Ridhwani Kikwete akemea vikali wauza dawa za kulevya na ataka sheria kali itungwe

Ridhwani Kikwete akemea vikali wauza dawa za kulevya na ataka sheria kali itungwe

Naibu waziri wa mchongo.
Tangu ateuliwe sijamsikia popote.
 
Dj walete na song letu la Iyena iyena.

Kwa Mara ya kwanza namuona Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akichangia hoja ya marekebisho ya muswada wa sheria ya Dawa za kulevya na ametaka sheria Kali zitungwe kukomesha wauza Dawa za kulevya.

Ni kipi kimekushangaza?

Mwanakondoo ameshinda tumfuate.

Pascal Mayalla Retired JokaKuu

giphy.gif
 
Dj walete na song letu la Iyena iyena.

Kwa Mara ya kwanza namuona Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akichangia hoja ya marekebisho ya muswada wa sheria ya Dawa za kulevya na ametaka sheria Kali zitungwe kukomesha wauza Dawa za kulevya.

Ni kipi kimekushangaza?

Mwanakondoo ameshinda tumfuate.

Pascal Mayalla Retired JokaKuu
Make hapo kwanza ncheke.

#MaendeleoHayanaChama
 
Watanzania kwa majungu na roho mbaya hamjambo! Kaongea nongwa asingeongea nongwa nani mwenye ushahidi kwamba jamaa anauza madawa zaidi ya uzushi tu? Ndio maana tunapigwa kwenye tozo sababu akili zetu finyu tumekalia umbeya tu!
Chawa kama chawa.
 
Dj walete na song letu la Iyena iyena.

Kwa Mara ya kwanza namuona Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akichangia hoja ya marekebisho ya muswada wa sheria ya Dawa za kulevya na ametaka sheria Kali zitungwe kukomesha wauza Dawa za kulevya.

Ni kipi kimekushangaza?

Mwanakondoo ameshinda tumfuate.

Pascal Mayalla Retired JokaKuu
Nyani haoni kundule😂😂
 
Ukitaka kujua habari za Tajiri..
Muulize Masikini....
 
Na yeye kule China alikokamatwa,Baba akaenda kumgomboa kwa dhamana ya Mali za walalahoi,alikuwa amepeleka unga wa muhogo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
sheria kali zingine tena?

hii nchi ina sheria kali sana na za kutosha sema wahusika hamna/hawapo (situsi mtu/watu)!

kuna mengi tunayaona huko mtaani na wenye dhamana ya kuchukua hatua wapo ila ni kama sheria hizi hizi kali haziwahusu!

basi afafanue ni kipengele/vipengele gani "angependa" ki/viwekwe sawa kazi iendelee!

ila acha akemee lakini huenda masela watamsikiliza!

ghafla nimekumbuka yale maneno ya kijana wa Nyerere juu ya watoto wa viongozi!
 
Dj walete na song letu la Iyena iyena.

Kwa Mara ya kwanza namuona Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akichangia hoja ya marekebisho ya muswada wa sheria ya Dawa za kulevya na ametaka sheria Kali zitungwe kukomesha wauza Dawa za kulevya.

Ni kipi kimekushangaza?

Mwanakondoo ameshinda tumfuate.

Pascal Mayalla Retired JokaKuu
Wanasema mchaei mpe mwana amlee
 
Back
Top Bottom