Ridhiwani Kikwete aalikwa mkutano mkubwa wa vyama vya siasa China

Ridhiwani Kikwete aalikwa mkutano mkubwa wa vyama vya siasa China

"Nimealikwa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Vyama Vya Siasa nchini China @CPPCC_NUMUNxii inayoshughulikia mahusiano China-Africa kama Mwanasiasa Kijana leo. Nitawasilisha hoja ya Maendeleo ya Vijiji na Mchango wa Mahusiano ya Nchi zetu. Mkutano kwa Mtandao."

#Tunajifunza #RK

Uwashukuru pia kwa kuachia ulipokamatwa na madawa ya kulevya
 
Wewe kumbe ni walewale " amanzi ga nyanza" ! Upeo mdogo na ukurupukaji wa kiwango cha SGR! Umeambiwa mkutano kwa mtandao lakini bado huelewi! Nchi hii imejaa vijana vil.aza sana na waliojazwa chuki za kijinga sana!
Kaanza tena biashara ya Ganda. Ila JPM alikuwa kiboko ya hawa. Sasa hivi Rizi moko anaanza kwenda tena China.
Ni
 
Wewe kumbe ni walewale " amanzi ga nyanza" ! Upeo mdogo na ukurupukaji wa kiwango cha SGR! Umeambiwa mkutano kwa mtandao lakini bado huelewi! Nchi hii imejaa vijana vil.aza sana na waliojazwa chuki za kijinga sana!

Ni
Kaanza biashara ya ganda unasubiria hadi akuambie
 
Kauli yako inaonyesha uko kwenye kundi la walio wajinga wengi ! Mliokuwa mnadanganywa eti Magufuli ni mtetezi wa wanyonge wakati Paulo Makonda anatembelea Vogue Sports na Lamborgin na kukatiza haki za watu kuishi ( Watu wasiojulikana) hadi Mike Pompeo kwa niaba ya Marekani akatoa tamko! Magufuli kimya huku akiimbiwa mapambio kuwa yeye ni Mungu na wajinga waliowengi! Acheni chuki kwa Kikwete! Watu walijenga maisha chini ya Kikwete! Kwa Magufuli hata choo hatukujenga!
Kweli hao ni kenge tu,unawatetea nini,hii nchi kweli tumepigwa haswa
ba
 
Kauli yako inaonyesha uko kwenye kundi la walio wajinga wengi ! Mliokuwa mnadanganywa eti Magufuli ni mtetezi wa wanyonge wakati Paulo Makonda anatembelea Vogue Sports na Lamborgin na kukatiza haki za watu kuishi ( Watu wasiojulikana) hadi Mike Pompeo kwa niaba ya Marekani akatoa tamko! Magufuli kimya huku akiimbiwa mapambio kuwa yeye ni Mungu na wajinga waliowengi! Acheni chuki kwa Kikwete! Watu walijenga maisha chini ya Kikwete! Kwa Magufuli hata choo hatukujenga!

Kauli yako inaonyesha uko kwenye kundi la walio wajinga wengi ! Mliokuwa mnadanganywa eti Magufuli ni mtetezi wa wanyonge wakati Paulo Makonda anatembelea Vogue Sports na Lamborgin na kukatiza haki za watu kuishi ( Watu wasiojulikana) hadi Mike Pompeo kwa niaba ya Marekani akatoa tamko! Magufuli kimya huku akiimbiwa mapambio kuwa yeye ni Mungu na wajinga waliowengi! Acheni chuki kwa Kikwete! Watu walijenga maisha chini ya Kikwete! Kwa Magufuli hata choo hatukujenga!

ba
Nchi hii hawa wajinga wachache kama wewe hawafai kabisa na mazwazwa kabisa, iv kweli kijana mwenye akili zako timamu riz moko ni presidential material???, unafikiria au unawaza kweli au circuit yako kwenye ubongo ya matukio ya riz moko imechomoka???, mawazo uwazayo hata chizi awez kuwaza ujinga Kama wako
 
Watanzania tumerogwa iv kweli lini tutajitambua??kweli mkuu hii inauma sana na usikute huyo jamaa aliyetype ni msomi kabisa,lakin mawazo ya ovyo zaidi, iv kweli riz moko presidential material ??, tuko serious kweli, nchi hii ili itobee labda kizazi hiki kipite, kama bado kunawatu wapo na wanamawazo ya ovyo kiasi hiki, kweli hii ni hatari
Nahisi ni watoto wa 2000's,angejua Mateso aliyo tuachia JK angefunga mdomo wake na ange acha ku-type utopolo, kunawatu wanakakera ni balaa

