Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Dj walete na song letu la Iyena iyena.
Kwa Mara ya kwanza namuona Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akichangia hoja ya marekebisho ya muswada wa sheria ya Dawa za kulevya na ametaka sheria Kali zitungwe kukomesha wauza Dawa za kulevya.
Ni kipi kimekushangaza?
Mwanakondoo ameshinda tumfuate.
Pascal Mayalla Retired JokaKuu
Amerudi kundini apewe majiDj walete na song letu la Iyena iyena.
Kwa Mara ya kwanza namuona Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akichangia hoja ya marekebisho ya muswada wa sheria ya Dawa za kulevya na ametaka sheria Kali zitungwe kukomesha wauza Dawa za kulevya.
Ni kipi kimekushangaza?
Mwanakondoo ameshinda tumfuate.
Pascal Mayalla Retired JokaKuu
kwani wewe umeelewa vp mkuu mbona kama umepanicKosa Ni lipi hapo !watanzani wana majungu Sana na chuki ,wivu [emoji54][emoji55],husda ,ubinafsi na roho mbaya
Mwacheni kjn achape Kaz za kulitumikia taifa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tozonia ya viwonderTanzania ya viwanda.
Serikali pamoja na mswada huu,ila inatakiwa kupeleka mwingine , unaowahusu, wezi wa mali za uma, fedha, , rushwa, kunyongwa mpaka kufa,Dj walete na song letu la Iyena iyena.
Kwa Mara ya kwanza namuona Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akichangia hoja ya marekebisho ya muswada wa sheria ya Dawa za kulevya na ametaka sheria Kali zitungwe kukomesha wauza Dawa za kulevya.
Ni kipi kimekushangaza?
Mwanakondoo ameshinda tumfuate.
Pascal Mayalla Retired JokaKuu
Bandani ya bwagamoyo ilibidi iuzwe mara mbili!!!!!!Dj walete na song letu la Iyena iyena.
Kwa Mara ya kwanza namuona Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akichangia hoja ya marekebisho ya muswada wa sheria ya Dawa za kulevya na ametaka sheria Kali zitungwe kukomesha wauza Dawa za kulevya.
Ni kipi kimekushangaza?
Mwanakondoo ameshinda tumfuate.
Pascal Mayalla Retired JokaKuu
Kuna tawi la CHADEMA ndani ya Lumumba? Au sijakuelewa vzr!!!!!Huyu mtoto wa mjini ambae matahira ya chadema yanamuona mungu wao ana nini kipya?
Mchawi anapokuwa mchungaji.....Dj walete na song letu la Iyena iyena.
Kwa Mara ya kwanza namuona Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akichangia hoja ya marekebisho ya muswada wa sheria ya Dawa za kulevya na ametaka sheria Kali zitungwe kukomesha wauza Dawa za kulevya.
Ni kipi kimekushangaza?
Mwanakondoo ameshinda tumfuate.
Pascal Mayalla Retired JokaKuu