Rich Mavoko hana furaha ndani ya WCB ingawaje imemletea mafanikio ya muda mfupi

Rich Mavoko hana furaha ndani ya WCB ingawaje imemletea mafanikio ya muda mfupi

Rich mavoko kuwa kwny lebel ya mond ni kosa ila ommy kusainishwa kwny lebel ambayo kiba ni miongoni mwa vioongozi pale ni kawaida tu watu hata hamlioni punguzeni mihemuko.......kuhusu kukosa raha izo ni personal feeling huwezi jua kuwa huyu mtu hana raha mpk pale atakaposema mwenyewe
Mimi namzungumzia Rich wewe unanitajia akina ommy na alikiba, ni kina nani hao katika hili?
 
mavocco ile style alotumia kuimba nyimbo zake iliishia kwenye pacha wangu!!..nilikua naipenda sana ipo slow flan hii ya sasa naona anataka blend na kina harmonize, rayvanny,mond etc namuona anakosa unique!!..
 
Mashabiki na media tunapenda kutengeza habari na kuchochea bifu baina ya wasanii.
Naona tumeanza kazi ya analysis ya tabasamu za watu na mpangilio katika kupiga picha, tupige midomo tuwezavyo kwa kua hatuna kazi ya kufanya.
Nashukuru kwa maneno yako tisa (9) uliyomalizia kuandika.
 
Msanii Richard Mavoko kutoka label ya WCB ambaye pia ni hit maker wa ngoma ya Show me anaonekana hana furaha kabisa kuwepo ndani ya label hiyo sema ndo vile tu hana jinsi kwa kuwa WCB imemletea mafanikio makubwa ndani ya muda mfupi na WCB imemtoa shimoni kwa kuwa alikuwa ameshaanza kusahaulika katika game


Kwenye post nyingi za WCB zinazotumwa mitandaoni huwa hawamuweki Rich au kama watamuweka basi atawekwa kwa pembeni sana .


Rich kutoka moyoni hamkubali Mondi sema njaa tu imemfanya akasaini kwenye label hiyo

Rich amewahi kusikika mara nyingi kwamba yeye ni almasi na diamond ni kipande cha chupa hivyo yampasa mtu awe mjuzi ili aweze kutofautisha vitu hivyo viwili


Kama unamfatilia kwa makini utamuona kabisa hata tabasamu lake halitoki moyoni kabisa bali anajilazimisha tu .


Na hata post iliyotumwa leo inadhihirisha ninachokisema View attachment 538016

Diamond amepost picha hii na kuandika WCB for life bila kuwajumuisha Rich na Lavalava


Rich Mavoko pia ndio msanii mwenye followers wachache zaidi kutoka WCB ingawaje amemzidi followers Lavalava
Unachosema ni sahihi kabisa, Richard alipaswa kuanzisha tample yake, maana uwezo na umaarufu na umri ulikua sawa tu na DAI. Sema sijui Nani alimpa ushauri wa kukata tamaa.
 
Msanii Richard Mavoko kutoka label ya WCB ambaye pia ni hit maker wa ngoma ya Show me anaonekana hana furaha kabisa kuwepo ndani ya label hiyo sema ndo vile tu hana jinsi kwa kuwa WCB imemletea mafanikio makubwa ndani ya muda mfupi na WCB imemtoa shimoni kwa kuwa alikuwa ameshaanza kusahaulika katika game


Kwenye post nyingi za WCB zinazotumwa mitandaoni huwa hawamuweki Rich au kama watamuweka basi atawekwa kwa pembeni sana .


Rich kutoka moyoni hamkubali Mondi sema njaa tu imemfanya akasaini kwenye label hiyo

Rich amewahi kusikika mara nyingi kwamba yeye ni almasi na diamond ni kipande cha chupa hivyo yampasa mtu awe mjuzi ili aweze kutofautisha vitu hivyo viwili


Kama unamfatilia kwa makini utamuona kabisa hata tabasamu lake halitoki moyoni kabisa bali anajilazimisha tu .


Na hata post iliyotumwa leo inadhihirisha ninachokisema View attachment 538016

Diamond amepost picha hii na kuandika WCB for life bila kuwajumuisha Rich na Lavalava


Rich Mavoko pia ndio msanii mwenye followers wachache zaidi kutoka WCB ingawaje amemzidi followers Lavalava
Ww umetumwa na Rich Mavoko ulie - lie kwa niaba yake?
Meneja Salam, Babu Tale, na Producer wao hayupo pichani na hakuna kilichoharibika?
Ziara zote anazokwenda Diamond lzma ambebe mgongoni Mavoko?
Rayvany alivyokuwa USA kwa BET ulimwona akiwa na Simba?
Ww ndiyo huna furaha baada ya Mavoko akiwa na akili zake timamu bila kulazimishwa na mtu kujiunga WCB.
 
Tumewekeza sana kwenye majungu umbea na udaku kuliko kufanya kazi. jpm
 
Ww umetumwa na Rich Mavoko ulie - lie kwa niaba yake?
Meneja Salam, Babu Tale, na Producer wao hayupo pichani na hakuna kilichoharibika?
Ziara zote anazokwenda Diamond lzma ambebe mgongoni Mavoko?
Rayvany alivyokuwa USA kwa BET ulimwona akiwa na Simba?
Ww ndiyo huna furaha baada ya Mavoko akiwa na akili zake timamu bila kulazimishwa na mtu kujiunga WCB.
Mpuuzi huyu. Yani wabongo tunapenda sana majungu.
 
Msanii Richard Mavoko kutoka label ya WCB ambaye pia ni hit maker wa ngoma ya Show me anaonekana hana furaha kabisa kuwepo ndani ya label hiyo sema ndo vile tu hana jinsi kwa kuwa WCB imemletea mafanikio makubwa ndani ya muda mfupi na WCB imemtoa shimoni kwa kuwa alikuwa ameshaanza kusahaulika katika game


Kwenye post nyingi za WCB zinazotumwa mitandaoni huwa hawamuweki Rich au kama watamuweka basi atawekwa kwa pembeni sana .


Rich kutoka moyoni hamkubali Mondi sema njaa tu imemfanya akasaini kwenye label hiyo

Rich amewahi kusikika mara nyingi kwamba yeye ni almasi na diamond ni kipande cha chupa hivyo yampasa mtu awe mjuzi ili aweze kutofautisha vitu hivyo viwili


Kama unamfatilia kwa makini utamuona kabisa hata tabasamu lake halitoki moyoni kabisa bali anajilazimisha tu .


Na hata post iliyotumwa leo inadhihirisha ninachokisema View attachment 538016

Diamond amepost picha hii na kuandika WCB for life bila kuwajumuisha Rich na Lavalava


Rich Mavoko pia ndio msanii mwenye followers wachache zaidi kutoka WCB ingawaje amemzidi followers Lavalava
Mnahangaika kwakweli na mambo ya watu
 
Lengo kuu la uzi tuone kibukta cha huyo mwanamke hivyo vingine ni vya kujazia jazia
 
Hivi uyo mkaa uchi kazi yake ni nn hapo wcb? au ndio kiburudisho cha wcb? lakini hakina hata mvuto hakifananii hata kuwa jike.
 
Back
Top Bottom