Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 983
- 2,306
- Thread starter
- #121
Kuna matokeo ya private candidate na school candidate. Tazama vizuri school candidate kuna 1 na 2 pekeeWee jamaa mnafiki sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna matokeo ya private candidate na school candidate. Tazama vizuri school candidate kuna 1 na 2 pekeeWee jamaa mnafiki sana[emoji23][emoji23][emoji23]
School candidate wamepata one na two pekee hao wengine ni private candidate ndio vilaza wanachanganya hapaAcheni nyie watu mbona mnateseka Sana na Mambo ya wenzenu???
Haya Sasa wekeni ya Al hekma Girls/boys,mbona hamujayafingulia uzi??
Hovyoooooooo,
Siipendi mijitu kutwa kufukunyua habari za wenzao,,,
Kwani kuhusu PAPA mmefikia wapi????
O ni hao private candidate ipa school candidate ni one na two mkuu ficha maradhi y'akoKwahiyo Hizo Sifuri Ndiyo Kufanya Vizuri
Unataka Chokochoko
We nawe kilaza kumbe umeelewa swali au unakurupuka?Kwa nini wasifuate sheria za shule ikiwa ni Wanafunzi WA hapo?
Mbona Wanafunzi WA Kiislam wakisoma shule za Kikristo wanafuata sheria za shule hizo
Au swali lako limelenga Jambo Gani?
Dada angu ungejua wala usinge nilaumu aisee mimi nimesema Ridhwaa Seminary wamefanya vizuri mwaka huu na ni kweli kuna 1 na 2 pekee so I was asking kama mtoto wa kikristo anaweza kupokelewa na kama akipokelewa hakuna sharti la kumtaka aende msikitini kama wafanyavyo shule za kikatoliki? Lengo nijue ILI nimpeleke dogo shule. Nilisoma.shule ya kiislamu " Kinondoni Muslim" lakini wao sio seminar hawana sheria hizo isipokuwa mavazi na kuto ruhusu free mixing.Hayo ni matokeo ya centre,yupo na Jambo lake Hana lolote,matokeo ya shule husika Kuna 3 moja tu,
Kawaida ya binadamu ni kujiona mbora zaidi kuliko mwingine.
UNAWEZA KUWA NA CHUKI. lakini si ya kiwango hicho. Jamani, chuki zinazeesha na kudhoovisha afya yako.Acha ghilba kuhadaa wasomaji. Asante.
Nimekuelewa, binafsi nimesoma seminary ya kikristo na ni lazima kufuata Sheria za shule mavazi/ibada nk.Dada angu ungejua wala usinge nilaumu aisee mimi nimesema Ridhwaa Seminary wamefanya vizuri mwaka huu na ni kweli kuna 1 na 2 pekee so I was asking kama mtoto wa kikristo anaweza kupokelewa na kama akipokelewa hakuna sharti la kumtaka aende msikitini kama wafanyavyo shule za kikatoliki? Lengo nijue ILI nimpeleke dogo shule. Nilisoma.shule ya kiislamu " Kinondoni Muslim" lakini wao sio seminar hawana sheria hizo isipokuwa mavazi na kuto ruhusu free mixing.