Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Hela kitu gani. akat.ombwe na hela zake sasaKimeumana aise.
Na mahela yote anaachwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela kitu gani. akat.ombwe na hela zake sasaKimeumana aise.
Na mahela yote anaachwa
Yaan mababy mamas wote HOV aliowapiga mimba akasepa wameungana wanampeleka mahakamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yule mama ana moyo sio kwa matukio anayopigwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari khaaa!!!Yaan mababy mamas wote hov aliowapiga mimba akasepa wameungana wanampeleka mahakamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lilivyo lijanja hata DNA halitaki maana mitoto yote inafanana na yy anajua anaumbuka hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Huwa hamna demu mbaya.Umalaya tu mbona libaya hili demu...hamfikii Bad girl bana[emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Noma sana[emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari khaaa!!!
Ujue hii sijaiskia, imehappen lini??
Kama last month hivi, huko huko shaderoom ( ule mtandao maarufu wa kimarekani)Ujue hii sijaiskia, imehappen lini??
Mie navyopenda udaku [emoji12]nitaenda follow hiyo page. Lakini wanaume... au basiKama last month hivi, huko huko shaderoom ( ule mtandao maarufu wa kimarekani)
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Haaah pisi imesimama Arabic skin iyoMmmh mbovuu[emoji57][emoji57]
Asap bana anajiokotea tu daaah!
Haya muuza viatu huyu, sasa si huwaga anagonga na mama ntilie huyu!
Sema Riri hana bahati na mapenzi, ukweli usemwe, kuanzia Chris brown, mwarabu, drake sasa na huyu marastaa...
Rihanna arudi kwa Drake huyu jamaa nahisi alimpenda sana Riri kuliko wengine
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Huyu mtoto ni breakfast mpaka dinner.
😂😂Labda hujaelewa. Kumuona wa kawaida haimaanishi kuwa utakuwa humpendi tena.Uache fix...nyie ndo mademu zenu wanawanasa vibao na mnakaa kimyaa
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Muhuni ni muhuni tu,
Wakati Bad Girl RiRi anaachana na boyfriend wake wa kiarabu tajiri wa mafuta na kuanza mahusiano na muhuni Rapper Asap Rocky wengi walishangaa na hawakumuamini Asap kama atatulia na RiRi kwasababu hana hadhi ya kuwa na demu kaliba ya Rihanna.
Lakini kadiri siku zilivyokua zinakwenda Asap akawathibitishia kwamba RiRi alikua sahihi kumchagua na mahaba yaka motomoto Asap akabadilika kabisa
Akakuza brand zake kwa mgongo wa RiRi.
Na hatimaye hivi karibuni wakaweka hadharani kwamba wanategemea kupata mtoto wao
RiRi mapicha picha ya mimba na mitoko na Asap ikiwa ndio habari ya mjini kwenye social media
Ghafla bin vuu Asap kaharibu
RiRi kabaini Asap anatoka kimapenzi na mfanyakazi wa RiRi kwenye kampuni yake ya viatu
Hadi sasa RiRi kafuta picha zote za Asap kwenye social media zake zote.
Mijadala kwenye social media imekua ndio hiyo
Kama a beautifully Bilionea RiRi, the richest woman musician duniani na bado muhuni kam cheat ni mwanamke gani atabaki salama [emoji23][emoji23][emoji23]
😁😁😁😁😁😁Shida ya wanawake wengi tabia ya kubania papuchi wanayo, haijalishi ana hela au lah [emoji23][emoji23][emoji23]
Utakuta mwana anapewa papuchi mara 1 kwa miezi miwili [emoji23][emoji23][emoji23]
Haka kadada ingekua huku bongo tungekakodia kigoma na tukashonee vijora[emoji57][emoji57][emoji57]au tukaende sumbawanga[emoji1787]Amina MuaddiView attachment 2188079
Kweli shoo?[emoji849][emoji849][emoji2960][emoji16]Mpaka Sasa witnessj una point 6 kwenye huu Uzi..salute[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoma ikivuma sana mwishoe hupasuka....huyu demu na huyo muhuni walikuwa kituko duniani, full kuzurura na mimba akiwa uchi utadhani yy ndo wa kwanza kubeba ujauzito dunia nzima...
Lazima pangetokea tukio tu la kumtuliza hilo wenge[emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Haaah huko insta tu kashaanza kuonja joto na ubaya picha ya mwisho aliopost ilikuwa ya RihannaHaka kadada ingekua huku bongo tungekakodia kigoma na tukashonee vijora[emoji57][emoji57][emoji57]au tukaende sumbawanga[emoji1787]
Amina MuaddiView attachment 2188079