Tetesi: Ridhiwan Kikwete, Freeman Mbowe, Halima Mdee, miongoni mwa wadaiwa Twiga Bancorp

Tetesi: Ridhiwan Kikwete, Freeman Mbowe, Halima Mdee, miongoni mwa wadaiwa Twiga Bancorp

Duh safari hii Mh. Mbowe atauza mpaka miwani. Maana Lowasa angekuwa ndiye rais wala tusingesikia hizi habari, na ndiyo maana akina Mbowe walitaka Lowasa awe rais ili wafiche dhambi zao, ila Mungu ni Mwema.
Ndio maana JPM wana siasa hawakaa kuja kumpenda. Maana anawaumbua mchana kweupe wafuate taratibu...JPM hana tatizo na watu ila watu hasa hawa wanaojiita na kujinadi ni wazalendo, wameidhulumu sana nchi hii...time will tell
 
Mbona izo B Mbili za halima ni vijisenti tu,kuna waziri wa maliasili na utalii kipindi cha jk alinunua nyumba ya B moja csh money tena hela za haramu tu iweje hawa wanakopa na wapo kwenye system ya kulipa.vp wenye hela za haramu wanapogawana milioni kumi kumi kama rushwa tu kwao imekuwa sawa staki kuamini bank kufilisika kwa kiasi kidogo kama hiko aiwezekani
 
Awali Rais wangu John Pombe Magufuli aliposema kuwa kuna wanasiasa wanaongea sana ilhali ni wadaiwa sugu kwenye mabenki hakika sikuelewa. Ila kadri siku zinavyoenda, inazidi kudhihiri kuwa hakika maneno ya Rais wetu ni kweli kabisa.

Taarifa rasmi nilizonazo ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mbunge wa Kawe Halima Mdee ni miongoni mwa watu waliochangia kufilisika kwa Benki hiyo. Taarifa hizo zinasema kuwa Freeman Mbowe peke yake anadaiwa mkopo wenye thamani ya shilingi bilioni saba hii ikijumuisha mkopo wenyewe na riba. Taarifa hizo zinasema kuwa kwa sasa Freeman Mbowe anahaha kuhakikisha anapata fedha za kulipa deni hilo ili kunusuru mali anazomiliki.

Taarifa hizo pia zinasema kuwa Halima Mdee alikopa Twiga Bancorp Juni 2011 kwa ajili ya ujenzi wa Jengo la Ghorofa mbili ambalo hata hivyo halijafahamika liko wapi. Kwamba, Halima Mdee alikopa shilingi Bilioni 2.3 kwa ajili ya mradi huo deni ambalo mpaka sasa halijalipwa.

Niwasihi tu wale ndugu zangu wakopaji, dawa ya deni ni kulipa. Basi. Kuruka ruka haijawahi kuwa dawa ya kukwepa ulimbo.
Mbowe yuko Mikoani -kujenga chama,je ndiko anakohaha kusaka fedha za kuokoa Mali zake?
 
hivi watu kulipa madeni kunahusiana nini na kuisoma namba au mlitaka aingie mtu wenu ili muendelee kutafuna keki ya taifa peke yenu.Dawa ya deni ni kulipa
 
Ndio maana JPM wana siasa hawakaa kuja kumpenda. Maana anawaumbua mchana kweupe wafuate taratibu...JPM hana tatizo na watu ila watu hasa hawa wanaojiita na kujinadi ni wazalendo, wameidhulumu sana nchi hii...time will tell
Walio ithulumu hii nchi ni pamoja nayeye na wengi waliomzunguka na anaokaanao meza moja
 
Awali Rais wangu John Pombe Magufuli aliposema kuwa kuna wanasiasa wanaongea sana ilhali ni wadaiwa sugu kwenye mabenki hakika sikuelewa. Ila kadri siku zinavyoenda, inazidi kudhihiri kuwa hakika maneno ya Rais wetu ni kweli kabisa.

Taarifa rasmi nilizonazo ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mbunge wa Kawe Halima Mdee ni miongoni mwa watu waliochangia kufilisika kwa Benki hiyo. Taarifa hizo zinasema kuwa Freeman Mbowe peke yake anadaiwa mkopo wenye thamani ya shilingi bilioni saba hii ikijumuisha mkopo wenyewe na riba. Taarifa hizo zinasema kuwa kwa sasa Freeman Mbowe anahaha kuhakikisha anapata fedha za kulipa deni hilo ili kunusuru mali anazomiliki.

Taarifa hizo pia zinasema kuwa Halima Mdee alikopa Twiga Bancorp Juni 2011 kwa ajili ya ujenzi wa Jengo la Ghorofa mbili ambalo hata hivyo halijafahamika liko wapi. Kwamba, Halima Mdee alikopa shilingi Bilioni 2.3 kwa ajili ya mradi huo deni ambalo mpaka sasa halijalipwa.

Niwasihi tu wale ndugu zangu wakopaji, dawa ya deni ni kulipa. Basi. Kuruka ruka haijawahi kuwa dawa ya kukwepa ulimbo.
Hilo povu tuu, kuprempt ya riz, hiyo benki Ni ya ccm
 
Hao Watu Wawili Ndiyo Wameifilisi
Mleta Mada Tulia Ulete Habari Iliyokamilika Na Orodha Ya Wadaiwa Wote Sasa Unaposema Tetesi Halafu Ndani Kwenye Andiko Umedhibitisha Kuwa Hao Ndiyo Wadaiwa Na Ndiyo Wameifilisi Twiga Corp Bank
 
Ccm hakuna mxafi imejaa maovu hata malaika akishka anageuka kuwa shetani
 
Makamba aliliona mapema hili na ndio maana alisema Dodoma kuwa kama mlizoea ubatizo wa maji baridi basi huyu Yohana wa sasa hubatiza kwa maji Moto!
 
Tuelezi uchwara na wabunge wa CCM wanadaiwa shillingi ngapi maana zipo taarifa za uhakika walikopa?
 
Alikuwa anapiga nao dili anatamba kitaa, sasa wameishiwa mafungu, wamemgeuka anapiga ndulu
Akafanye kazi nyingine..hakuna msalia mtume wala adhana...kichwa kimeelekea kibra
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Ridhiwan huyu ndie yupi wakuu yule mliesema anamiliki masheli na kupitisha mizigo bure bandarini? Sio yule mukiemuita mwana mfalme kwamba yeye na baba ake wameliibia taifa? Kwa utajiei ule kweli wa kudaiwa na vibank uchwara au ndio zilikua propaganda zenu tu Bavicha?
Kwani Ridhiwan alikuwa na kiwanda cha kufyatua noti, alikuwa akitumia ujanja ujanja huu wa kukopa kwenye mabenki bila kulipa.
 
Dah...ile kauli Mh JPM ya malaika na mashetani sasa naanza kuielewa...hongera "kitengo" mliona mbali[emoji13] [emoji13]
 
Back
Top Bottom