HaKika mkuu, hawaachani hao[emoji4]Wazazi hawaachan, hawa sasa ndo gari imewaka haizimi, ila inakua silence kwa muda tyuuuj, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]HaKika mkuu, hawaachani hao[emoji4]
Aaah wapi,
Iyo Ni allegy ya mimba,
Uyu akishajifungua TU, hasira zote zinaisha[emoji4]
Hizo Ni porojo tu mkuu,Hata asingekuwa Rihanna, cheating on a pregnant woman with your kid is insane lowkey.
Jinsi unavyomuelezea kama ni mmoja wa familia 🤔Mimba ya bahat nasibu ile,
Rihanna alushakata tamaa ya KUZAA maishan mwake.
Kuna kipind alushatumbukia Kwny madawa na kujaribu kujiua ikashindikana.
Tusimlaumu,
Ni furaha yake KASOTA SANA kupata ile mimba[emoji4]
Kwakweli ni kwa neema kuchomoa hapa.Asap asingechomoa hapa cheki mtoto wa kiarabu huyuView attachment 2188077
naona mkuu umemlia kila style ya nyeto [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni muda sasa Rihanna aje atulie kwangu maana nina mapenzi nae toka 2008 ila sijawahi kumwambia[emoji854]
Hivi waliachana kisa nini Drake na Riri?Hata Drake mkuu, alikuwa na mapenzi ya dhati kwake
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Msitufanyie hivo jaman [emoji23]Ila mwanaume ukishalala na mwanamke zaidi ya mara mbili unamuona wa kawaida tu.[emoji23]
Mwenzangu hawatoshekagi hawa viumbeHao ndio wanaume tunaowajua
Kama ameabort kibao? We mmatumbi utajuaje?Rihanna sahv Yuko na Miaka 34.
Kwa mwanamke hujapata hata mimba ya kusingizia inaleta Sana stress
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]Jinsi unavyomuelezea kama ni mmoja wa familia [emoji848]
Image mtu anamuelezea mtu kama mama J wake😬