riba I = PRT/100
kama R= 17%
p= 12000000
T= 5
12000000x0.17x5= 10200000
riba kwa miaka mitano= 10200000
kwa hiyo ukichukua 12,000,000
riba kwa mwaka 10200000/5=2040000/=
utarudisha hela za watu 22200000/=
kwa miaka mitano
Mkuu ulikuja vizuri sana lkn ulipochukua 10,200,000/5=2,040,000/- halafu ukaja kwenye hitimisho kuwa ukichukua 12,000,000/- utarejesha 22,200,000/- hapo nimepotea kabisa.
1. Sijaelewa kwa nini umegawia 10,200,000 kwa 5 kupata hiyo 2,040,000/-
2. Sijaelewa hiyo 2,049,000 inakusudia nini.
3. Nimeelewa 12,000,000+10,200,000= ndo huzaa hiyo 22,000,000 na ukitoa kwa mkopo halisi ni maana yake bank kwa 12,000,000 unawazalishia 10,200,000/-
Rudi ufafanue tena mkuu. Maana 17% ya 12,000,000 ni 2,040,000 ambazo ukijumlisha na 12,000,000=14,040,000/-