivyosema nyumba imara ni ile iliyojengwa juu ya mwamba uje upepo mkali au kimbunga daima haitotikisika.Kaka mkavuuu!!
Alooo[emoji119]
Malipo ni hapa hapa Duniani naona unasifiwa sana kwa maamuzi yako ya kijinga.
Wewe ni mkamilifu sana usiekosea? Wewe toka umekua umekua faithfull hadi leo? Haukosei watu?
Hukumu na Malipizi ni ya Bwana. Utakumbuka siku moja ujumbe huu..
Hakuna aliyejitosheleza na Hakuna asiyekosea ndio maana ya neno Binadamu.
Asiyekosea ni Mungu tu.
Aisee!![emoji16][emoji16]hao ndo watu wenye misingi wasioyumbishwa ni sawa na kwenye biblia walivyosema nyumba imara ni ile iliyojengwa juu ya mwamba uje upepo mkali au kimbunga daima haitotikisika.
Nilishuhudia jamaa kwenye daladala akitaka kumzingua mzee wa watu kisa watu walijaa sasa ikatokea mtu kashuka jamaa fasta akawahi kukaa mzee akawa anamwambia we kijana si umpishe mdada akae kisa anaujauzito weeee yule mbaba alikalipiwa mixer tusi almanusura wazichape. Nikajisemea watu wamevurugwa kwelikweliAisee!!
Huo mwamba sijui wa chuma[emoji848]
Kaka hana chembe ya huruma
Huyu binti kuna mengi yamepita, ila kifupi tu nilifanikiwa kuruka mtego wake na sikulala naye. Japo haikuwa rahisi, ila NILIMHIBITI vilivyo. Ni hivyo Mkuu.Mliishia wapi na binti namba 2?
Muongo [emoji16]So do I [emoji4]
Serious mkuu. Ndo hivyo.Muongo [emoji16]
That is the spirit...Huyu binti kuna mengi yamepita, ila kifupi tu nilifanikiwa kuruka mtego wake na sikulala naye. Japo haikuwa rahisi, ila NILIMHIBITI vilivyo. Ni hivyo Mkuu.