Riba ya Benki Kuu yaongezwa hadi 6% kukabiliana na Mfumuko wa Bei

Riba ya Benki Kuu yaongezwa hadi 6% kukabiliana na Mfumuko wa Bei

KIuchumi BoT wako sahihi

Ila pia BoT waishauri serikali kuwa Tanzania tuna-import sana bidhaa kutoka nje.

Nchi inapoagiza bidhaa sana kutoka nje huwa inakabaliwa na imported inflation endapo bei ya bidhaa ni kubwa kutoka nchi ilipotengenezwa au kwa sababu ya kodi inayotozwa na serikali ikiingia nchini yaani import tariffs.

Sababu ya kwanza haipekuki ni lazima sisi tuwe na viwanda vyetu ili kupunguza importation

Ila sababu ya pili inawezekana, BoT waishauri serikali ipunguze kodi au import tariffs kwenye bidhaa muhimu tunazoagiza nje kama mafuta n.k
 
Unapongeza riba unapunguza matumizi

Kiuchumi riba ikiongezeka kasi ya kukopa inapungua hivyo pia matumizi ya watu yanapungua

Matumizi yakipungua na wauza bidhaa hushusha bei kwa sababu ya demand ya bidhaa zao kushuka

Huu ndio mwaka wa kwanza BoT kuingia kwenye mfumo wa interest rate based monetary policy

Kila baada ya miezi mitatu BoT itakuwa inaangalia hali ya uchumi na kuamua ikiwa wataongeza au kupunguza interest rate

Robo ya kwanza (Q1) Jan-March walianza na riba ya 5.5% robo ya pili (Q2) Apr-June wamepandisha hadi 6%

Acha tuone robo mbili zilizobaki Jul-Sep (Q3) na Oct-Dec (Q4) itakuwaje
Sina ABC za uchumi lakini ukiniuliza tatizo hasa la uchumi wa Tanzania mimi nitakumbia nchi yetu imekuwa ndiyo wachuuzi wakubwa wa bidhaa za nchi nyingine. Yaani kama nchi, hatuzalishi na wananchi wengi wamejiajiri kwenye sekta ya uchuuzi na kutoa huduma. Hili siyo jambo lenye afya kwa uchumi wa nchi yoyote.
 
Kwa ufinyu wa akili yako unajua wasomi wapo udam na udom tu???!!!
Kuna watu wanauishi uchumi halisi, Hana elimu ya makaratasi lakini fedha zake zilizopo kwenye mzunguko zimempa experience halisi ya uchumi na ongezeko au punguzo la riba linamgusa moja kwa moja na anajua madhara yake kuliko mchumi mwenye master wa udsm/dom ambaye hajawahi hata kununua hisa.
 
Sina ABC za uchumi lakini ukiniuliza tatizo hasa la uchumi wa Tanzania mimi nitakumbia nchi yetu imekuwa ndiyo wachuuzi wakubwa wa bidhaa za nchi nyingine. Yaani kama nchi, hatuzalishi na wananchi wengi wamejiajiri kwenye sekta ya uchuuzi na kutoa huduma. Hili siyo jambo lenye afya kwa uchumi wa nchi yoyote.
Hiyo ni long plan process maana hapo unazungumzia tuwe na favourable balance of trade (exports of a country exceeds its imports)

Lazima tuwe na industrial base kubwa ili kupunguza importation au kuchuuza bidhaa kutoka nje na kuongeza exportation.

Lakini ili tufikie lengo hilo hiyo siyo overnight process ni mchakato wa miaka mingi na nidhamu ya hali ya juu kama walivyofanya China na mataifa mengine ya Asia kama Japan na South Korea.

Kwa sasa tuangalie kile tunacho-export tukiongezee thamani, mfano bidhaa za kilimo na madini tuziuze zikiwa value-added products that make it worth a higher price kuliko kuziuza kama raw materials

Kisha tuwe na long plan za kuwekeza kwenye heavy industries hapa tunahitaji hasa kuwekeza kwenye teknolojia, elimu, na sera nzuri za kiuchumi.
 
Hiyo ni long plan process maana hapo unazungumzia tuwe na favourable balance of trade (exports of a country exceeds its imports)

Lazima tuwe na industrial base kubwa ili kupunguza importation au kuchuuza bidhaa kutoka nje na kuongeza exportation.

Lakini ili tufikie lengo hilo hiyo siyo overnight process ni mchakato wa miaka mingi na nidhamu ya hali ya juu kama walivyofanya China na mataifa mengine ya Asia kama Japan na South Korea.

Kwa sasa tuangalie kile tunacho-export tukiongezee thamani, mfano bidhaa za kilimo na madini tuziuze zikiwa value-added products that make it worth a higher price kuliko kuziuza kama raw materials

Kisha tuwe na long plan za kuwekeza kwenye heavy industries hapa tunahitaji hasa kuwekeza kwenye teknolojia, elimu, na sera nzuri za kiuchumi.
Ohoo, hapa umezidi kunifungua macho. Kumbe ni ''long process'' ambazo pamoja na kuwa na miaka 60 za uhuru, bado hatujaanza? Kwamba sasa hivi ndiyo tunatakiwa tujaribu kuangalia namna ya kuongeza thamani ya exports zetu! Aisee kazi ipo. Sasa ni kwa nini serikali haikubali kuwa tuna shida kubwa kwenye mfumo wetu wa uongozi na ikubali tuubadili? Katiba mpya, gang for life!!!
 
