Ridhiwani Kikwete: Asilimia kubwa ya waandishi wa Habari ni makanjanja

Hili gazeti la mengi nalo full mipasho.
 
Waandishi kweli ni makanjanja.......Ridhwani yuko sahihi.....waandishi wangapi walioandika habari hii kama si ukanjanja? Wangapi waliomuonya huyu dogo kwa kauli zake za kuwananga kwa ujumla namna hii?

Ridhwani yuko sahihi kabisa......waandishi wa habari wengi ni MAKANJANJA kazi kujipendekeza tu.....:der:
 
Kasema kweli wanahabari wengi wa tanzania ni wachumia tumbo tu.
 
Kuna habari unaisoma kwenye gazeti halafu unajiuliza hivi huyu ni mwandishi aliyefanya utafiti wa kina kwa ajili ya alichoandika? Riz yuko sahihi kwa waandishi makanjanja, sio wote ila ni wengi
 
Kaongea ukweli mtupu !!!
Ujumbe umewafikia TBC, Habari Leo, Uhuru, Kiu, Risasi na Tazama
 

Haya maneno ya huyu mtoto yanamuumbua Pasco na kupenda bahasha za khaki na kuzigawa .Pasco yuko humu humu muumini mzuri wa bahasha ili kuandika ukanjanja .Haya kazi kwenu akina Pasco .
 
Atuambie kwanza kama ameacha kusafirisha madawa ya kulevya. Vinginevyo naye ni kanjanja nguli.
 
Atwambie na watendaji kule Ikulu, ni asilimia gani ni makajanja!?
 
kwani wanaacha ga izo mishe? hiyo ni mwanzo mwsho!!

Sasa aache kuropoka mataputapu ya ukoo wao wakati yeye ni drug dealer aliyetuingiza mkenge kwa Wachina baada ya sakata lake kubumbuluka.
 
Amani anayo yeye kwa kuibuka na utajiri ghafla pasipo utaratibu,huku akizicontrol na kuyumbisha uchumi wa nchi atakavyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…