Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tecno y6,kwa hisani ya ccmUmaskin na mawazo potofu unakuchanganya...
Usimsee mtu kama huna sababu maalum za kumshutumu na ushahid wa kujiridhisha..hata kama ungelikuwa bi weqe sidhan kama ungefurahia
Baada ya hapo na kumpa kipigo mzee warioba akapewa zawadi ya ukuu wa wilaya![]()
Wapemba hujuana kwa vilemba...!
Kuna waraka aliandika mtu huku jana ulioshiba hekima busara akili na maarifa hakika umenifumbua kiakili na kimwili sihitaji tena blaah blaaa za wanasihasaNi mwendelezo wa kupambana na MADAWA ya kulevya, ndugu Ridhiwani kikwete ameunga juhudi zinazofanywa na Paul makonda kutokomeza biashara haramu ya MADAWA ya kulevya. Ni wakati sasa wabunge wakaiga mfano wa huyu mbunge katika vita ya madawa ya kulevya. Pongezi kwako mheshimiwa kwa kuunga mkono juhudi Kali ya kupinga mihadarati
Jukumu la kutokomeza biashara hii ni la watanzania wote.
![]()
Je, Ridhiwani ni kweli anaunga mkono au anajisafisha tu kutokana na kutajwa kwake mara kwa mara kwenye madawa ya kulevya?.
.![]()
Tujadili pamoja. Karibu
Utafute mbona bado upo una faya?Weka link ya Uzi huo mkuu
Mkuu umewaza sawa na mimi...hapa kinachoonekana ni vita baina ya haya magenge..na isitoshe mzigo unaweza adimika baada ya washindani wao kuandamwa na bei ikapanda maradufu!Ni juzi tu hapa Makonda alikuwa kibarua wa Riziwani na akaonekana anafunga kamba za viatu vya Riziwani. Riziwani ndio Godfather wa GSM, leo hii GSM ndio wanaomuweka mjini Makonda. Kwa uhusiano huu inaonyesha kuwa Makonda bado ni mtumishi wa Riziwani na kwamba huenda hata namna ambavyo watu wanatajwa ni kuiepusha network ya Riziwani na kutajwa lakini pia labda kuwaharibia wapinzani wao kibiashara ya unga
Umaskin na mawazo potofu unakuchanganya...
Usimsee mtu kama huna sababu maalum za kumshutumu na ushahid wa kujiridhisha..hata kama ungelikuwa bi weqe sidhan kama ungefurahia
Tumekaa karibu na familia za unga huyu dogo na mtoto wa mh.Fulani hv wa kambi ya upinzani ni mabwana wakubwa wa hii biashara,tunaweza kumwaga mboga hapa ila bora tunyamaze..with naked eyes tunawaona night wakitembeleana ah usitake tuchimbe deep ase,unafki wa hali ya juu wkt bestie ni H.Umaskin na mawazo potofu unakuchanganya...
Usimsee mtu kama huna sababu maalum za kumshutumu na ushahid wa kujiridhisha..hata kama ungelikuwa bi weqe sidhan kama ungefurahia