A government can also reduce government spending or reduce theft of project money to reduce money in circulation and reduce inflation.
In Tanzania there is rampant theft of government money, which increases money in the hands of individuals. Remember most of this money cannot be banked.
Chanzo cha inflantion ya Bongo. BOT wanategemea miujiza hiyo pesa irudi labda waombe wezi wa fedha za umma waanze kufanya matumizi makubwa. Na walalahoi waache kuwandamaa mafisadi wanaponunua mabasi,timu za mpira, viwanja, mahekalu na kuhonga dada zenu.
 
Wameongeza kupunguza mzunguko wa fedha huku nje!

Kwamba pesa ni nyingi kiasi hiki? Mbona watu tunazitafuta hatuzioni na hali ni ngumu watu hatununui vitu hovyo sababu pesa hatuna...

Labda sababu ya mfumuko wa bei, wanataka kushusha.

Hii njia walioichagua itazidi kutuumiza wananchi, atleast wangetumia njia ya kuuza goverment securities.
Wanazo wachache.......ukiona jinsi watu wanavyonunua mali ardhi nk utashangaa
 
Nataka niamini kuwa wana data za kutosha mpaka kufikia huu uamuzi lakini......tungependa kujuwa inflation iko wapi zaidi? Nyumba, vyakula, mafuta au rent.....Maana sisi Tanzania kama nchi sio wazalishaji tunategema sana import ukiondoa labda kwenye vyakula kama mboga mboga lakini Unga wa ngano, Mafuta tuna import. Kiujumla sisi sio wazalishaji. Sasa tuje kwenye hii la BOT, sio kila inflation mbaya lakini inflation nzuri ni ile inaenda sambamba na vipato vya watu vinaongezeka kwa maana shughuli za kiuchumi zinakuwa na watu wana pesa mikononi nyingi shida wanunuzi wengi kuliko bidhaa kwa maana demand and supply sasa nini solution, kuongeza production. Mfano kukiwa na nyumba inakodishwa wenye uwezo wachache ushindani mdogo sio rahisi kodi kupanda lakini kama pesa watu wanazo wengi wanagombania nyumba hizo hizo kukodi bei za kodi zitapanda solution kuongeza nyumba kuhimili soko. Basic ya yote ni Demand and supply.

Ndio maana BOT wangesema inflation hii imesababishwa na nini? Kama ni mafuta au tuseme bidhaa tunazoagiza nje hii haina maana yoyote kwa sababu huna control yoyote sababu kuu wewe zio mzalishaji. Hii inahitaji maelezo mengi.
 
Bot waliposhusha interest benki nyingi hazikushisha interest kwa wateja wao. Hata wakipandisha ni sawa.
Juzi bungeni waziri mkuu kasema mfumko wa Bei umepungua lakini gavana kamuumbua.
Uchumi umekuwa, mfumko wa bei umepungua, fedha mtaani zimeongezeka
 
Unapongeza riba unapunguza matumizi

Kiuchumi riba ikiongezeka kasi ya kukopa inapungua hivyo pia matumizi ya watu yanapungua

Matumizi yakipungua na wauza bidhaa hushusha bei au kubaki palepale kwa sababu ya demand ya bidhaa zao kushuka

Huu ndio mwaka wa kwanza BoT kuingia kwenye mfumo wa interest rate based monetary policy

Kila baada ya miezi mitatu BoT itakuwa inaangalia hali ya uchumi na kuamua ikiwa wataongeza au kupunguza interest rate

Robo ya kwanza (Q1) Jan-March walianza na riba ya 5.5% robo ya pili (Q2) Apr-June wamepandisha hadi 6%

Acha tuone robo mbili zilizobaki Jul-Sep (Q3) na Oct-Dec (Q4) itakuwaje
Trend ya uchumi ipo hivyo ,tatizo wakopaji wanalijua hilo!? Watu wanakopa tu kama mazoea bila ya kuangalia riba imepanda au lah.
 
Chanzo cha inflantion ya Bongo. BOT wanategemea miujiza hiyo pesa irudi labda waombe wezi wa fedha za umma waanze kufanya matumizi makubwa. Na walalahoi waache kuwandamaa mafisadi wanaponunua mabasi,timu za mpira, viwanja, mahekalu na kuhonga dada zenu.
Ina maana TISS/POLISI au hata serikali hawajui kwamba huyu dogo anayenunua timu kula uchao na kuagiza mabasi Ni mwizi wa pesa za umma?
Kila mtu anajua alikotokea, Ni ule umasjini hohe hahe.
MTU analipa wachezaji toka uruguay na Paraguay tiss hawaulizi pesa ametoa wapi, MTU analipa makocha toka Lebanon na Malayasia hawajiulizi anafanya biashara gani?
MO tunajua vyanzo vyake, je huyu? Mabasi yangekua yanalipa kihivyo wazee wa Simba mtoto TANGA si wangeweza hata kuifadhili Coastal union au timu yangu AFRICAN SOORTS.
 
Back
Top Bottom