Weee mwanaaa hujakomaaHuo lazima ni mtego huenda usirudi kabisa,we haya.
Si amesema MKUTANO KWA MTANDAO!Huo lazima ni mtego huenda usirudi kabisa,we haya.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huo lazima ni mtego huenda usirudi kabisa,we haya.
Nyie ndio mmeishusha JF iliyokuwa ya GT's, wazito wa kuelewa! HAENDI CHINA atashiriki kwa njia ya MTANDAO.Huo lazima ni mtego huenda usirudi kabisa,we haya.
Huyu naye alikuwa ana jiona sana anawatishia watu kwenye utawala wa baba yake. Ukigombana naye anakutishia kukufukuza kazi wafanyakazi wengi wameenda kuomba msamaha kukubali ya ishe.Presidential material. Kaza buti kijana. Hawa ndiyo wanafaa kupewa Taifa. Siyo wale miungu watu wenye roho kutu
Its all coming back!"Nimealikwa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Vyama Vya Siasa nchini China @CPPCC_NUMUNxii inayoshughulikia mahusiano China-Africa kama Mwanasiasa Kijana leo. Nitawasilisha hoja ya Maendeleo ya Vijiji na Mchango wa Mahusiano ya Nchi zetu. Mkutano kwa Mtandao."
#Tunajifunza #RK