tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,482
Kumbe anaitwa Raymond? Ooooh! SASA ZAIDI YA KUMCOPPY BOSS MELODY WHAT THE HELL IS THE KID DOING? ATLEAST HARMO IS A COPY CAT BUT A GOOD ONE.
UJUE A MUSICIAN SHOULD HAVE HIS ID, SASA WAO WANATUMIA MELODY ID YA DOMO. Huyo dogo hata wimbo wa MANFONGma hii O SHEMEJI TUNAKULAGA UMENIBAMBA NILIUSIKIA ONCE ILA UMENIKAA KICHWANI. DOGO PAMOJA NA KUMUONA ENDLESS INSTA badooooooooo in harmonise voice.[/mkaQUOTE]
Raymond ngoma yake ya BADO, ni kali, sema nataka kiki ndiyo kachemka
Bro sasa apo sawa nn!!?Basi sawa
Wakikuroga wengne tutacheka saa ngpATABAKIA KUPROMOTE NYANYA NDO HADHI YAKE! HAHAHAAAAAAAAAA! HALOOOOOOOOOOO! KANIROGENIIII!
Basi usiendeleeee kusemaaa, mimi TEAM DAVIDO UJUE. Toto silipendi lile, toka limtukane Linda Ikeji. Mxiuuuu! Achaaa tu. BAE Davido, baba Imade Adeleke.
Basi uwe unajibu maswali sio unaleta mipasho.Hahahaaaa! Mimi kuogopa kukutag HILO SAHAUUUU! Yani uzi wangu mwenyewe, niamke ndani kwangu niuandike afu nimuogope mtu thubutuuuuuuuuuuu!
WEWE NDO HUWEZI KUWAZA AU KUONA KITU BEYOND DIMOND. NDO MAANA HUU UZI WA RICH MAVOKO ILA ALL YOU CAN THINK IS DIMOND DIMOND DIMOND!
Mie chuki sinaaa, WATANZANIA WOTE NI NDUGU SO TECHNICALLY NI NDUGU YANGU, HAHAHAAAAAAAA! DAVIDO IS BETTER THAN DIMOND IF THAT IS FACT. NDO MAANA ANA SALE OUT ARENAS NA HAFANYI SHOW ZA CHOCHORO. Dimond akikaza one day yes atafanya nae kama David Inshaalah!
Ila AY hajasign na WCB. Rich angemuajiri Sallam sawa sio ku sign kuwa chini ya label ya artist mwenzie. Tseee tseeee steee SMH!Haya ni mambo ya biashara anayeweza kuelewa vizuri ni mteja na mwenye Mali. Juzi nimeona AY akiamua kumpa Salaam kazi ya umeneja ili Salaam awe meneja wa AY. Pamoja na uzoefu wote alionao AY kwenye muziki lakini ameona ni vema afanye kazi na WCB. Sasa huyo Mavoko unadhani hana akili?
Tujifunze kuweka maneno ya akiba
Haya ni mambo ya biashara anayeweza kuelewa vizuri ni mteja na mwenye Mali. Juzi nimeona AY akiamua kumpa Salaam kazi ya umeneja ili Salaam awe meneja wa AY. Pamoja na uzoefu wote alionao AY kwenye muziki lakini ameona ni vema afanye kazi na WCB. Sasa huyo Mavoko unadhani hana akili?
Tujifunze kuweka maneno ya akiba
Kwani salam kaajiriwa kufanya nini hapo WCB kama sio kumsimamia Diamond? Pointi yangu ni kuwa watu wanaongea as if Diamond ndio atakuwa meneja wa Mavoko! Mavoko alichokifuata hapo ni management ya WCB, WCB kumilikiwa na Diamond sio ishu.Swali kwako, unasema D kawaajiri kina Salam, je Mavoko atakuwa amewaajiri au ameajiriwa?
Usichanganye vitu mkuu, WCB ni label, Salam ni mwajiriwa WCB, mmiliki wa label ni D. Mavoko atakuwa mwajiriwa kama alivyo Salam kila mmoja kwa majukumu yake.
Kwani salam kaajiriwa kufanya nini hapo WCB kama sio kumsimamia Diamond? Pointi yangu ni kuwa watu wanaongea as if Diamond ndio atakuwa meneja wa Mavoko! Mavoko alichokifuata hapo ni management ya WCB, WCB kumilikiwa na Diamond sio ishu.
Exposure pia muhimu watu awajatembea tusiwalaumu mtu katembea sana kaenda out masaki. So vitu vingine ni kusamehe tu lolUsipaniki, hivi ni vitu vya kawaida, chukua mfano wa huko mbele wasanii wakubwa kama nick minaj, drake, lil wine, Mick mill, Rick ross na wengine wakubwa tu wanavyosign kwenye label ya msanii mwenzao Birdman ya YMCMB.. hivi ni vitu vya kawaida... Sema tu una chuki yako binafsi
Natafuta kiki=unatafuta kikiBado ngoma ya HARMONISE