Ridhiwani: Tumeishi na RC Makonda vizuri ila kutajwa kwenye madawa, kama familia tunamwachia Mungu

Makonda shukurani yake kwenu ni kukuingiza kwenye orodha MKUU ndio maana umeitwa
 
Kwa vile hili ni suala linaigusa familia ya aliekua raisi mstaafu kwa nn asiitishe press na kujisafisha na kuisafisha familia ingemuweka huru zaidi.
 
Ridhwan mlimlalamikia sana kuhusu hili jambo. Leo mtamtetea kama kawaida yenu? Bado mtasema Makonda anaangalia mtu na mtu?
 
Kumbe Bashite ana laana nyingi sana na ni bonge la snitch sema ni zero brain
Mbona hamsomeki jamani. Huyu Ridhwan si mlidai ni muhusika papa kwenye ngada?!! Mkasema Makonda anaonea vidagaa mbona hamtaji Ridhwan, au si nyinyi? Leo tena kawa msafi?!
 
Hahahahaa. Hawa ndugu zetu nahisi wana matatizo ya akili.
 
Wanasema wahenga ubinadamu kazi, clouds walimkumbatia leo kawadhuru, Familia ya Kikwete wanamlalamikia, Siku si nyingi Mtukufu John Pombe Joseph Magufuli atajuta.
 
Na
Nakumbuka picha moja gazeti moja hivi silimbuki gazeti gani, Bashite alikuwa anamfunga Riz1 kamba za viatu. Hahahahahaha, Bashite anajua sana kucheza na akili za wakubwa.
 
Nomekuelewa kumbe ******* ni suala la muda tu ,Ndio maana Nape anapiga huku na kule nimeusoma mchezo
Ni mchezo mchafu aisee, hiii nchi INA siri kama kata ya mtungi
 
Nayajua yote. By the way Ridhiwani aache kulialia. Tuhuma za yeye kuhusika na madawa ya kulevya zimeanza kitambo. Mnakumbuka ile ishu ya kule china? Hizi ni tuhuma za muda mrefu. Asianze kutafuta pa kutokea

Kabisa mkuu...Na tuhuma za kinana kuhusika na ujangili sasa zishughulikiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…