Ridhwani Kikwete akemea vikali wauza dawa za kulevya na ataka sheria kali itungwe

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Dj walete na song letu la Iyena iyena.

Kwa Mara ya kwanza namuona Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akichangia hoja ya marekebisho ya muswada wa sheria ya Dawa za kulevya na ametaka sheria Kali zitungwe kukomesha wauza Dawa za kulevya.

Ni kipi kimekushangaza?

Mwanakondoo ameshinda tumfuate.

Pascal Mayalla Retired JokaKuu

Pia soma:
 
 

Mbona kama jamaa kapiga penati afu anaidaka yeye mwenyewe
 
Amerudi kundini apewe maji
 
Serikali pamoja na mswada huu,ila inatakiwa kupeleka mwingine , unaowahusu, wezi wa mali za uma, fedha, , rushwa, kunyongwa mpaka kufa,
 
Bandani ya bwagamoyo ilibidi iuzwe mara mbili!!!!!!

IPO siku ya HUKUMU , Kila ubaya utalipwa.

Ameeeeen.
 
Ridhiwan kaa kimya wewe ndio mrithi wa mama 2030.

Ona sasa umewapa shetani nafasi ya kukuchafua.

NB: Riz1 ongea na mshua tozo zimezidi
 
Mchawi anapokuwa mchungaji.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…