Nahisi ni watoto wa 2000's,angejua Mateso aliyo tuachia JK angefunga mdomo wake na ange acha ku-type utopolo, kunawatu wanakakera ni balaa
anzi za JK uchumi ulivulugika, elimu ilikuwa haieleke, watu waliuwawa, wawekezaji walikuwana wanafanya vitu kwa kiburi kama nchi hii ya kwao, nchi ilikuwa inanuka ufisadi, ofisi za umma zilikuwa hazana msaada wowote na nchi iliuwa shamba la bibi maliasili ziliondoka kama nini au umesahau twiga walivyokuwa wana panda ndege no one was cared, nipo nyuma ya keyboard hadi nataka kulia
eeh mwenye Mungu usikia maombi ya watu wako tuepushe na balaa hili