Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona UNAHUKUMU huku ukitumia neno TUHUMA?Nayajua yote. By the way Ridhiwani aache kulialia. Tuhuma za yeye kuhusika na madawa ya kulevya zimeanza kitambo. Mnakumbuka ile ishu ya kule china? Hizi ni tuhuma za muda mrefu. Asianze kutafuta pa kutokea
Naona wafukua makaburi!Malipo ni hapahapa
bandari ya bagamoyo ina bei sana.Kwa hiyo Chadema sasa mnaungana kusema kumbe Ridhiwan hauzi unga, mlikuwa mnamsingizia tu?
Sanamakonda ana maadui wengi
Inakuja sasa Bashite kwa usalama wako rudi Kolomije town marufuku hata mjini Mwanza uje kwa kadiRidhiwani huwa hasamehee.....atakula nae sahani moja. Like father like son
UnabiiLeo bila aibu kwa sababu hayuko kwenye system mnamgeuka?ndivyo mtakavyo mgeuka na makonda akitoka kwenye system
Siku hizi umejifichaNayajua yote. By the way Ridhiwani aache kulialia. Tuhuma za yeye kuhusika na madawa ya kulevya zimeanza kitambo. Mnakumbuka ile ishu ya kule china? Hizi ni tuhuma za muda mrefu. Asianze kutafuta pa kutokea
YaniNaona wafukua makaburi!
Bashite ameshapotea....JK family sio mchezoBado wanaendelea kumuchia Mungu?
Pigo si ndio hilo bashite hayupo mchezoni.Bado wanaendelea kumuchia Mungu?