Riba ya Benki Kuu yaongezwa hadi 6% kukabiliana na Mfumuko wa Bei

Riba ya Benki Kuu yaongezwa hadi 6% kukabiliana na Mfumuko wa Bei

Ina maana TISS/POLISI au hata serikali hawajui kwamba huyu dogo anayenunua timu kula uchao na kuagiza mabasi Ni mwizi wa pesa za umma?
Kila mtu anajua alikotokea, Ni ule umasjini hohe hahe.
MTU analipa wachezaji toka uruguay na Paraguay tiss hawaulizi pesa ametoa wapi, MTU analipa makocha toka Lebanon na Malayasia hawajiulizi anafanya biashara gani?
MO tunajua vyanzo vyake, je huyu? Mabasi yangekua yanalipa kihivyo wazee wa Simba mtoto TANGA si wangeweza hata kuifadhili Coastal union au timu yangu AFRICAN SOORTS.
Una imani na hivyo vyombo ulivyovitaja hapo juu?
 
Kwa hyo nn maoni yako bwam mchumi daraja la tatu
You must know the root cause of the disease before you prescribe the relevant medication!
What is the source of our inflation? Is it demand pull or cost push? Only then can you apply the relavant monetary policy at the correct time and not haphazardly!
To try to mop up what you perceive as excess liquidity in the economy when people are crying for lack of cash is counter intuitive!
 
Kutokuwa na imani naye haikusaidii pendekeza suluhisho na onesha alipokosea usiongee kama mlevi wa gongo. Governor wa BOT habahatishi.
Gavana wa Bot na kamati yake wamekuwa wapiga ramli!!
If they want to reduce the money in circulation, they must do research and find out where the excess liquidity is in the economy and its source!
Suppose the excess liquidity is caused by the government’s excesses and the payments are made to people who horde their money and don’t use the banking system, will the increase in interest rates affect their liquidity?
You have to identify sectors that have excess liquidity and their source in order to identify appropriate and effective policies so that you bring price stability.
 
When there's inflation a government through it's central bank it can reduce money circulation by implementing fiscal and monetary policies in an economy.

Monetary policy may include increasing interest rates in borrowing money by commercial banks , which may increase rates to reduce money in an economy hence curbing of inflation.

Fiscal policy implementation may include selling of Govt stocks, securities, treasury bill, bonds at lower rate to reduce money supply in an economy hence reduction of inflation rate.

Also inflation may be reduced by increasing production in an economy to increase exports and reduce imports at the same time to strengthen the balance of payments.
selling government stocks,securities and tresury was better solution and i would have choosen this if i were in governor position!
But let see…..
 
Back
Top Bottom