Rigathi Gachagua ailaumu Idara ya Usalama wa Taifa ya Kenya kwa kumpa Rais Ruto taarifa zisizo sahihi

Imewekwa post #28 hapo
 
Jamaa kajitetea anasema huyo makamu anamshambulia sababu watu wa kabila lake wengi wametolewa usalama wa taifa , kwahio ana kabifu nae
Na cha kushangaza muswada wa bajeti umeandaliwa na serikali yake, waliupitia hatua kwa hatua na kufikisha bungeni ukapitishwa sasa wanatafuta mchawi.
Siasa za Afrika pasua kichwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…