Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa sisi inatuhusu nini taarifa hiyo?"Nimealikwa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Vyama Vya Siasa nchini China @CPPCC_NUMUNxii inayoshughulikia mahusiano China-Africa kama Mwanasiasa Kijana leo. Nitawasilisha hoja ya Maendeleo ya Vijiji na Mchango wa Mahusiano ya Nchi zetu. Mkutano kwa Mtandao."
#Tunajifunza #RK
Seriously hujui implications za mambo kama haya?Sasa sisi inatuhusu nini taarifa hiyo?
Wale magaidiPresidential material. Kaza buti kijana. Hawa ndiyo wanafaa kupewa Taifa. Siyo wale miungu watu wenye roho kutu
Mkutano kwa video sip physicalHuo lazima ni mtego huenda usirudi kabisa,we haya.
Kwani alikuwa haendi? Alikatazwa na nani? Wabunge Wana pasa za kidiplomasiaKaanza tena biashara ya Ganda. Ila JPM alikuwa kiboko ya hawa. Sasa hivi Rizi moko anaanza kwenda tena China.
Rizione ni presidential material? Nchi hii ina bahati mbaya sanaPresidential material. Kaza buti kijana. Hawa ndiyo wanafaa kupewa Taifa. Siyo wale miungu watu wenye roho kutu
Ivi unaelewa ulicho kiandika, rudia tena kusomaPresidential material. Kaza buti kijana. Hawa ndiyo wanafaa kupewa Taifa. Siyo wale miungu watu wenye roho kutu
Mkuu sijui watu huwana wanafikilia nini kabla ya kukaa nyuma keyboard na ku-type. leo hii Rizione amekuwa presidential material, kweli hii ni TZ ambayo watu wake wanakuwa kama wamechanganyikiwaRizione ni presidential material? Nchi hii ina bahati mbaya sana
[emoji23][emoji23][emoji23] Bila Haya eti "presidential material ".Mkuu sijui watu huwana wanafikilia nini kabla ya kukaa nyuma keyboard na ku-type. leo hii Rizione amekuwa presidential material, kweli hii ni TZ ambayo watu wake wanakuwa kama wamechanganyikiwa
"Nimealikwa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Vyama Vya Siasa nchini China @CPPCC_NUMUNxii inayoshughulikia mahusiano China-Africa kama Mwanasiasa Kijana leo. Nitawasilisha hoja ya Maendeleo ya Vijiji na Mchango wa Mahusiano ya Nchi zetu. Mkutano kwa Mtandao."
#Tunajifunza #RK
Rais wa 2030 huyo"Nimealikwa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Vyama Vya Siasa nchini China @CPPCC_NUMUNxii inayoshughulikia mahusiano China-Africa kama Mwanasiasa Kijana leo. Nitawasilisha hoja ya Maendeleo ya Vijiji na Mchango wa Mahusiano ya Nchi zetu. Mkutano kwa Mtandao."
#Tunajifunza #RK
Kama ulikuwepo...... Bandari ya Bagamoyo mkakati unawekwa sawa...Mwaliko wa kimkakati!
Imenifanya nikumbuke jinsi Mchina alivyojiweka karibu na Makonda kipindi kile.
Mambo ya leverage hayo!
JamiiForums mobile app
Exactly,tumejifunza kutokumpa Tena Nchi mtu aliyekulia kwenye umasikini, Ridhiwani anafaa 2030Presidential material. Kaza buti kijana. Hawa ndiyo wanafaa kupewa Taifa. Siyo wale miungu watu wenye roho kutu
Tuna bahati mbaya sanaaRizione ni presidential material? Nchi hii ina bahati mbaya sana
Kama tulikuwa wote vile!HUU UZI NIMEUSOMA SIYO KWA UMUHIMU WA HABARI YAKE, BALI NILITARAJIA KUONA AINA FULANI YA MANENO TOKA KWA WACHANGIAJI. NA KWELI NIMEYAONA
Usikute wanataka kwenda kumkamata kwa ile issue yakeeeeee ileeee ya Regime ya 4!"Nimealikwa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Vyama Vya Siasa nchini China @CPPCC_NUMUNxii inayoshughulikia mahusiano China-Africa kama Mwanasiasa Kijana leo. Nitawasilisha hoja ya Maendeleo ya Vijiji na Mchango wa Mahusiano ya Nchi zetu. Mkutano kwa Mtandao."
#Tunajifunza #RK
Muwe mnasoma na kuelewa kabla ya kucomment,Usikute wanataka kwenda kumkamata kwa ile issue yakeeeeee ileeee ya Regime ya 4!