KIDUDU
JF-Expert Member
- Sep 17, 2012
- 2,557
- 1,927
Kazi bado ni kubwaSasa nimeanza kuamini kuna Mjinga moja alikurupuka na kuchafuwa Majina ya watu....hii inaonyesha dhahiri Mjinga huyo hakuwa na nia ya dhati ya kupambana na madawa ya kulevya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi bado ni kubwaSasa nimeanza kuamini kuna Mjinga moja alikurupuka na kuchafuwa Majina ya watu....hii inaonyesha dhahiri Mjinga huyo hakuwa na nia ya dhati ya kupambana na madawa ya kulevya
Pole sana kijana kwa kupata shida kuteteaSasa unashangaa nini kama sio uchizi tuu? Hivi si ni nyie mliopinga Makonda kuwataja? Sasa nikuulize unashangaa nini? Kama una ushahidi na wewe peleka polisi....
Mlivyo sikia kuna Mapapa sijui mlidhani ni Papa Francis au Benedicto? Wametajwa Mapapa mmeanza kulia lia na mnataka wengine watajwe wakati wakitajwa mnapiga kelele.
Issue yote hii ya madawa aliyekuwa anatetewa ni huyu Ridhwani na team yake ya GSM ambayo Makonda yumo ndani hapohapo ikaingizwa kuchafuana watu wa Upinzani na waliosupport upinzani.Kumpongeza kwake ni kujipendekeza ili asitajwe maana nayeye kwenye msafala huo yumo, ni suala la muda kila kitu kitabaki hadharani
Issue yote hii ya madawa aliyekuwa anatetewa ni huyu Ridhwani na team yake ya GSM ambayo Makonda yumo ndani hapohapo ikaingizwa kuchafuana watu wa Upinzani na waliosupport upinzani.
Hakuna movie iliyoshinda ktk hizi sanaa zao.
Tupo hapa wataumbuana wenyewe
Ni kweli mkuu, mfano halisi watu walililia Makonda awataje mapapa wa dawa za kulevya badala ya kuhangaika na dagaa, alipowataja wakageuka tena na kusema approach ya kutaja majina siyo nzuri na wengine wamekimbilia Mahakamani.Kweli watanzania ni wanafiki sana
[emoji23][emoji23] mkuu umenifurahishaMbuzi wa bwana kheri kala shamba la bwana kheri alipokuwa anachungwa na mfanyakazi wa bwana kheri wakati bwana kheri akiwa karibu na eneo la bwana kheri. Hii ni kesi ya bwana kherei
PaukwaHahahh anapoozea au anafunika?! Hii nchi ina vituko! Who will be next tupo masikio yanasubiri kusikia