Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaah. Sasa hivi hawa wanaitwa watoto wa mjini, wanamwagiwa sifa kedekede.Huyu mtoto wa mjini ambae matahira ya chadema yanamuona mungu wao ana nini kipya?
Dj walete na song letu la Iyena iyena.
Kwa Mara ya kwanza namuona Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akichangia hoja ya marekebisho ya muswada wa sheria ya Dawa za kulevya na ametaka sheria Kali zitungwe kukomesha wauza Dawa za kulevya.
Ni kipi kimekushangaza?
Mwanakondoo ameshinda tumfuate.
Pascal Mayalla Retired JokaKuu
Make hapo kwanza ncheke.Dj walete na song letu la Iyena iyena.
Kwa Mara ya kwanza namuona Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akichangia hoja ya marekebisho ya muswada wa sheria ya Dawa za kulevya na ametaka sheria Kali zitungwe kukomesha wauza Dawa za kulevya.
Ni kipi kimekushangaza?
Mwanakondoo ameshinda tumfuate.
Pascal Mayalla Retired JokaKuu
Chawa kama chawa.Watanzania kwa majungu na roho mbaya hamjambo! Kaongea nongwa asingeongea nongwa nani mwenye ushahidi kwamba jamaa anauza madawa zaidi ya uzushi tu? Ndio maana tunapigwa kwenye tozo sababu akili zetu finyu tumekalia umbeya tu!
Nimepanick haswaakwani wewe umeelewa vp mkuu mbona kama umepanic
Nyani haoni kundule😂😂Dj walete na song letu la Iyena iyena.
Kwa Mara ya kwanza namuona Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akichangia hoja ya marekebisho ya muswada wa sheria ya Dawa za kulevya na ametaka sheria Kali zitungwe kukomesha wauza Dawa za kulevya.
Ni kipi kimekushangaza?
Mwanakondoo ameshinda tumfuate.
Pascal Mayalla Retired JokaKuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na yeye kule China alikokamatwa,Baba akaenda kumgomboa kwa dhamana ya Mali za walalahoi,alikuwa amepeleka unga wa muhogo?
Mbona kama jamaa kapiga penati afu anaidaka yeye mwenyewe
hata mapusha level za juu hujenga rehabs za kutibu walioathirika na unga
Huyu mtoto wa mjini ambae matahira ya chadema yanamuona mungu wao ana nini kipya?
Mbona kama jamaa kapiga penati afu anaidaka yeye mwenyewe
Wanasema mchaei mpe mwana amleeDj walete na song letu la Iyena iyena.
Kwa Mara ya kwanza namuona Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akichangia hoja ya marekebisho ya muswada wa sheria ya Dawa za kulevya na ametaka sheria Kali zitungwe kukomesha wauza Dawa za kulevya.
Ni kipi kimekushangaza?
Mwanakondoo ameshinda tumfuate.
Pascal Mayalla Retired JokaKuu