Tetesi: Ridhiwan Kikwete, Freeman Mbowe, Halima Mdee, miongoni mwa wadaiwa Twiga Bancorp

Hakuna bank uchwara, unajua dhamana bank inayoweka BOT, Hawa ni wakopaji wa mabilioni, mtu kama wewe haukawii kusema Bank M ni bank uchwara
 
Siasa na Propaganda Maji taka. Kwani kama bank imemkopesha mtu na ameshindwa kulipa si taratibu za kibank za kurejesha na atuwa za kibank Zipo.
 
Jamani si mlikuwa mnasema benki imefilisika kwa sababu ya uongozi mbaya wa Magufuli?
 
Movie acha iendelee tutasikia mengi ...ongeza hapo juu Na shigongo ha ha ha
 
Hakuna bank uchwara, unajua dhamana bank inayoweka BOT, Hawa ni wakopaji wa mabilioni, mtu kama wewe haukawii kusema Bank M ni bank uchwara
Lakini kwa utajiri mliotuambia anao sio wa kudaiwa mkuu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu umetisha sana,we n hataree
 
pesa ya shigongo mmeshamlipa au ndo kashapigwa changa kada wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…