Tetesi: Ridhiwan Kikwete, Freeman Mbowe, Halima Mdee, miongoni mwa wadaiwa Twiga Bancorp

Tetesi: Ridhiwan Kikwete, Freeman Mbowe, Halima Mdee, miongoni mwa wadaiwa Twiga Bancorp

Wadaiwa sugu benk ya Twiga Bancorp iliyochukuliwa na BoT wanaendelea kuhenya na kuhenyeshwa mitaani, imefahamika. Watu hawalali, watu hawanywi na watu hawali!

Zipo taarifa nyeti kutoka vyanzo vya uhakika kabisa kuwa mjengo wa Ridhiwan ulioko maeneo ya Sinza Mori huenda ukakumbwa na kimbunga kama dhamana juu ya deni analodaiwa kijana huyo na benki hiyo iliyofilisika hivi karibuni.

Hata hivyo thamani halisi ya jengo hilo bado haijajulikana.
Kweli acha na waisome namba ee


CCM ni ile ileeee Chalinze mnasemajee... tumejipangaa mwaka huu tumejipangaa.. tumejipangaa acha waisome nambaaa....!
Zamani nilikuwa shabiki Mkubwa wa habari za mabaya ya wenzangu lkn kwa kadri siku zinavyokwenda najilaumu kushabikia matatizo ya wenzangu..nimekoma kabisa maana hatuelewi tunapopelekwa.
 
Hivi mikopo inatolewa kisiasa au kibiashara? Kama ni biashara na Mbowe ni mfanyabiashara anayetambulika shida hapo ni nini?

Tujiulize kwa nini bank nyingi zinapata hasara? Kwa nini wafanyabiashara wengi wameshindwa kurejesha mikopo?

Kwangu mimi economic mismanagement
 
Awali Rais wangu John Pombe Magufuli aliposema kuwa kuna wanasiasa wanaongea sana ilhali ni wadaiwa sugu kwenye mabenki hakika sikuelewa. Ila kadri siku zinavyoenda, inazidi kudhihiri kuwa hakika maneno ya Rais wetu ni kweli kabisa.

Taarifa rasmi nilizonazo ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mbunge wa Kawe Halima Mdee ni miongoni mwa watu waliochangia kufilisika kwa Benki hiyo. Taarifa hizo zinasema kuwa Freeman Mbowe peke yake anadaiwa mkopo wenye thamani ya shilingi bilioni saba hii ikijumuisha mkopo wenyewe na riba. Taarifa hizo zinasema kuwa kwa sasa Freeman Mbowe anahaha kuhakikisha anapata fedha za kulipa deni hilo ili kunusuru mali anazomiliki.

Taarifa hizo pia zinasema kuwa Halima Mdee alikopa Twiga Bancorp Juni 2011 kwa ajili ya ujenzi wa Jengo la Ghorofa mbili ambalo hata hivyo halijafahamika liko wapi. Kwamba, Halima Mdee alikopa shilingi Bilioni 2.3 kwa ajili ya mradi huo deni ambalo mpaka sasa halijalipwa.

Niwasihi tu wale ndugu zangu wakopaji, dawa ya deni ni kulipa. Basi. Kuruka ruka haijawahi kuwa dawa ya kukwepa ulimbo.
Warejeshe pesa zetu! Kumbe Mbowe alikuwa anakopa pesa na kuzipeleka kwny vyombo vya habari kujitangaza huku akijua hazizalishi instantly uwwwwiiiiii
 
Erick Shigongo yeye ameamua kumwaga chozi hadharani, asema mpaka kieleweke ccm imlipe mabilioni yake; yeye na ccm mbele kwa mbele
Alifanyia kazi gani CCM na yale majarida yake ya siku kwa siku?
 
RIDHIWANI HATA KUJA KUISOMA NAMBA ILE HALI RAISI KASHASEMA HATAFUKU MAKABULI
 
Duh safari hii Mh. Mbowe atauza mpaka miwani. Maana Lowasa angekuwa ndiye rais wala tusingesikia hizi habari, na ndiyo maana akina Mbowe walitaka Lowasa awe rais ili wafiche dhambi zao, ila Mungu ni Mwema.
Mungu kawaona
 
Awali Rais wangu John Pombe Magufuli aliposema kuwa kuna wanasiasa wanaongea sana ilhali ni wadaiwa sugu kwenye mabenki hakika sikuelewa. Ila kadri siku zinavyoenda, inazidi kudhihiri kuwa hakika maneno ya Rais wetu ni kweli kabisa.

Taarifa rasmi nilizonazo ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mbunge wa Kawe Halima Mdee ni miongoni mwa watu waliochangia kufilisika kwa Benki hiyo. Taarifa hizo zinasema kuwa Freeman Mbowe peke yake anadaiwa mkopo wenye thamani ya shilingi bilioni saba hii ikijumuisha mkopo wenyewe na riba. Taarifa hizo zinasema kuwa kwa sasa Freeman Mbowe anahaha kuhakikisha anapata fedha za kulipa deni hilo ili kunusuru mali anazomiliki.

Taarifa hizo pia zinasema kuwa Halima Mdee alikopa Twiga Bancorp Juni 2011 kwa ajili ya ujenzi wa Jengo la Ghorofa mbili ambalo hata hivyo halijafahamika liko wapi. Kwamba, Halima Mdee alikopa shilingi Bilioni 2.3 kwa ajili ya mradi huo deni ambalo mpaka sasa halijalipwa.

Niwasihi tu wale ndugu zangu wakopaji, dawa ya deni ni kulipa. Basi. Kuruka ruka haijawahi kuwa dawa ya kukwepa ulimbo.


