Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Hata wewe Mshana Jr umo kwenye saloon ya mamakimbo Buza!Its all coming back!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe Mshana Jr umo kwenye saloon ya mamakimbo Buza!Its all coming back!
Yasije tokea yaleyale"Nimealikwa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Vyama Vya Siasa nchini China @CPPCC_NUMUNxii inayoshughulikia mahusiano China-Africa kama Mwanasiasa Kijana leo. Nitawasilisha hoja ya Maendeleo ya Vijiji na Mchango wa Mahusiano ya Nchi zetu. Mkutano kwa Mtandao."
#Tunajifunza #RK
Labda kuna chenji ilibaki kaenda kuimalizia...Kwani hakumalizana na wachina?si tulisikia mzee alimalizana nao.
Lakini si ndo ukweli uliopo,ni vizuri mtu wenu ajue kuwa watanzania hawana imani nayeKama tulikuwa wote vile!
Nilijua tu watakuja wenye negativeness zao kwa familia hii
Swali zuri sanaKwani hakumalizana na wachina?si tulisikia mzee alimalizana nao.
Wamefanya lobbying kupitia backdoor ya miradi yao ya kimkakati iliyokuwa frozen. Mchina anajua sana kucheza n nyakati, asipopata mwenye mbwa [emoji240] anamtafuta mlinzi wa mbwa au anayepanga matumizi yake. Usinibishie kwani wachina nawjua zaidi ya wakwe zangu"Nimealikwa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Vyama Vya Siasa nchini China @CPPCC_NUMUNxii inayoshughulikia mahusiano China-Africa kama Mwanasiasa Kijana leo. Nitawasilisha hoja ya Maendeleo ya Vijiji na Mchango wa Mahusiano ya Nchi zetu. Mkutano kwa Mtandao."
#Tunajifunza #RK
Leo unamsifia Magufuli lakini kesho unatema nyongo hahahaa hutakagi shida kabisa.Kaanza tena biashara ya Ganda. Ila JPM alikuwa kiboko ya hawa. Sasa hivi Rizi moko anaanza kwenda tena China.
Unaalikwa Kama nani?"Nimealikwa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Vyama Vya Siasa nchini China @CPPCC_NUMUNxii inayoshughulikia mahusiano China-Africa kama Mwanasiasa Kijana leo. Nitawasilisha hoja ya Maendeleo ya Vijiji na Mchango wa Mahusiano ya Nchi zetu. Mkutano kwa Mtandao."
#Tunajifunza #RK
Muwe mnasoma na kuelewa : mkutano kwa njia ya mtandao:Huo lazima ni mtego huenda usirudi kabisa,we haya.
aah wapi, kwa Mungu yupi? hili jamaa lishindwe kila anacho jaribu kufanya, yaani awe masikini tena fukara haswaRais wetu ajae...safiiiiii
Kwa njia ya mtandao. Soma kwa utulivu.
Watanzania tumerogwa iv kweli lini tutajitambua??kweli mkuu hii inauma sana na usikute huyo jamaa aliyetype ni msomi kabisa,lakin mawazo ya ovyo zaidi, iv kweli riz moko presidential material ??, tuko serious kweli, nchi hii ili itobee labda kizazi hiki kipite, kama bado kunawatu wapo na wanamawazo ya ovyo kiasi hiki, kweli hii ni hatariMkuu sijui watu huwana wanafikilia nini kabla ya kukaa nyuma keyboard na ku-type. leo hii Rizione amekuwa presidential material, kweli hii ni TZ ambayo watu wake wanakuwa kama wamechanganyikiwa
Kabla ya kuandika , Umeushirikisha vizuri ubongo wako na Vidole????.Presidential material. Kaza buti kijana. Hawa ndiyo wanafaa kupewa Taifa. Siyo wale miungu watu wenye roho kutu
Taifa hili linawatu wa ovyo kama wewe, kweli tumepigwa tena tumepigwa haswa,nchi hii kutoboa labda kizazi hiki kipitePresidential material. Kaza buti kijana. Hawa ndiyo wanafaa kupewa Taifa. Siyo wale miungu watu wenye roho kutu
Huyu kijana kwa miaka sita iliyo pita hatukumsikia kokote akitajwa! Mara vapuu! Huyo! Kuna harufu ya kitu ambacho kingeichefua awamu ya tano!"Nimealikwa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Vyama Vya Siasa nchini China @CPPCC_NUMUNxii inayoshughulikia mahusiano China-Africa kama Mwanasiasa Kijana leo. Nitawasilisha hoja ya Maendeleo ya Vijiji na Mchango wa Mahusiano ya Nchi zetu. Mkutano kwa Mtandao."
#Tunajifunza #RK
... hawa kenge wameanza kujitokeza tena?
Huo lazima ni mtego huenda usirudi kabisa,we haya.