Umeelewa mada?Kama nayeye anafanya biashara hiyo atashughulikiwa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeelewa mada?Kama nayeye anafanya biashara hiyo atashughulikiwa tu
Hawezi kuwemo kwa sababu ndo ilikuwa ngazi ya kupandiaKwani huyu dogo Riz hayupo katika orodha ya kijana Makonda?
Nilivyosoma tu hiyo paragraph ya kwanza nimekudharau na wala sijamaliza kusoma ulichoandikaMbowe haogopi kuwekwa Mahabusu anaogopa Kupelekwa kwa Mkemia kupimwa Damu kuhusu Matumizi ya Madawa na hasa Bhangi!
Kwa Wazee wenzangu Enzi hizo tukiita Mbowe Club ikiwa na uzio wa Magunia na Freeman Akiwa kijana sana tunakumbuka Mengi sana.
Ismael Aden Rage atakuwa anacheka sana akikumbuka ya 1980-1982 na Mbowe kukacha kwenda kwa Mkemia Kupima damu kuhusu Matumizi ya Dawa za kulevya!
Nilivyosoma tu hiyo paragraph ya kwanza nimekudharau na wala sijamaliza kusoma ulichoandika
Thubutuuu, hao waliotajwa tu Chenge mavi yamegonga chupi.Hawawezi kumgusa...hata kidogo... Ntaama nchi
Kwa hiyo Mbowe ni user wa cocaine au marijuana.We utakuwa 'Mtoto'!
Labda kweli, Ila next time jitahidi kujibu hoja kiutu uzimaWe utakuwa 'Mtoto'!
??????? [HASHTAG]#noevidence[/HASHTAG]Sasa kwa nini unampekua pekua na kumfwata fwata?
Kwa hiyo Mbowe ni user wa cocaine au marijuana.
Make yourself clear plz
labda ndo utata wa tajiri [HASHTAG]#salaah[/HASHTAG] unapoanziaKatika ile hekaya ya njia za usafirishaji,msimuliaji wa hekaya ile alihoji urefu wa root za makampuni ya uagizaji mizigo toka nje kuwa badala ya kuja moja kwa moja,hurudi nyuma na kwamba huko yanapoenda yanaenda kupakia madawa ya kulevya.Mfano mtu anunue robota la mitumba kariakoo na kulisafirisha kwenda mkuranga,lakini badala ya kwenda nalo moja kwa moja mkuranga,mnunuaji anaenda nalo Mwanza kisha ndiyo alipeleke mkuranga,kwa maelezo yake huko Mwanza robota hilo lilienda kujazwa shehena ya madawa.
Kama hizo ndizo mbinu za wasafirishaji,katika utawala uliopita makampuni yaliyo chini ya GSM ndiyo yaliyokuwa yamehodhi biashara ya uingizaji wa bidhaa nchini,kwa maana hiyo hawa waliokuwa waingizaji wakubwa wa bidhaa nchini ndiyo pia waliokuwa wanayaingiza madawa nchini.Kama Maelezo ya Makonda ni sahihi,na silent ocen pamoja na wenzao ndiyo waliokuwa waingizaji wa bidhaa za wafanya biashara wote,na kampuni hizo zilikuwa zinahusishwa na "familia ya mfalme", je,tukitumia maelezo ya Makonda kuihusisha familia ya mfalme tutakuwa tunakosea?
Sasa nimeanza kuamini kuna Mjinga moja alikurupuka na kuchafuwa Majina ya watu....hii inaonyesha dhahiri Mjinga huyo hakuwa na nia ya dhati ya kupambana na madawa ya kulevya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]labda ndo utata wa tajiri [HASHTAG]#salaah[/HASHTAG] unapoanzia