anzi za JK uchumi ulivulugika, elimu ilikuwa haieleke, watu waliuwawa, wawekezaji walikuwana wanafanya vitu kwa kiburi kama nchi hii ya kwao, nchi ilikuwa inanuka ufisadi, ofisi za umma zilikuwa hazana msaada wowote na nchi iliuwa shamba la bibi maliasili ziliondoka kama nini au umesahau twiga walivyokuwa wana panda ndege no one was cared, nipo nyuma ya keyboard hadi nataka kulia

eeh mwenye Mungu usikia maombi ya watu wako tuepushe na balaa hili
 
Kauli yako inaonyesha uko kwenye kundi la walio wajinga wengi ! Mliokuwa mnadanganywa eti Magufuli ni mtetezi wa wanyonge wakati Paulo Makonda anatembelea Vogue Sports na Lamborgin na kukatiza haki za watu kuishi ( Watu wasiojulikana) hadi Mike Pompeo kwa niaba ya Marekani akatoa tamko! Magufuli kimya huku akiimbiwa mapambio kuwa yeye ni Mungu na wajinga waliowengi! Acheni chuki kwa Kikwete! Watu walijenga maisha chini ya Kikwete! Kwa Magufuli hata choo hatukujenga!

ba
Magu alikuwa better kuliko maraisi wate exclude mwinyi na kambalage cos nilikuwa bado mdogo tawala zao sijui vzr
 
Nahisi ni watoto wa 2000's,angejua Mateso aliyo tuachia JK angefunga mdomo wake na ange acha ku-type utopolo, kunawatu wanakakera ni balaa

anzi za JK uchumi ulivulugika, elimu ilikuwa haieleke, watu waliuwawa, wawekezaji walikuwana wanafanya vitu kwa kiburi kama nchi hii ya kwao, nchi ilikuwa inanuka ufisadi, ofisi za umma zilikuwa hazana msaada wowote na nchi iliuwa shamba la bibi maliasili ziliondoka kama nini au umesahau twiga walivyokuwa wana panda ndege no one was cared, nipo nyuma ya keyboard hadi nataka kulia

eeh mwenye Mungu usikia maombi ya watu wako tuepushe na balaa hili
Yaani unataka kulia kwa upuuzi ulioandika, Mwendazake mambo kibao ya matumizi ameyafanya bila idhini ya Bunge , mpaka anaondoka CAG hakuwahi kukagua Shirika la Umeme, Tanroads , SGR na bwawa la umeme na huko ndio ma trillions yamezama..mnakuja humu mnadhani kuna wapuuzi , Tutaendelea kumshukuru mungu kwa wema aliotufanyia...
 
Msimu wa twiga kupanda ndege kuelekea Quatar unanukia... Kumbe ndio maana tembo wameanza kuyakimbia makazi yao na kuja mjini!
 
Yaani unataka kulia kwa upuuzi ulioandika, Mwendazake mambo kibao ya matumizi ameyafanya bila idhini ya Bunge , mpaka anaondoka CAG hakuwahi kukagua Shirika la Umeme, Tanroads , SGR na bwawa la umeme na huko ndio ma trillions yamezama..mnakuja humu mnadhani kuna wapuuzi , Tutaendelea kumshukuru mungu kwa wema aliotufanyia...
Sawa hakufanya kwa idhini ya Bunge lakini vitu tuliviona vinatokea, maendeleo yalioneka kwa wazi siyo yakusimuli hata kama kuwa migaji lakini mambo yalionekana bola tulisumbuliwa na watu wachache makonda type lakini sio zama za JK kila mtu alikuwa boss, president hata alikuwa haonekani alimezwa na ufisadi na mafisadi
 
Sawa hakufanya kwa idhini ya Bunge lakini vitu tuliviona vinatokea, maendeleo yalioneka kwa wazi siyo yakusimuli hata kama kuwa migaji lakini mambo yalionekana bola tulisumbuliwa na watu wachache makonda type lakini sio zama za JK kila mtu alikuwa boss, president hata alikuwa haonekani alimezwa na ufisadi na mafisadi
Unajua hasara yake kwa hivo alivofanya....Je huo ndio utaratibu..
 
Unajua hasara yake kwa hivo alivofanya....Je huo ndio utaratibu..
Hata kama risk ilikuwepo ila kila mtu alikuwa anawajibika kama taifa lilikuwa linasonga mbele (tulikuwa tunajua tunaenda wapi), hata mwaka haujaisha tumenza kupoteana
Au we mwezetu unajua tunaenda wapi?
 
Kizazi cha dikteta uchwara hakina space
Nyinyi ni watu wapuuzi sana msiowaza, nchi hii ikiwa na wapuuzi kama wewe hatutafika mbali,Leo hii unamkingia kifua riz moko,hakika hata chizi hawez Fanya ivi,hivi nyinyi mmepandikizwa nini ??msije kuwa Genetic modified organism(GMO)
 
Mzee Kikwete sijui kwanini hataki Mwanae awe hata Naibu Waziri?
 
Back
Top Bottom