Ridhiwani Kikwete ni de facto Waziri wa Ardhi? Angelina Mabula de jure? Ridhiwani ajiangalie, maafisa ardhi wanatumia jina lake kumchafua

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nampa angalizo tu, na pia nimejiuliza swali Hilo.

Labda Angelina ana hofu kwamba Yuko karibu na mtoto wa the most influential person, na anaweza kumkorogea mambo wakati wowote ule.

Maji yakitulia tutaona chini Kuna nini.

Wanasema Kuna "amri kutoka juu" na wanamtaja yeye huku vijiweni baada ya kupiga matukio.

Najua Ridhiwani ni mtu mwema tu, hana baya na mtu, muungwana tangu anasoma chuo kikuu. Majambazi ya ardhi yasimchafue
 
kwa taarifa yako Angelina Mabula ni mtu wa karibu kabisa na JK wakicheza basket ball pamoja
 
Kiukweli jina lake linatumika vibaya sana na linachafuka, wengi tumeanza kumchukia tunaporwa ardhi Kilosa na Mvomero kwa jina lake mchana kweupe na maofisa ardhi wanamtaja bila hofu kitu ambacho kinaashiria anabariki madudu na syndicate yake
 
Huu upumbavu wa kusema eti majambazi yanamchafua kiongozi ni ujinga wa hali ya juu. Yeye anafanya kazi gani kama mpaka watu wamchafue? Huyu jamaa ni kiongozi hopeless kabisa na amepewa uongozi bila kuwa na uwezo.
 
.Najua Ridhiwani ni mtu mwema tu, hana baya na mtu, muungwana tangu anasoma chuo kikuu. Majambazi ya ardhi yasimchafue
Japo neno de factor na de jure ni maneno ya kisheria kumaanisha kwa mujibu wa katiba na sheria, au sio kwa mujibu wa katiba na sheria, lakini matumizi yake ni kwenye serikali tuu na sio kwa watendaji!. Serikali zilzoingia madarakani kwa mujibu wa katiba ndio the jure, na zile zilizoingia madarakani kwa Mapinduzi ndio de factor, serikali ya Mapinduzi Zanzibar, ilikuwa ni de factor mpaka mwaka 1975 ulipfanyika uchaguzi, sasa SMZ ni jina tuu ila serikali ni de jure!.

Kwa vile wote wameteuliwa na mamlaka halali kwa mujibu wa katiba na sheria, wote ni de jure!.
P
 
Amekaa kimya tu huwezi kumsikia akisema chochote!
 
Huyo Ridhiwani ndiye mastermind wa kujiuzia viwanja vyote vilivyoko prime areas kwa kutumia wapambe wake. Hapo hakuna anachosingiziwa. Hayupo hapo wizarani bahati mbaya.
Prime areas ?! Money 💰 to 🧼 ! ! ?
 
Sio kweli na huenda wameamua Kwa utashi wao kumchafua na kulitumia jina lake hivyo.
By the way mtu au kikundi Cha mtu anaporwa aridhi Kwa kutumia jina lake Kisha nae akae kimya Kuna two factors huenda Kuna kundi la watu lataka kumchonganisha na waziri mabula na sababu wanazo.
Ridhiwani ni smart na hawezi kuruhusu jambo Hilo litokee hasa nyakati hizi ninachojua wote walotumia jina lake wanatumia Kwa manufaa Yao pasi kujua na wanaofanya hivyo nao Wana sababu hizo.
Ni miongoni mwa vijana licha ya kua na umakini ila ukweli wengi hutumia jina lake kutaka kujinufaisha na yote ambayo yanatajwa huwa sio kweli na hata mzee wake hawezi kulikubali
 
Na ndivyo ilivyo Nchi hii ! Unaweza ukamlaumu mkubwa fulani amefanya madudu fulani kumbe wapo watu wanatumia influence ya jina la huyo mkubwa kupata wanachokitaka bila kujali kuwa wanamchafulia jina mhusika ! Wengine wanafanya makusudi kumchafua na wengine wanafanya kwa masilahi yao !
 
Hii nimeisikia Morogoro huko anadhulumu viwanja na mashamba ya watu, nikajua anasingiziwa. Ila sasa naanza kuamini ni kweli
Ukoo wao una influence kubwa Nchi hii hawezi akadhulumu mtu yeyote hilo nalipinga kabisa !! Hawana tabia hizo ! Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni !!
 
Kama ni msafi kwanini maeneo pori karibu yote ya Chalinze yamenunuliwa na matajiri wa mafuta?

Je, maeneo ambayo yako kwenye mpango wa kupitisha nyaya za umeme kutoka bwawa la Nyerere ambayo serikali iliyafidia nani alikuwa mmiliki wake?

Je, mashamba ya Soga ni ya nani? Huyo mtu kari robo tatu ya nchi inasemekana kachukua ardhi kwa nafasi ya mtoto wa baba yake!!!!

Kwa sasa ana ukwasi kuzidi miaka kumi iliyopita kwazidi hata baadhi ya mawaziri wakuu wastaafu!!!
Akisimama jukwaani anatishia wananchi na kusema hataki kusikia mgogoro tena badala ya kuwasikiliza wananchi na kutumia busara kwa kuwa serikali ndio yenye kosa kwa kukosa mipango miji endelevu....rejea ziara yake Morogoro huko CCT ambako wananchi walivunjiwa nyumba wakati wenye nyumba nzuri ziliachwa bila uhalali wowote!!!
 
Kwani yeye haoni na kusikia mpaka wewe umsemee?

Ridhiwani ni king Pin wa upigaji nchi hii.

Mpaka China wana rekodi zake pale alipokwepa Chuma kwa msaada wa baba yake.

Kama ni mwema basi. I kwako wewe mnufaika mkuu!

Usitupangieeee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…