series series zile unazifahamu zote?Kwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
Wewe tumia akili wapi wasafi sasa?Ni mwana ccm hivyo ccm hakuna msafi
Mchango wako upo page ya kwanza tu na tena ndio wa mwisho kuifunga hiyo page, nimesoma mwanzo hadi kuufikia mchango wako is like sijaona sehemu yoyote ambayo kuna mtu (achilia mbali Chadema) aliyeonesha kumtetea the former prince, mwenzangu umeona wapi!?Kwa hiyo Chadema sasa mnaungana kusema kumbe Ridhiwan hauzi unga, mlikuwa mnamsingizia tu?
Chadema haiwezi wacha tajwa maana wakati JK ni rais tulikuwa na uzi humu kuwa alikwenda CHina kumtoa Rit baada ya kukamatwa na madawa nani mwandishi (.....) na watu kudiriki kusema baba kauza nchi kwa china kuokoa mtoto au sasa jiongeze tafuta huo uzi uangalie wewe ulisema nini.Sasa Chadema inahusikaje na manung'uniko haya yaliyotamkwa na Ridhiwani?Ifike mahali muwe mnausema ukweli,si kila unapoguswa unakimbilia kuitaja chadema.Yani hata ukikalia kitu chenye ncha kali badala ya kumtaja mumeo anayekuumiza unaitaja chadema?
dah! Lugha gani hii? FaizaFoxy pitia kwenye uzi huu maana hali ni mbaya sana.ili suhuzika bahada ya kuojiwa na kuoneana ana chochote kuhusu madawa
Hyo ishu ya china atuijui ndio sasa unatujulisha. Ebu tupe taarifa kamili ilivyokuwa.Nayajua yote. By the way Ridhiwani aache kulialia. Tuhuma za yeye kuhusika na madawa ya kulevya zimeanza kitambo. Mnakumbuka ile ishu ya kule china? Hizi ni tuhuma za muda mrefu. Asianze kutafuta pa kutokea
Ilikuwa lazima ahojiwe kwa sababu amesemwa sana. Riziwani sio cleanLumumba mambo mengine muwe na soni!Mpaka yeye anasema hivyo,yeye Si "chizi"Kwahiyo unataka kusema anampakazia mwenzie?
na wewe uliamini kabisa kwa status ya Ridhiwani eti abebe madawa akakamatiwe China !!! hata kama alikuwa anajishughulisha angekuwa anatumia watu, ilikuwa ni uzushi tu dr slaa na hasira za kushindwa uchaguzi na Jkwatanzania aliyeturoga kafa..yaani suala la ridhwani kutajwa kuhusika na unga ni jipya?si ni sisi tuliokuwa tunamsakama kwa miaka mingi humu?si ni sisi tuliokuwa tunasema alikamatwa china mzee wake akaenda kumtoa!!si ni sisi tuliomlaumu sana makonda kwa kutomtaja kwenye orodha mbili za mwanzo?lakini si ni yeye ridhwani alishukuru kuitwa ili hili suala liishe?sasa leo yanatokea wapi haya mengine?tatizo wanasiasa wetu wameshajua udhaifu wetu na wanautumia huohuo kutuchezesha watakavyo!mm naamini amesafishwa..lkn anahusika.
Wauzaji waako kwenu au hujui?Anacholalamika Ridhwani mtajuana nyinyi wenyewe wauza unga huko CCM sisi hayatuhusu
Mkuu kwanni kila anayemkosoa makonda au serikali ni BAVICHA?? humu ID feki zimejaa how sure can u be kuwa huyu ni ccm au huyu ni BAVICHA?? formal statement za chadema utazikuta mtaa wa ufipa ila humu jf ni ngumu kujua who is who so usitumie kma yardstick unakuwa unakosea sanaSafi sana Mh Ridhwan!! Huundio muda muafaka kwa bavicha kukusafisha. Penyeza kwa kupitia kutokuridhishwa na hatua ya Mh Makonda. Naimani baraza kuu la chadema litakaa kutoa tamko kumlaani Makonda kumsingizia mtoto wa Rais mstaafu na mbunge wa chalinze.
Uliposema furaha yako kuwa sasa upo huru baada ya kuhojiwa na kamishina wa Madawa, na kukutwa hauna mawaa, wengi hawakukubari lakini leo kwa kupitia Makonda wanakuelewa sana. Bavicha ni taka na ni sabuni. Hujua kuchafua na hawachelewi kusafisha ni kuwajua tu. Wamejaa mitandaoni kuchafua watu. Tuikio la Lowasa ndilo lililo tambulisha udhaifu wao kuwa ni taasisi dhaifu na vigeugeu wasio na msingi wala itikadi inaowaongoza. Hivyo Mh Ridhwan usithubutu kuongea zuri la Makonda sasa hivi utanuka bure.
Bahati mbaya bavicha wamejaa mitandaoni na kwenye vijiwe vya bangi ndio maana kwenye chaguzi nyingi hawashindi
eti eeeh mbona hajafungwa sasa au hajakutwa na ushahidi?? manji mwenyewe kesi imegeuka kutoka muuzaji hadi mtumiaji haya azzan huyoo kaachiwa enhee gwajima ndo huyo anawahenyesha hadi sahvi then unatala tuamini kuwa operation ya makonda ilikuwa na tija yoyote as far as MAPAPA WA UNGA r concerned??? mkikosolewa kubalini ili mjirekebishe sio muanze kutuita sijui bavichaa sijui wauza unga its so obnoxiousWauzaji waako kwenu au hujui?
mkuu embu tuwe serious kidogo hivi unamuita na kumhoji muuza madawa unategemea utamshika??? nani kati ya walioitwa wale 65 alihojiwa akakutwa na hatia na akatupwa ndani??? au mnafkiri hatuoni kuwa mnatuchezea akili watanzania???? Mhalifu mkamate na ushahidi au mfanyie counter attack ila kwa staili yenu ya kuwataja afu ndio kuwahoji mlishakosea toka mwanzo hivyo msiseme ukawa sijui walidanganya we jua nyie ndo mliharibu operationmimi naona ni bora aliitwa akahojiwa na akaonekana msafi maana ukawa walimuandama sana kuhusu yeye kujihusiaha na uuzaji.
Kweli hujui kusoma hata picha huoni? Chadema kanda ya pwani wametoa tamko. Na huo ndio msimamo wao kama chama na mimi kuwaweka watu wenye mtizamo huo kundi moja ni sawa kwa mtazamo wangu na nipo sahihi kwasababu huko chama kimekwisha kutoa muelekeo kwa swala binafsi. CCM hawajatoa muelekeo kama chama na ni muona binafsi wa kila mwanachama na umesikia au kusoma maoni tofauti ya wanaccm. Nafikiri nimekujibu na kukupa elimu japo kidogo.Mkuu kwanni kila anayemkosoa makonda au serikali ni BAVICHA?? humu ID feki zimejaa how sure can u be kuwa huyu ni ccm au huyu ni BAVICHA?? formal statement za chadema utazikuta mtaa wa ufipa ila humu jf ni ngumu kujua who is who so usitumie kma yardstick unakuwa unakosea sana