Hizi ni habari mbaya kabisa na si suala la siasa rahisi rahisi tena, bali ni habari mbaya kabisa kwa uchumi wa nchi yetu!
Hao jamaa uliowataja, pamoja na wadaiwa sugu wengine wa mabenki, ni Watanzania wachache walithubutu ujasiriamali na kushindwa kwao ni mporomoko wa mitaji ya ndani! Sasa tungojee wachina waje na mitaji yao kuwekeza, na kama kawaida watakuja na wafanyakazi wote na kutuacha sisi tukiwa watazamaji!
HII NI HABARI MBAYA NA SERIKALI YETU INAPASWA JAPO KUSIKITIKA KAMA HAINA LA KUFANYA KUOKOA MITAJI NA JUHUDI ZA WAZAWA WENZETU!
 
Mkuu, mligeuza benki ya umma kuwa mali binafsi ya wana CCM mnaula sasa!!
Hahahah ana ukuu gan huyu....
alaf anasema taarifa haijajitosheleza taarifa zote zinazohusu mafisad ya ccm hazijajitosheleza lakin za chadema zimejitosheleza hahahaah
 
Ukweli ni kwamba huwa tubauziana sura na vitu vya mkopo kuna mbunge wa ccm kanda ya ziwa anadaiwa bilioni 10 na ECOBANK bado mda kidogo tuu ataaibika
Alipe tu kama anadaiwa,hatuangalii chama hapa anayedaiwa alipe!
 
Awali Rais wangu John Pombe Magufuli aliposema kuwa kuna wanasiasa wanaongea sana ilhali ni wadaiwa sugu kwenye mabenki hakika sikuelewa. Ila kadri siku zinavyoenda, inazidi kudhihiri kuwa hakika maneno ya Rais wetu ni kweli kabisa.

Taarifa rasmi nilizonazo ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mbunge wa Kawe Halima Mdee ni miongoni mwa watu waliochangia kufilisika kwa Benki hiyo. Taarifa hizo zinasema kuwa Freeman Mbowe peke yake anadaiwa mkopo wenye thamani ya shilingi bilioni saba hii ikijumuisha mkopo wenyewe na riba. Taarifa hizo zinasema kuwa kwa sasa Freeman Mbowe anahaha kuhakikisha anapata fedha za kulipa deni hilo ili kunusuru mali anazomiliki.

Taarifa hizo pia zinasema kuwa Halima Mdee alikopa Twiga Bancorp Juni 2011 kwa ajili ya ujenzi wa Jengo la Ghorofa mbili ambalo hata hivyo halijafahamika liko wapi. Kwamba, Halima Mdee alikopa shilingi Bilioni 2.3 kwa ajili ya mradi huo deni ambalo mpaka sasa halijalipwa.

Niwasihi tu wale ndugu zangu wakopaji, dawa ya deni ni kulipa. Basi. Kuruka ruka haijawahi kuwa dawa ya kukwepa ulimbo.
serikali yake yenyewe inadaiwa deni la kutupa sasa anasema wanaodaiwa kivipi tena lake linazidi kukuwa
 
Awali Rais wangu John Pombe Magufuli aliposema kuwa kuna wanasiasa wanaongea sana ilhali ni wadaiwa sugu kwenye mabenki hakika sikuelewa. Ila kadri siku zinavyoenda, inazidi kudhihiri kuwa hakika maneno ya Rais wetu ni kweli kabisa.

Taarifa rasmi nilizonazo ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mbunge wa Kawe Halima Mdee ni miongoni mwa watu waliochangia kufilisika kwa Benki hiyo. Taarifa hizo zinasema kuwa Freeman Mbowe peke yake anadaiwa mkopo wenye thamani ya shilingi bilioni saba hii ikijumuisha mkopo wenyewe na riba. Taarifa hizo zinasema kuwa kwa sasa Freeman Mbowe anahaha kuhakikisha anapata fedha za kulipa deni hilo ili kunusuru mali anazomiliki.

Taarifa hizo pia zinasema kuwa Halima Mdee alikopa Twiga Bancorp Juni 2011 kwa ajili ya ujenzi wa Jengo la Ghorofa mbili ambalo hata hivyo halijafahamika liko wapi. Kwamba, Halima Mdee alikopa shilingi Bilioni 2.3 kwa ajili ya mradi huo deni ambalo mpaka sasa halijalipwa.

Niwasihi tu wale ndugu zangu wakopaji, dawa ya deni ni kulipa. Basi. Kuruka ruka haijawahi kuwa dawa ya kukwepa ulimbo.
Kumchukia mwenye akili hakukufanyi uwe na akili- By Mchungaji Msigwa!
Kudaiwa Mdee hakukufanyi uwe na nafuu ya mboga nyumbani kwako au watoto wako watoke shule ya kayumba!
 
Acheni ujinga wenu sasa mlitaka mkopeshwe halafu hilo deni alipe nani? Mmeshindwa kurudisha fedha mlizokopa ,benki lazima irudishe fedha zake ilizowakopesha kwa kuuza dhamana zenu!! Kumbukeni hizo pesa benki ilizowakopesha ni za wateja wengine walio deposit humo na siku moja wakizitaka fedha zao benki itazitoa wapi kama haitauza dhamana zenu? Tulieni acheni sindano iwaingie taratibu.
[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hapo uliposema watulie sindano iingie taratibu
 
Duh safari hii Mh. Mbowe atauza mpaka miwani. Maana Lowasa angekuwa ndiye rais wala tusingesikia hizi habari, na ndiyo maana akina Mbowe walitaka Lowasa awe rais ili wafiche dhambi zao, ila Mungu ni Mwema.
Na ndio maana pia hatusikii Lugumi wala Escrow sababu hakuwa Lowasa angekuwa Lowasa yote yangekuwa waziiii
 
Back
Top Bottom