Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

✓MHESH Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Mtoto wa Kiongozi Mkubwa kisiasa aliyesoma shule za kawaida kabisa hapa nchini Tanzania akianzia Sekondari ya Shaaban Robert Dar es salaam, Sekondari ya Mkwawa Iringa na baadaye Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam alikohitimu Sheria

Amejaaliwa sifa mbalimbali

•Uzoefu wa Kutosha Jimboni Chalinze
•Mchapakazi
•Mvumilivu
•Mtiifu
•Muadilifu
•Mnyenyekevu
•Msikivu
•Ametekeleza Ilani ya Uchaguzi Kikamilifu
•Mtu wa Watu

Anafaa & anastahili & apewe nafasi
Kati ya watanzania 60milioni umemuona huyo tu ambaye tayari ana kila kitu?
 
MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

✓MHESH Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Mtoto wa Kiongozi Mkubwa kisiasa aliyesoma shule za kawaida kabisa hapa nchini Tanzania akianzia Sekondari ya Shaaban Robert Dar es salaam, Sekondari ya Mkwawa Iringa na baadaye Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam alikohitimu Sheria

Amejaaliwa sifa mbalimbali

•Uzoefu wa Kutosha Jimboni Chalinze
•Mchapakazi
•Mvumilivu
•Mtiifu
•Muadilifu
•Mnyenyekevu
•Msikivu
•Ametekeleza Ilani ya Uchaguzi Kikamilifu
•Mtu wa Watu

Anafaa & anastahili & apewe nafasi
Kwa mtu mwenye akili zako huru ( ukiacha wale wanaoazimwa akili na mwenyekiti wao wa chama) ukiweka siasa pembeni utagundua kuwa huyu dogo ana sifa angalau ya kupewa nafasi nyingine ya juu kwenye Taifa. Toka achaguliwe ubunge katika jimbo lake ameshafanya mambo ambayo Mbunge wa singida ndugu Lisu hajawahi kufanya kwa miaka yote zaidi ya 10 aliyochaguliwa jimboni kwake. Jamaa pamoja na kukaa bungeni toka 2005 mpaka 2015 na kukusanya mshahara wa mamilioni ya shilingi, lkn ameshindwa hata kutoa hela kidogo kuwasaidia wapiga kura wake wachimbe visima viwili vitatu vya maji. Afu eti ndo alitaka awe raisi wa nchi kupitia propaganda uchwara na siasa mfu za chama chake.
 
Yaani watu wengine kwa kijitoa dhamani!! Badala ya kutuambia kwa nini yeye mwenyewe asiwe promoted anaangaika na mtu mwenye uhakika wa maisha bila hata kupewa nafasi ya juu!!!
 
MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

✓MHESH Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Mtoto wa Kiongozi Mkubwa kisiasa aliyesoma shule za kawaida kabisa hapa nchini Tanzania akianzia Sekondari ya Shaaban Robert Dar es salaam, Sekondari ya Mkwawa Iringa na baadaye Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam alikohitimu Sheria

Amejaaliwa sifa mbalimbali

•Uzoefu wa Kutosha Jimboni Chalinze
•Mchapakazi
•Mvumilivu
•Mtiifu
•Muadilifu
•Mnyenyekevu
•Msikivu
•Ametekeleza Ilani ya Uchaguzi Kikamilifu
•Mtu wa Watu

Anafaa & anastahili & apewe nafasi
Hatujasahau Miradi iliyowekwa Bond na Wachina kwa ajili yake.
 
MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

✓MHESH Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Mtoto wa Kiongozi Mkubwa kisiasa aliyesoma shule za kawaida kabisa hapa nchini Tanzania akianzia Sekondari ya Shaaban Robert Dar es salaam, Sekondari ya Mkwawa Iringa na baadaye Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam alikohitimu Sheria

Amejaaliwa sifa mbalimbali

•Uzoefu wa Kutosha Jimboni Chalinze
•Mchapakazi
•Mvumilivu
•Mtiifu
•Muadilifu
•Mnyenyekevu
•Msikivu
•Ametekeleza Ilani ya Uchaguzi Kikamilifu
•Mtu wa Watu

Anafaa & anastahili & apewe nafasi
ina maana wakati wa mwendazake alikuwa hajaiva siyo!! ama ?
 
kakutuma nini braza, kwani wengine hawapo jamani? maana kuna wale waliozaliwa huko mbwinde na hawana hata connection lakini wana mawazo mazuri sana tu
 
Kuna haja ya kuwa na vigezo vingine kwenye teuzi ya nafasi hizi kubwa kuliko kuangalia utendaji wa kisiasa..
 
MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

✓MHESH Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Mtoto wa Kiongozi Mkubwa kisiasa aliyesoma shule za kawaida kabisa hapa nchini Tanzania akianzia Sekondari ya Shaaban Robert Dar es salaam, Sekondari ya Mkwawa Iringa na baadaye Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam alikohitimu Sheria

Amejaaliwa sifa mbalimbali

•Uzoefu wa Kutosha Jimboni Chalinze
•Mchapakazi
•Mvumilivu
•Mtiifu
•Muadilifu
•Mnyenyekevu
•Msikivu
•Ametekeleza Ilani ya Uchaguzi Kikamilifu
•Mtu wa Watu

Anafaa & anastahili & apewe nafasi
Sawa riziwani tumekusikia
 
MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

✓MHESH Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Mtoto wa Kiongozi Mkubwa kisiasa aliyesoma shule za kawaida kabisa hapa nchini Tanzania akianzia Sekondari ya Shaaban Robert Dar es salaam, Sekondari ya Mkwawa Iringa na baadaye Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam alikohitimu Sheria

Amejaaliwa sifa mbalimbali

•Uzoefu wa Kutosha Jimboni Chalinze
•Mchapakazi
•Mvumilivu
•Mtiifu
•Muadilifu
•Mnyenyekevu
•Msikivu
•Ametekeleza Ilani ya Uchaguzi Kikamilifu
•Mtu wa Watu

Konda unapiga debe toka kituo gani cha daladala?
 
`Hivi, huyo Ridhiwani, akidunduliza vijisenti anavyologoteleza huko mjengoni hawezi kufungua farm itakayomfanya billionaire? ... sababu kubwa inayotufanya tusiendelee ni kuendekeza siasa/ujinga!
 
MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

✓MHESH Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Mtoto wa Kiongozi Mkubwa kisiasa aliyesoma shule za kawaida kabisa hapa nchini Tanzania akianzia Sekondari ya Shaaban Robert Dar es salaam, Sekondari ya Mkwawa Iringa na baadaye Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam alikohitimu Sheria

Amejaaliwa sifa mbalimbali

•Uzoefu wa Kutosha Jimboni Chalinze
•Mchapakazi
•Mvumilivu
•Mtiifu
•Muadilifu
•Mnyenyekevu
•Msikivu
•Ametekeleza Ilani ya Uchaguzi Kikamilifu
•Mtu wa Watu

Anafaa & anastahili & apewe nafasi
Eleza alipata digrii ya daraja gani? Kichwani mtupu, boss!
 
Kwa mtu mwenye akili zako huru ( ukiacha wale wanaoazimwa akili na mwenyekiti wao wa chama) ukiweka siasa pembeni utagundua kuwa huyu dogo ana sifa angalau ya kupewa nafasi nyingine ya juu kwenye Taifa. Toka achaguliwe ubunge katika jimbo lake ameshafanya mambo ambayo Mbunge wa singida ndugu Lisu hajawahi kufanya kwa miaka yote zaidi ya 10 aliyochaguliwa jimboni kwake. Jamaa pamoja na kukaa bungeni toka 2005 mpaka 2015 na kukusanya mshahara wa mamilioni ya shilingi, lkn ameshindwa hata kutoa hela kidogo kuwasaidia wapiga kura wake wachimbe visima viwili vitatu vya maji. Afu eti ndo alitaka awe raisi wa nchi kupitia propaganda uchwara na siasa mfu za chama chake.
Unaujua upendeleo?Unaamini favour inayopata chalinze ni kwa sababu ya Ritz,poleeee
 
Back
Top Bottom