Ridhiwani: Mapambano na Madawa ni kama yameanza

Ridhiwani: Mapambano na Madawa ni kama yameanza

Katika ile hekaya ya njia za usafirishaji,msimuliaji wa hekaya ile alihoji urefu wa root za makampuni ya uagizaji mizigo toka nje kuwa badala ya kuja moja kwa moja,hurudi nyuma na kwamba huko yanapoenda yanaenda kupakia madawa ya kulevya.Mfano mtu anunue robota la mitumba kariakoo na kulisafirisha kwenda mkuranga,lakini badala ya kwenda nalo moja kwa moja mkuranga,mnunuaji anaenda nalo Mwanza kisha ndiyo alipeleke mkuranga,kwa maelezo yake huko Mwanza robota hilo lilienda kujazwa shehena ya madawa.

Kama hizo ndizo mbinu za wasafirishaji,katika utawala uliopita makampuni yaliyo chini ya GSM ndiyo yaliyokuwa yamehodhi biashara ya uingizaji wa bidhaa nchini,kwa maana hiyo hawa waliokuwa waingizaji wakubwa wa bidhaa nchini ndiyo pia waliokuwa wanayaingiza madawa nchini.Kama Maelezo ya Makonda ni sahihi,na silent ocen pamoja na wenzao ndiyo waliokuwa waingizaji wa bidhaa za wafanya biashara wote,na kampuni hizo zilikuwa zinahusishwa na "familia ya mfalme", je,tukitumia maelezo ya Makonda kuihusisha familia ya mfalme tutakuwa tunakosea?
 
When Riz1is concerned it's okay[emoji135]when Freeman is concerned it's poor governance[emoji40]Hivi tuna fikiri tuna fikiri?
 
Mbowe haogopi kuwekwa Mahabusu anaogopa Kupelekwa kwa Mkemia kupimwa Damu kuhusu Matumizi ya Madawa na hasa Bhangi!

Kwa Wazee wenzangu Enzi hizo tukiita Mbowe Club ikiwa na uzio wa Magunia na Freeman Akiwa kijana sana tunakumbuka Mengi sana.

Ismael Aden Rage atakuwa anacheka sana akikumbuka ya 1980-1982 na Mbowe kukacha kwenda kwa Mkemia Kupima damu kuhusu Matumizi ya Dawa za kulevya!
Nilivyosoma tu hiyo paragraph ya kwanza nimekudharau na wala sijamaliza kusoma ulichoandika
 
Kama MTU hajatajwa povuuu la nini ? Kama hauna hoja kaa kimyaaaa kama maji ya kwenye mtungi!
 
Hawawezi kumgusa...hata kidogo... Ntaama nchi
Thubutuuu, hao waliotajwa tu Chenge mavi yamegonga chupi.
Ilibidi a take over kule mjengoni, walilaumiana nani kampa mtoto AK47
 
Walishindwa baba na mama wazazi wa nyumbani wenye kutoa ugali na kazi utaweza wewe nani ? [HASHTAG]#wazee[/HASHTAG] wangwasuma
 
Hivi samahani lakini naomba kuuliza.

Hivi kuna mtu mwenye ushahidi na uhakika kabisa kuwa ridhiwani aliwahi kujihusisha na dawa za kulevya, au ni story tu za kijiweni??

Maana kwa mawazo yangu sidhani kama mtoto wa raisi anaweza kufanya biashara kama hiyo. Kwani baba ake si angeweza kumpa chochote anachotaka?? Baba ake si alikuwa ana mamlaka juu ya nchi yote hii. Kwa nn tena akarisk tena huko kwenye hayo mavitu???

Mimi kwa kweli jamani siamini kabisa hizi story za kumuhusu huyu jamaa na nnaona tu ni kama chuki binafsi, choyo na wivu juu ya mtoto wa raisi wetu mstaafu kipenzi.

Please guys jembu njooni na ushahidi hapa na tuache story za vijiweni. Narudia tena , SIJAIONA SABABU YA RIDHIWAN KUFANYA BIASHARA HARAMU KAMA HIYO. HE HAD EVERYTHING
 
Katika ile hekaya ya njia za usafirishaji,msimuliaji wa hekaya ile alihoji urefu wa root za makampuni ya uagizaji mizigo toka nje kuwa badala ya kuja moja kwa moja,hurudi nyuma na kwamba huko yanapoenda yanaenda kupakia madawa ya kulevya.Mfano mtu anunue robota la mitumba kariakoo na kulisafirisha kwenda mkuranga,lakini badala ya kwenda nalo moja kwa moja mkuranga,mnunuaji anaenda nalo Mwanza kisha ndiyo alipeleke mkuranga,kwa maelezo yake huko Mwanza robota hilo lilienda kujazwa shehena ya madawa.

Kama hizo ndizo mbinu za wasafirishaji,katika utawala uliopita makampuni yaliyo chini ya GSM ndiyo yaliyokuwa yamehodhi biashara ya uingizaji wa bidhaa nchini,kwa maana hiyo hawa waliokuwa waingizaji wakubwa wa bidhaa nchini ndiyo pia waliokuwa wanayaingiza madawa nchini.Kama Maelezo ya Makonda ni sahihi,na silent ocen pamoja na wenzao ndiyo waliokuwa waingizaji wa bidhaa za wafanya biashara wote,na kampuni hizo zilikuwa zinahusishwa na "familia ya mfalme", je,tukitumia maelezo ya Makonda kuihusisha familia ya mfalme tutakuwa tunakosea?
labda ndo utata wa tajiri [HASHTAG]#salaah[/HASHTAG] unapoanzia
 
mbona hajaitwa kama yy anauza madawa?..wanauza akina mbowe ndo mana wakaitwa na wamekimbia
 
labda ndo utata wa tajiri [HASHTAG]#salaah[/HASHTAG] unapoanzia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daah mkuu umenchekesha sana..

[HASHTAG]#TajiriMtata[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Saaalah[/HASHTAG]


Ila Saalah amezaliwa kwenye utajiri. Pia sidhani kama ana sababu yoyote ya kufanya biashara kama hizi.. saalah ni mtoto wa kishua haswa yeye na mama ake simba
 
Back
Top Bottom