Ridhiwani: Mapambano na Madawa ni kama yameanza

Ridhiwani: Mapambano na Madawa ni kama yameanza

Hivi samahani lakini naomba kuuliza.

Hivi kuna mtu mwenye ushahidi na uhakika kabisa kuwa ridhiwani aliwahi kujihusisha na dawa za kulevya, au ni story tu za kijiweni??

Maana kwa mawazo yangu sidhani kama mtoto wa raisi anaweza kufanya biashara kama hiyo. Kwani baba ake si angeweza kumpa chochote anachotaka?? Baba ake si alikuwa ana mamlaka juu ya nchi yote hii. Kwa nn tena akarisk tena huko kwenye hayo mavitu???

Mimi kwa kweli jamani siamini kabisa hizi story za kumuhusu huyu jamaa na nnaona tu ni kama chuki binafsi, choyo na wivu juu ya mtoto wa raisi wetu mstaafu kipenzi.

Please guys jembu njooni na ushahidi hapa na tuache story za vijiweni. Narudia tena , SIJAIONA SABABU YA RIDHIWAN KUFANYA BIASHARA HARAMU KAMA HIYO. HE HAD EVERYTHING
Tamaa ya Mwanadamu....
 
Tamaa ya Mwanadamu....
Hapana mkuu.

Mimi siamini kabisa. Ni risk kubwa sana kwa mtoto wa raisi kujihusisha na biashara kama hiyo. Hata usalama wa taifa wasingekubaliana na hilo..


Tusijidanganye jaman. Tutajeni watu wengine. Ila huyu tumuweke kando tafadhali
 
Hapana mkuu.

Mimi siamini kabisa. Ni risk kubwa sana kwa mtoto wa raisi kujihusisha na biashara kama hiyo. Hata usalama wa taifa wasingekubaliana na hilo..


Tusijidanganye jaman. Tutajeni watu wengine. Ila huyu tumuweke kando tafadhali
Hahahaha lisemwalo lipo kk...binadamu tuna siri nzito sana.
 
Hapana mkuu.

Mimi siamini kabisa. Ni risk kubwa sana kwa mtoto wa raisi kujihusisha na biashara kama hiyo. Hata usalama wa taifa wasingekubaliana na hilo..


Tusijidanganye jaman. Tutajeni watu wengine. Ila huyu tumuweke kando tafadhali
Jidanganye hivyohivyo. Unaishi wapi? Tanzania ni zaidi ya uijuavyo.
 
Tatizo La Rizone ni upole aliorithi Kwa Baba Yake Mzee Kikwete..
Kukaa kwake kimya mnataka mfanye ndio udhaifu wa kumtuhumu kwa tuhuma za kizushi...
Mkiambiwa mtoe ushahidi wa kwamba anauza madawa ya kulevya,mtatoa.???

Tunampinga Makonda Kwa Aproach Yake Ya kubahatisha na nyie mnafanya hivyohvyo..
nani kakwambia makonda anabahatisha.
 
Jidanganye hivyohivyo. Unaishi wapi? Tanzania ni zaidi ya uijuavyo.

Hahahaha lisemwalo lipo kk...binadamu tuna siri nzito sana.

Kazi ya uraisi ni kubwa sana. Sasa baba unakuwa raisi then mtoto muuza unga!! Hiyo haileti maana. Sasa kuna umuhimu gani na faida gani ya kuwa raisi.


Jaman kuna namna nyingi za kutajirika sio madawa tu.

Anyways lakini mm sitabishana tena. Nisije kuja kuufyata kama Le Mutuz anatetea watu then anakuja kuumbuka.
 
Mh.Makonda ni RC na zaidi ya RC kwa sasa
anayo hadhara ya kuzungumzia .
Hii vita ni ya Watanzania wote.
Je mimi na wewe tusio na nafasi kama za Makonda haturuhusiwi kawataja wenye biashara hizo hata kama tunawajua?
Peleka majina yao sehemu husika utakua msaada wa mana sana
 
Kwani huyu dogo Riz hayupo katika orodha ya kijana Makonda?
tapatalk_1486459515822.jpeg

Huyu akiwekwa ndani mkuu nchi itatikisika.

Hivi yule aliyekamatiwagwa China wakandikishiana mikataba na Mzee ili kuuwa soo ni nani vile!!! Eti mzee alipanda pipa fasta
 
Vijana kama Ridhiwan Kikwete mkijitokeza hivi na wengine maarufu ktk vita hii ya Madawa ya Kulevya mtaweza kusaidia watoto wa kitanzania wanaoangamia na janga hili.

Makonda na Ridhiwan mmeonesha njia na wengine mfuate....

Tuokoe Tanzania na vizazi vyetu.
 
Vijana kama Ridhiwan Kikwete mkijitokeza hivi na wengine maarufu ktk vita hii ya Madawa ya Kulevya mtaweza kusaidia watoto wa kitanzania wanaoangamia na janga hili.

Makonda na Ridhiwan mmeonesha njia na wengine mfuate....

Tuokoe Tanzania na vizazi vyetu.
Wewe bila shaka utakuwa unaishi tandahimba ndani ndani huko hujui kinachoendelea mjini
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daah mkuu umenchekesha sana..

[HASHTAG]#TajiriMtata[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Saaalah[/HASHTAG]


Ila Saalah amezaliwa kwenye utajiri. Pia sidhani kama ana sababu yoyote ya kufanya biashara kama hizi.. saalah ni mtoto wa kishua haswa yeye na mama ake simba
Mkuu Unadhani Biashara hii ni ya watoto wa Maskini?! Mtoto wa mbwa anatoa wapi mtaji wa kupiga hizi dili labda awe punda wa kutumwa na hao watoto wa kishua
 
Tatizo La Rizone ni upole aliorithi Kwa Baba Yake Mzee Kikwete..
Kukaa kwake kimya mnataka mfanye ndio udhaifu wa kumtuhumu kwa tuhuma za kizushi...
Mkiambiwa mtoe ushahidi wa kwamba anauza madawa ya kulevya,mtatoa.???

Tunampinga Makonda Kwa Aproach Yake Ya kubahatisha na nyie mnafanya hivyohvyo..
well said mkuu
watz wengi tunapenda ushabiki na hatujui tunataka nini
 
Tatizo La Rizone ni upole aliorithi Kwa Baba Yake Mzee Kikwete..
Kukaa kwake kimya mnataka mfanye ndio udhaifu wa kumtuhumu kwa tuhuma za kizushi...
Mkiambiwa mtoe ushahidi wa kwamba anauza madawa ya kulevya,mtatoa.???

Tunampinga Makonda Kwa Aproach Yake Ya kubahatisha na nyie mnafanya hivyohvyo..

Wewe ni verified user au verified looser? Nauliza tu! Hueleweki hata kidogo.
 
Back
Top Bottom