Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri mpaka na yeye amwage chozi kama Shigongo ndo hii taarifa itajitosheleza. Chezea Sizonje wewe.Taarifa haijajitosheleza
Hakuna bank uchwara, unajua dhamana bank inayoweka BOT, Hawa ni wakopaji wa mabilioni, mtu kama wewe haukawii kusema Bank M ni bank uchwaraRidhiwan huyu ndie yupi wakuu yule mliesema anamiliki masheli na kupitisha mizigo bure bandarini? Sio yule mukiemuita mwana mfalme kwamba yeye na baba ake wameliibia taifa? Kwa utajiei ule kweli wa kudaiwa na vibank uchwara au ndio zilikua propaganda zenu tu Bavicha?
Ila mkuu lowassa angekuwa rais pesa zetu za rambirambi zingeponaDuh safari hii Mh. Mbowe atauza mpaka miwani. Maana Lowasa angekuwa ndiye rais wala tusingesikia hizi habari, na ndiyo maana akina Mbowe walitaka Lowasa awe rais ili wafiche dhambi zao, ila Mungu ni Mwema.
Jamani si mlikuwa mnasema benki imefilisika kwa sababu ya uongozi mbaya wa Magufuli?Wadaiwa sugu benk ya Twiga Bancorp iliyochukuliwa na BoT wanaendelea kuhenya na kuhenyeshwa mitaani, imefahamika. Watu hawalali, watu hawanywi na watu hawali!
Zipo taarifa nyeti kutoka vyanzo vya uhakika kabisa kuwa mjengo wa Ridhiwan ulioko maeneo ya Sinza Mori huenda ukakumbwa na kimbunga kama dhamana juu ya deni analodaiwa kijana huyo na benki hiyo iliyofilisika hivi karibuni.
Hata hivyo thamani halisi ya jengo hilo bado haijajulikana.
Kweli acha na waisome namba ee
CCM ni ile ileeee Chalinze mnasemajee... tumejipangaa mwaka huu tumejipangaa.. tumejipangaa acha waisome nambaaa....!
Sijajua hiyo mikopo walikuwa wanapatapataje! Sijajua pia dhamana zake zilikuwa nini. Niliwahi kusema hapa kuwa huenda hizi taasisi za kifedha zinaendeshwa kishkajiUp to billion mtu mmoja MTUMISHI wa uma mmh!
Lakini kwa utajiri mliotuambia anao sio wa kudaiwa mkuu.Hakuna bank uchwara, unajua dhamana bank inayoweka BOT, Hawa ni wakopaji wa mabilioni, mtu kama wewe haukawii kusema Bank M ni bank uchwara
Nashangaa aiseeeee! Au ndo zile anazohamishia Dubai?Kwan mbowe iz Pesa za watu unapelekaga wapi
Hata Mbowe na Mdee wanadaiwa mabilioni ya pesa na Bank ya Twigaduh!
hii benki inakopesha wana ccm,inajiamini nini?
Inauma na inachukiza sana aiseeeee!Ndio maana alimtaka mamnvi achukue ili wapige dili pamoja haya mengine yote yasahaulike!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu umetisha sana,we n hatareeHuyu alipatikana baada ya kambi mbili kusigana sana (ya mlima korosho na mchunga ng'ombe), na mwishowe kamati kuja kumuondoa mchunga ng'ombe kwa hila. Sasa supporters wa mchunga ng'ombe wakaunganisha nguvu ili mlima korosho akose kama walivyokosa wao, ndipo akapatina huyu. Hakuwa kwenye mahesabu kabisa. Take it from here!
Hata Mbowe na Muheshimiwa Halima Mdee anadaiwa bilion 7. na bilioni 2.3 au wamehamia CCM?duh!
hii benki inakopesha wana ccm,inajiamini nini?