BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 377
- 435
Kila ifikapo Aprili 16 ni Kumbukizi ya Kuzaliwa ya Mbunge wa Jimbo la Chalinze na Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete. Kwenye Siku yake hii ya Kuzaliwa mwaka huu 2024, Kikwete ameitumia kusambaza upendo kwa wananchi mbalimbali kwa kutoa vyakula mbalimbali.
Kikwete ametumia siku hii kumshukuru Mungu na Wazazi wake wawili Mhe. Jakaya Kikwete (Rais Mstaafu wa Awamu ya 4) na Mama yake Aziza Binti Saburi kwa kumleta kwenye uso wa dunia na kuwa baraka siku zote kwenye maisha yake. "Miaka Mingi iliyopita, Baraka za Allah ziliangaza Nyumba ya Baba Jakaya Kikwete na Mama Aziza Bint Saburi na nilianza safari katika Uso Wa Dunia.
Naendelea Kumshukuru Allah na kuwashukuru sana Wazazi wangu wawili kwa Mazazi Yangu. Siku zote mmekuwa ni Baraka kwangu. Nawashukuru sana zaidi ninaposherehekea Siku nyengine katika Maisha haya. Allahu Akbar." Ameandika Kikwete kwenye ukurasa wake wa Twitter
Kikwete ametumia siku hii kumshukuru Mungu na Wazazi wake wawili Mhe. Jakaya Kikwete (Rais Mstaafu wa Awamu ya 4) na Mama yake Aziza Binti Saburi kwa kumleta kwenye uso wa dunia na kuwa baraka siku zote kwenye maisha yake. "Miaka Mingi iliyopita, Baraka za Allah ziliangaza Nyumba ya Baba Jakaya Kikwete na Mama Aziza Bint Saburi na nilianza safari katika Uso Wa Dunia.
Naendelea Kumshukuru Allah na kuwashukuru sana Wazazi wangu wawili kwa Mazazi Yangu. Siku zote mmekuwa ni Baraka kwangu. Nawashukuru sana zaidi ninaposherehekea Siku nyengine katika Maisha haya. Allahu Akbar." Ameandika Kikwete kwenye ukurasa wake wa Twitter